TRA/PCCB chunguzeni wizi mkubwa Max Malipo leo hii

Mr Nzoka

Member
Nov 22, 2015
94
110
Ndugu wanabodi

Leo TRA walikuwa na kamatakamata ya magari ingawa sina uhakika kama ilikuwa 'operation' ya nchi nzima. Kwa bahati mbaya gari yangu leo miongoni mwa magari yaliyokamatwa leo kutokana na deni na mapato nililokuwa nadaiwa. Operation hii nimeipenda sana kwani hili ni agizo la mkulu la ukusanyaji madeni yote.

Lakini utaratibu wa leo naona kama umepangwa kimasilahi ya watu. Nasema hivi kwa sababu mfano mimi nimekamatwa leo na kuambiwa deni langu, gari ikaingizwa yard nikaambiwa niende kulipa deni hilo kwa njia ya Max-Malipo na nikaambiwa itanibidi kulipa faini ya tsh 30000 halafu gari itakuwa inalipiwa 10000 kila siku mpaka itakapotoka.

Mimi sina shida juu ya hili kwani ni utaratibu walojiwekea. Tatizo ni kwanini Max Malipo wazime network toka asubuh hadi jioni ya leo? Imagine Max Malipo leo haifanyi kazi toka asubuh hadi sasa.

Imagine leo TRA wamekamata magari mangapi nchi nzima ambayo yanatakiwa kulipia elfu 10 ya ulinzi? Mfano nilikoaacha gari nimeacha magari zaidi ya 150 na yote yameambiwa yakalipwe kwa Max Malipo. Hivi haya malipo kwa nini yasilipwe kwa njia ya bank mpaka Max Malipo?

Baada ya kuangaika sana kwa kukosa huduma ya Max Malipo niliamua kwenda TRA kuomba nilipe kwa njia ya bank nikaambiwa ni lazima nilipe kwa Max Malipo, nikilipa kwa bank itapotea!!!!Inapoteaje?

Kwa kweli imeniuma sana, ndo narudi home na pesa mkononi halafu kesho nikalipe hiyo 10000 ya kunilindia gari. Nacalculate idadi ya magari yaliyokamatwa leo nchi nzima ambayo yanatakiwa kulipia 10000 +30000. Kweli nchi hii watu wanajipigia pesa tu!

Huu ni wizi aidha kati ya TRA, Max Malipo na wenye yard, ninaomba ufatiliaji!

NOTE:
TRA wakifunga ofisi saa kumi utaona mtandao unaruhusiwa. Hii ni hujuma!
 
Ndugu wanabodi

Leo TRA walikuwa na kamatakamata ya magari ingawa sina uhakika kama ilikuwa 'operation' ya nchi nzima. Kwa bahati mbaya gari yangu leo miongoni mwa magari yaliyokamatwa leo kutokana na deni na mapato nililokuwa nadaiwa. Operation hii nimeipenda sana kwani hili ni agizo la mkulu la ukusanyaji madeni yote.

Lakini utaratibu wa leo naona kama umepangwa kimasilahi ya watu. Nasema hivi kwa sababu mfano mimi nimekamatwa leo na kuambiwa deni langu, gari ikaingizwa yard nikaambiwa niende kulipa deni hilo kwa njia ya Max-Malipo na nikaambiwa itanibidi kulipa faini ya tsh 30000 halafu gari itakuwa inalipiwa 10000 kila siku mpaka itakapotoka.

Mimi sina shida juu ya hili kwani ni utaratibu walojiwekea. Tatizo ni kwanini Max Malipo wazime network toka asubuh hadi jioni ya leo? Imagine Max Malipo leo haifanyi kazi toka asubuh hadi sasa.

Imagine leo TRA wamekamata magari mangapi nchi nzima ambayo yanatakiwa kulipia elfu 10 ya ulinzi? Mfano nilikoaacha gari nimeacha magari zaidi ya 150 na yote yameambiwa yakalipwe kwa Max Malipo. Hivi haya malipo kwa nini yasilipwe kwa njia ya bank mpaka Max Malipo?

