Kuna jamaa yangu anapitia huu msoto balaa, anaweza akacheza usiku akapiga hadi laki 5+, anaenda kulala asubuhi anaamkia kwangu anaomba 3000 ya kunywa chai unampa then anairudisha humo humo analiwa keshakua addicted sahv akija kuomba hela naenda nae hadi sehemu husika anayohitaji huduma...
Kuna jamaa yangu anapitia huu msoto balaa, anaweza akacheza usiku akapiga hadi laki 5+, anaenda kulala asubuhi anaamkia kwangu anaomba 3000 ya kunywa chai unampa then anairudisha humo humo analiwa keshakua addicted sahv akija kuomba hela naenda nae hadi sehemu husika anayohitaji huduma...
Saf
Safi sana mkuu umenitia moyo vizuri sana maana mimi hapa nakaribia mwaka wa 3 sigara na pombe sijatumia nafurahia maisha maana ilikua kama nipo gizani hivi na nikafanikiwa kwenye mwanga kutoka hakika Mungu ni Mwema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.