Kwanza inahitaji zaidi ya umakini kusafirisha HDD kwenye bus, mashimo kudunda dunda kama isipofungashiwa vizuri utazipokea ila zitakua zishachora.. kua makini zaidi kwenye hilo wakiweka kwenye boot imekula kwako. Bora simu ianguke kuliko hivyo vidude.
Safi sana mkuu umeandika ukweli kwa zaidi ya 95% huu uzi unatakiwa uwe majibu kwa wote wanaokuja na threads zao hapa kwamba wameumizwa na wanawake zao waliowapenda kwa dhati na ishu kama hizo. 💯
Nimachofahamu jamaa alivyoanza mwanzoni alikua ni anawasaidia watanzania ambao kingereza kwao ilikua shida kusoma na kuelewa kwa urahisi, maana alikua anacopy kila kitu 💯 kutoka accounts kubwa za wazungu Instagram zinazotoa mwangaza na njia kadha wa kadha kuhusu biashara na maisha na yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.