Baada ya kuangaika sana kwa kukosa huduma ya Max Malipo niliamua kwenda TRA kuomba nilipe kwa njia ya bank nikaambiwa ni lazima nilipe kwa Max Malipo, nikilipa kwa bank itapotea!!!!Inapoteaje?

Kwa kweli imeniuma sana, ndo narudi home na pesa mkononi halafu kesho nikalipe hiyo 10000 ya kunilindia gari. Nacalculate idadi ya magari yaliyokamatwa leo nchi nzima ambayo yanatakiwa kulipia 10000 +30000. Kweli nchi hii watu wanajipigia pesa tu!

Huu ni wizi aidha kati ya TRA, Max Malipo na wenye yard, ninaomba ufatiliaji!

NOTE:
TRA wakifunga ofisi saa kumi utaona mtandao unaruhusiwa. Hii ni hujuma!

Pole

Ndo nchi yako iyo, people aren't ready for changes

Iyo nchi bila katiba mpya ndo itazidi kuwa mzoga
 
Ndugu wanabodi

Leo TRA walikuwa na kamatakamata ya magari ingawa sina uhakika kama ilikuwa 'operation' ya nchi nzima. Kwa bahati mbaya gari yangu leo miongoni mwa magari yaliyokamatwa leo kutokana na deni na mapato nililokuwa nadaiwa. Operation hii nimeipenda sana kwani hili ni agizo la mkulu la ukusanyaji madeni yote.

Lakini utaratibu wa leo naona kama umepangwa kimasilahi ya watu. Nasema hivi kwa sababu mfano mimi nimekamatwa leo na kuambiwa deni langu, gari ikaingizwa yard nikaambiwa niende kulipa deni hilo kwa njia ya Max-Malipo na nikaambiwa itanibidi kulipa faini ya tsh 30000 halafu gari itakuwa inalipiwa 10000 kila siku mpaka itakapotoka.

Mimi sina shida juu ya hili kwani ni utaratibu walojiwekea. Tatizo ni kwanini Max Malipo wazime network toka asubuh hadi jioni ya leo? Imagine Max Malipo leo haifanyi kazi toka asubuh hadi sasa.

Imagine leo TRA wamekamata magari mangapi nchi nzima ambayo yanatakiwa kulipia elfu 10 ya ulinzi? Mfano nilikoaacha gari nimeacha magari zaidi ya 150 na yote yameambiwa yakalipwe kwa Max Malipo. Hivi haya malipo kwa nini yasilipwe kwa njia ya bank mpaka Max Malipo?

Baada ya kuangaika sana kwa kukosa huduma ya Max Malipo niliamua kwenda TRA kuomba nilipe kwa njia ya bank nikaambiwa ni lazima nilipe kwa Max Malipo, nikilipa kwa bank itapotea!!!!Inapoteaje?

Kwa kweli imeniuma sana, ndo narudi home na pesa mkononi halafu kesho nikalipe hiyo 10000 ya kunilindia gari. Nacalculate idadi ya magari yaliyokamatwa leo nchi nzima ambayo yanatakiwa kulipia 10000 +30000. Kweli nchi hii watu wanajipigia pesa tu!

Huu ni wizi aidha kati ya TRA, Max Malipo na wenye yard, ninaomba ufatiliaji!

NOTE:
TRA wakifunga ofisi saa kumi utaona mtandao unaruhusiwa. Hii ni hujuma!

Kazi nzuri sana, Pole kwa yaliyokusibu kwa kukosa mtandao wa Max Malipo. kama ulikua na uwezo wa kulipa mbona usilipe mpaka unakamatwa unalipa pamoja na fine juu yake?
 
