Ukiwa na naye jifanye unadhiki na mwambie ni yeye pekee atayekupa amani duniani. Ikiwezekana hata chozi LA kinafki limwage. Wanahuruma hawa atakuelewa tyuu,maana hakuna mkate mgumu mbele ya maji.Usikate tamaa kijana,Wenzako tulifanikiwa kwa mbinu hzi
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha BORA uambiwe wa pili kuliko kuambiwa ni KWANZA haraf ukienda kula vitu UNAKUTA 1200 yako inaingia yoteeeee tena bila kukwama kwama huwa inauma sana!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.