kakobe ameanza kujitambua
ndoto!!!! kumbe tungekuwa kila tunacho ota ni mustakabar wa maisha yetu tungekuwa mbali mno
Mkuu nafikiri aliyewashwa ni wewe kwa kukimbilia kujibu Post yangu hapo juu na ndipo nilipojibu ya kwako!!
PAMOJA NA NDOTO NDIO AMUINGIZE MREMA~CCM "UKAWA" WHATSHITS! hapo huo unajimu hautafanya kazi
Kakobe yuko sahihi,UKAWA wataanguka puu!