Ujinga ni kukwepa malipo halali unayopaswa lipa tena kwa makusudi tu!Kwahili wewe endelea kujilaumu tu wala sio kuwalaumu Max Malipo wala TRA,malipo tunayofanya kwenye gari zetu yanahusisha mwaka mmoja,na tarehe rasmi ya validity inawekwa!sasa kushindwa kwako kulipa mapema mpaka kujikuta na Deni unamlaumu nani!Anyway poles am sure next year utajifunza na kuwa makini kila wiki kuangalia motor vehicle licence Kama iko valid au LA na ulipe sasa sio kukwepa kwepa mpaka umekutana na janga
 
Nyogeza: Hivi kwa nini nchi inaruhusu pesa za nchi kupitia kwa mawakala uchwara wakati tuna mabenk ya kutosha nchi nzima,je kwa mfano mtandao ukigoma mwezi mzima wa MAXMALIPO inabidi niandae laki tatu ya ulinzi, hii sio Sawa
 
Ujinga ni kukwepa malipo halali unayopaswa lipa tena kwa makusudi tu!Kwahili wewe endelea kujilaumu tu wala sio kuwalaumu Max Malipo wala TRA,malipo tunayofanya kwenye gari zetu yanahusisha mwaka mmoja,na tarehe rasmi ya validity inawekwa!sasa kushindwa kwako kulipa mapema mpaka kujikuta na Deni unamlaumu nani!Anyway poles am sure next year utajifunza na kuwa makini kila wiki kuangalia motor vehicle licence Kama iko valid au LA na ulipe sasa sio kukwepa kwepa mpaka umekutana na janga
Kaka mimi si mkwepa kodi kwanza Kwan nimeona kuandika source nitaandika mengi,hata mimi nimeshangaa kukuta ni deni tena kubwa tena kwa gari ndogo ambalo ni km milioni moja n kitu.Ni hivi nimeenda kucheki tra kuangalia chanzo cha deni nikakuta kuwa kuna kipindi niliuza gari yangu miaka ya nyuma kwa kutumia TIN moja na hii gari sasa inaonekana huyo mtu niliyemuuzia hajabadilisha jina au aidha gari amelidump wakati tra akaunti unaendelea,so nimeona nilipe kwanza halafu nianze kufatilia kwa nini halipi mapato so unavonisakama unaniumiza kwn ht mimi nimeumia sana
Halafu ishu hapa nalalamikia Nini kipo nyuma ya pazia ya network ya MAXMALIPO, so ndugu hii ni meza ya kusaidiana ushauri labda nawe km una maslah kwenye hii ni sawa
 
Kaka mimi si mkwepa kodi kwanza Kwan nimeona kuandika source nitaandika mengi,hata mimi nimeshangaa kukuta ni deni tena kubwa tena kwa gari ndogo ambalo ni km milioni moja n kitu.Ni hivi nimeenda kucheki tra kuangalia chanzo cha deni nikakuta kuwa kuna kipindi niliuza gari yangu miaka ya nyuma kwa kutumia TIN moja na hii gari sasa inaonekana huyo mtu niliyemuuzia hajabadilisha jina au aidha gari amelidump wakati tra akaunti unaendelea,so nimeona nilipe kwanza halafu nianze kufatilia kwa nini halipi mapato so unavonisakama unaniumiza kwn ht mimi nimeumia sana
Halafu ishu hapa nalalamikia Nini kipo nyuma ya pazia ya network ya MAXMALIPO, so ndugu hii ni meza ya kusaidiana ushauri labda nawe km una maslah kwenye hii ni sawa
1:Mzembe wa kutupwa. Nyie ndio Wajanja janja tunaosema. Unamuuzia mtu mali yenye thamani unakaa pasipo kuhakikisha kama amefanya transfer. Hiyo gari ingetumika kwenye uhalifu ndo ungejua lumande hakuna choo.
 
Ndugu wanabodi

Leo TRA walikuwa na kamatakamata ya magari ingawa sina uhakika kama ilikuwa 'operation' ya nchi nzima. Kwa bahati mbaya gari yangu leo miongoni mwa magari yaliyokamatwa leo kutokana na deni na mapato nililokuwa nadaiwa. Operation hii nimeipenda sana kwani hili ni agizo la mkulu la ukusanyaji madeni yote.

Lakini utaratibu wa leo naona kama umepangwa kimasilahi ya watu. Nasema hivi kwa sababu mfano mimi nimekamatwa leo na kuambiwa deni langu, gari ikaingizwa yard nikaambiwa niende kulipa deni hilo kwa njia ya Max-Malipo na nikaambiwa itanibidi kulipa faini ya tsh 30000 halafu gari itakuwa inalipiwa 10000 kila siku mpaka itakapotoka.

