Recent content by Flava90s

  1. Flava90s

    Halotel 5g router

    70,000 - 30 Mbps
  2. Flava90s

    Fahamu kuhusu kundi la De plow Matz

    DPT haijawahi kufa
  3. Flava90s

    Nimewaharau ghafla Tupac na P Diddy ni baada ya kugundua ni mabingwa wa sampling

    Mkuu umetisha sana hapa, alete miziki ya hapa hata kumi ya wasanii wake anaowakubali tumpatie OG iliyofanyiwa sampling 💯..
  4. Flava90s

    Nimeambiwa nitume pesa ndo wasafirishe mzigo (haddisk terabyte4)

    Kwanza inahitaji zaidi ya umakini kusafirisha HDD kwenye bus, mashimo kudunda dunda kama isipofungashiwa vizuri utazipokea ila zitakua zishachora.. kua makini zaidi kwenye hilo wakiweka kwenye boot imekula kwako. Bora simu ianguke kuliko hivyo vidude.
  5. Flava90s

    Mambo ya kuzingatia kijana wa kiume unapojihusisha na mahusiano ya kimapenzi

    Safi sana mkuu umeandika ukweli kwa zaidi ya 95% huu uzi unatakiwa uwe majibu kwa wote wanaokuja na threads zao hapa kwamba wameumizwa na wanawake zao waliowapenda kwa dhati na ishu kama hizo. 💯
  6. Flava90s

    Ukifuatilia post za Kelvin Kibenje utagundua jamaa anatembea tu na upepo wake hakuna analolielewa kwenye uhalisia wa biashara hasa hapa Tanzania

    Nimachofahamu jamaa alivyoanza mwanzoni alikua ni anawasaidia watanzania ambao kingereza kwao ilikua shida kusoma na kuelewa kwa urahisi, maana alikua anacopy kila kitu 💯 kutoka accounts kubwa za wazungu Instagram zinazotoa mwangaza na njia kadha wa kadha kuhusu biashara na maisha na yeye...
  7. Flava90s

    Watu maarufu duniani wenye asili ya Tanzania

    Mange Kimambi 🤔
  8. Flava90s

    Kuna muamala ulikosewa kutumwa mahali, bila uoga akasema sirudishi asante kwa kuniokoa.

    Wananunua vocha ya 500 salio linakua limepungua kile kiwango ulichotuma, uwezekano wa kurudishwa unakua mdogo sana 😔
Back
Top Bottom