Recent content by Fisidume

  1. Fisidume

    Kila nikirejea kuangalia Mechi za AS Vita Club dhidi ya Al Ahly kule Misri na Kwao Congo DR napatwa na uwoga kwa Mkapa Jumamosi

    Nimeota ndoto mbaya; kipindi cha kwanza Simba 0- 2AS Vita Naomba hii ndoto isiwe ya kweli.
  2. Fisidume

    Ndiyo kateuliwa lakini hapendwi na wengi

    Hata Mimi simpendi na ninatamani hata ubunge asiwe anapata. Kwani hakuna wengine? This is too much.
  3. Fisidume

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Mkuu huu ugonjwa na Mimi umenipata yaani nawashwa haswa, tulizo langu limekuwa citrizen . He wewe ulishapona na ulitumia dawa gani?
  4. Fisidume

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Mkuu ulishapona huu ugonjwa, Kama ulipona ulitumia dawa gani??
  5. Fisidume

    Iringa na Njombe ilivyoshambuliwa na chawa

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
  6. Fisidume

    Atakayetabiri kikosi cha Simba dhidi ya Plateu na idadi ya magoli ana Tsh 500,000

    1.Manura 2. Kapombe 3.M Hussein 4.wawa 5.Onyango 6nyoni 7.mzamiru 8.mkude 9.boko 10. Chama 11. Miquison Mfumo 4:3:1 Sub. Beno, Morrison, bwalya ,ame,kagere, gadiel, dilunga
  7. Fisidume

    Kamisaa kashtuka sana Namungo kukosa penati

    Huu Uzi bila video Ni sawa na utopolo tu
  8. Fisidume

    Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemfungia Rais wa Shirikisho la Soka barani Africa (CAF) kutojihusisha na soka kwa kipindi cha miaka mitano

    Siasa za mpira hizo. Ahmad aliwekwa madarakani kimtego ili issa hayatou atoke. Mda umefika wamemtoa waje waliolengwa .
  9. Fisidume

    Mkoa gani Tanzania wenye uchawi wa kutisha na mkubwa zaidi?

    Hivi KOME mnapajua nyie? Nfuzi "Nigeria" ya Tanzania mnaijua? Vipi kuhusu Bugoro na Izindabo? Nyie acheni kunasehemu kunawachawi ni balaa!
  10. Fisidume

    Mpenzi wangu kagoma kuzama chumvini kwasababu ya cheo chake kazini

    Hivi nyie wanawake mnazani kuko kwenye mapachuchu yenu ni patamu eee?? Hebu Jaribu kulamb huko mwenyewe then uone ladha ya huko kabla ya kumshurutisha mwenzio azame chumvini.
  11. Fisidume

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    Tanzania ya viwanda.
Back
Top Bottom