Mimi sina shida juu ya hili kwani ni utaratibu walojiwekea. Tatizo ni kwanini Max Malipo wazime network toka asubuh hadi jioni ya leo? Imagine Max Malipo leo haifanyi kazi toka asubuh hadi sasa.

Imagine leo TRA wamekamata magari mangapi nchi nzima ambayo yanatakiwa kulipia elfu 10 ya ulinzi? Mfano nilikoaacha gari nimeacha magari zaidi ya 150 na yote yameambiwa yakalipwe kwa Max Malipo. Hivi haya malipo kwa nini yasilipwe kwa njia ya bank mpaka Max Malipo?

Baada ya kuangaika sana kwa kukosa huduma ya Max Malipo niliamua kwenda TRA kuomba nilipe kwa njia ya bank nikaambiwa ni lazima nilipe kwa Max Malipo, nikilipa kwa bank itapotea!!!!Inapoteaje?

Kwa kweli imeniuma sana, ndo narudi home na pesa mkononi halafu kesho nikalipe hiyo 10000 ya kunilindia gari. Nacalculate idadi ya magari yaliyokamatwa leo nchi nzima ambayo yanatakiwa kulipia 10000 +30000. Kweli nchi hii watu wanajipigia pesa tu!

Huu ni wizi aidha kati ya TRA, Max Malipo na wenye yard, ninaomba ufatiliaji!

NOTE:
TRA wakifunga ofisi saa kumi utaona mtandao unaruhusiwa. Hii ni hujuma!

Wewe ni mdaiwa SUGU. Huwezi kukaa miezi yote hiyo uje leo kulipa and you expect everything to be just fine kana kwamba huo mfumo ulikuwa unakusubiri wewe tuu..Kama bodi ya mikopo wanalipisha wanafunzi na penalty why not u?

TUJIFUNZE KULIPA BEFORE DUE DATE.
 
Wewe ni hamnazo, hujaiona hoja hapo unaropoka ili ikusaidie nini! Bs
Kazi nzuri sana, Pole kwa yaliyokusibu kwa kukosa mtandao wa Max Malipo. kama ulikua na uwezo wa kulipa mbona usilipe mpaka unakamatwa unalipa pamoja na fine juu yake?
Kichaa
 
1:Mzembe wa kutupwa. Nyie ndio Wajanja janja tunaosema. Unamuuzia mtu mali yenye thamani unakaa pasipo kuhakikisha kama amefanya transfer. Hiyo gari ingetumika kwenye uhalifu ndo ungejua lumande hakuna choo.

Sawa, makosa yake unayomwita "mzembe wa kutupwa" amekubali na ndio maana anatozwa faini na malipo husika! Lakini hiyo haikuwa hoja wala shida yake......yeye issue yake ipo kwenye Max Malipo kwanini mtandao haupo? KWanini pasiwepo na njia nyengine za kulipia hizo hela kwa TRA?
 
Huyu bwana anahoja ya msingi sana hapa tusikatae. Ukitaka kujua umuhimu wa hoja yake waulize wapanda mabasi ya mwendokasi utaambiwa max malipo haifanyi kazi n.k usafiri unakuwa mgumu.

Mimi nilifikiri max malipo ni mojawapo ya njia nyingi za kukusanyia mapato kumbe ni dili la watu fulani. inasababisha kero nyingi kwa watu lakini wenywe wapo kimya.
 
1:Mzembe wa kutupwa. Nyie ndio Wajanja janja tunaosema. Unamuuzia mtu mali yenye thamani unakaa pasipo kuhakikisha kama amefanya transfer. Hiyo gari ingetumika kwenye uhalifu ndo ungejua lumande hakuna choo.
Povu la nini?
 
Hawa ni wezi kama walivyo wezi wengine MTU ukienda kulaza gari hapa Mjini unalipa elfu kumi au elfu mbili!!!!

Wacha mnyanyaswe kipindi cha uchaguzi mlikuwa mnabandika mapicha yenu ya kijinga kwenye magari na majimbo yenu sijui eti jembe litasaidia wanyonge
 
Ndugu wanabodi

Leo TRA walikuwa na kamatakamata ya magari ingawa sina uhakika kama ilikuwa 'operation' ya nchi nzima. Kwa bahati mbaya gari yangu leo miongoni mwa magari yaliyokamatwa leo kutokana na deni na mapato nililokuwa nadaiwa. Operation hii nimeipenda sana kwani hili ni agizo la mkulu la ukusanyaji madeni yote.

Lakini utaratibu wa leo naona kama umepangwa kimasilahi ya watu. Nasema hivi kwa sababu mfano mimi nimekamatwa leo na kuambiwa deni langu, gari ikaingizwa yard nikaambiwa niende kulipa deni hilo kwa njia ya Max-Malipo na nikaambiwa itanibidi kulipa faini ya tsh 30000 halafu gari itakuwa inalipiwa 10000 kila siku mpaka itakapotoka.

Mimi sina shida juu ya hili kwani ni utaratibu walojiwekea. Tatizo ni kwanini Max Malipo wazime network toka asubuh hadi jioni ya leo? Imagine Max Malipo leo haifanyi kazi toka asubuh hadi sasa.

Imagine leo TRA wamekamata magari mangapi nchi nzima ambayo yanatakiwa kulipia elfu 10 ya ulinzi? Mfano nilikoaacha gari nimeacha magari zaidi ya 150 na yote yameambiwa yakalipwe kwa Max Malipo. Hivi haya malipo kwa nini yasilipwe kwa njia ya bank mpaka Max Malipo?

Baada ya kuangaika sana kwa kukosa huduma ya Max Malipo niliamua kwenda TRA kuomba nilipe kwa njia ya bank nikaambiwa ni lazima nilipe kwa Max Malipo, nikilipa kwa bank itapotea!!!!Inapoteaje?

Kwa kweli imeniuma sana, ndo narudi home na pesa mkononi halafu kesho nikalipe hiyo 10000 ya kunilindia gari. Nacalculate idadi ya magari yaliyokamatwa leo nchi nzima ambayo yanatakiwa kulipia 10000 +30000. Kweli nchi hii watu wanajipigia pesa tu!

Huu ni wizi aidha kati ya TRA, Max Malipo na wenye yard, ninaomba ufatiliaji!

NOTE:
TRA wakifunga ofisi saa kumi utaona mtandao unaruhusiwa. Hii ni hujuma!
Sasa hapo MaxMalipo wanaiba vipi wakati TRA ndo wanaopata hiyo pesa? Mlaumu the taxman hapo, maxmalipo faida yao ilo pale pale hata "wakizima" mtandao mwezi mzima, hawafaidiki na limbikizo.
 
Sawa, makosa yake unayomwita "mzembe wa kutupwa" amekubali na ndio maana anatozwa faini na malipo husika! Lakini hiyo haikuwa hoja wala shida yake......yeye issue yake ipo kwenye Max Malipo kwanini mtandao haupo? KWanini pasiwepo na njia nyengine za kulipia hizo hela kwa TRA?
Hapa mchawi ni the taxman.
 
Wizi ni kila sehemu hapa Tz sasa, juzi nilinunua kavocha kangu ka jero kukaweka tu naambiwa kamekatwa VAT kwa hiyo sio 500/- tena! Nadhani kuwa tax compliant sio kulipa kodi ukiwa umeshikiwa mtutu bali fairness inatakiwa kama ile logo ya TRA inavyoonyesha mizania ya usawa. Hapa ni kunyang'anyana na ndio maana kila siku ni kuwindana kana kwamba ni kodi haramu!
 
Mifumo ya malipo ya kodi isiwe ya mateso kwa walipaji. Ni wapuuzi tu wanaotetea utaratibu wa kumsumbua mtu anayefanya malipo. Ni lazima kuwe na njia mbadala kama mfumo wa max malipo haufanyi kazi.
 
Back
Top Bottom