katoto22october
JF-Expert Member
- May 9, 2019
- 276
- 260
Naomba niandike kwa herufi kubwa ili tu- experience kitu apa
Ilianza kama masihara mwanzoni mwa disemba 2020, mpaka kuja kustuka baadae nkaona nateseka nikafika duka la dawa kubwa tu lenye wataalamu na lina garama ndogo sana kwa dawa zao.... Nikamueleza pale muhudum akasema iyo itakua fangasi maana nilikua nawashwa mwili maeneo ya kwapani, mapajani, sehemu za mbavu, sehemu ya kitovo karibu na mavuzi na pumbu liliota vipele au niseme uvimbe maana vilikua vimeumuka ambavyo kuna muda vilikua vinawasha na uume ulikua na upele na hadi kwenye kichwa cha uume...
Dozi ya kutosha akanipa nikatumia ndani ya siku 3 miwasho ikaisha na vipele kwa pumbu na uume vikapungua siku ya nne mzigo ukaanza upya....
Nikamwona daktari kwa mara ya kwanza nikapima mkojo na haja kubwa nikakutwa na uti pamoja na minyooo dokta akanipa dozi akasema hiii kiboko ya minyooo... Nikasema poa.... Siku 2 nikawa poa siku ya 3 mzigo ukaanza upya na dozi ndo inaelekea mwisho...
Nikaenda hospital ingne baada ya kumaliza dozi wakati huo hapo katikati ya dozi ni kujikuna mwanzo mwisho hasa nikitoka kuoga na muda wa kulala then saa 1130 alfajiri ndo nakua poa siwashwi kabisa then usingizi unakuja mpaka saa 1 muda wa kazi za watu. Japo na mchana miwasho inatokea ndo vile hakuna namna tu.
Nikamwona daktari na kumuonesha dawa zote nilizotumia akashauri nikapime mkojo na damu ili kuchek magonjwa ya zinaa, nikachek pale majibu uti bado ipo na damu iko poa... Akasema itakua mchafuko wa damu pia alleji... Nikaandikiwa sindano kama dozi 2 ivi siku 3 na ingine siku 5.. Na vidonge vya kutosha kwa ajili ya uti na dawa ya kupaka siku iyo ni 31/12/2020 naumaliza mwaka na kuanza mwingine nikiwa na mzigo wa dawa ila nkaona poa tu, afya kwanza.... Sindano ya siku ya kwanza hadi ya 3 niko poa ya 4 wadau hali ikalipuka kwa speed ile ile mpaka sio poa nilipiga simu kwa daktari akanielekeza dawa ingne ya kupaka na sindano yake na cetrizen wakati huo sijamaliza ile dozi ingne... Ila sikwenda kuitafuta..
Me ni mtu wa kampani na wadau katika starehe za apa na pale kwa iyo mwaka mpya tuliamua kufrahia home kwa mshikaji tukia na wadau wa kutosha kama marafiki... Siku ya tarehe 4 nilikutana na mmoja ya wadau tuolokua nao kwenye mkesha akaniuliza mbona siku hiyo skua natupia pombe nikamweleza nilikua na dozi.... Nikamweleza hali yangu kiujumla... Akanambia pia na yeye alikua na shida kama hiyo na alitumia dawa na akapona japo ye ni wa kike, baada ya apo akaenda kunichukulia creem inaitwa skderm-creem na sabuni ya kuogea inaitwa protex ile ya kijani... Toka nimeitumia siku hiyo tarahe 4 mpaka leo sijakua ni miwasho ka ilivokua apo nyuma... Japo vilepe vya kwenye uume na pumbu bado vipo je kuna dawa ya kukausha?
Note : japo kwa sasa nahisi miwasho kwa mbali sana nahisi ni kwa kua nimejaribu kuacha kuitumia leo ni siku ya 4 ili nijue je natakiwa niendelee na creem iyo ndo yawe mafuta yangu au vp... Swali kwenu pia kutumia izo dawa za kupaka kwa muda mrefu hakuna madhara?
Mwisho ni kwamba ugojwa huu unaambukiza kwa experience yangu na watu wa karibu niliongea nao kupitia nguo pia hata sex. Maswali yaendeleeee
Ilianza kama masihara mwanzoni mwa disemba 2020, mpaka kuja kustuka baadae nkaona nateseka nikafika duka la dawa kubwa tu lenye wataalamu na lina garama ndogo sana kwa dawa zao.... Nikamueleza pale muhudum akasema iyo itakua fangasi maana nilikua nawashwa mwili maeneo ya kwapani, mapajani, sehemu za mbavu, sehemu ya kitovo karibu na mavuzi na pumbu liliota vipele au niseme uvimbe maana vilikua vimeumuka ambavyo kuna muda vilikua vinawasha na uume ulikua na upele na hadi kwenye kichwa cha uume...
Dozi ya kutosha akanipa nikatumia ndani ya siku 3 miwasho ikaisha na vipele kwa pumbu na uume vikapungua siku ya nne mzigo ukaanza upya....
Nikamwona daktari kwa mara ya kwanza nikapima mkojo na haja kubwa nikakutwa na uti pamoja na minyooo dokta akanipa dozi akasema hiii kiboko ya minyooo... Nikasema poa.... Siku 2 nikawa poa siku ya 3 mzigo ukaanza upya na dozi ndo inaelekea mwisho...
Nikaenda hospital ingne baada ya kumaliza dozi wakati huo hapo katikati ya dozi ni kujikuna mwanzo mwisho hasa nikitoka kuoga na muda wa kulala then saa 1130 alfajiri ndo nakua poa siwashwi kabisa then usingizi unakuja mpaka saa 1 muda wa kazi za watu. Japo na mchana miwasho inatokea ndo vile hakuna namna tu.
Nikamwona daktari na kumuonesha dawa zote nilizotumia akashauri nikapime mkojo na damu ili kuchek magonjwa ya zinaa, nikachek pale majibu uti bado ipo na damu iko poa... Akasema itakua mchafuko wa damu pia alleji... Nikaandikiwa sindano kama dozi 2 ivi siku 3 na ingine siku 5.. Na vidonge vya kutosha kwa ajili ya uti na dawa ya kupaka siku iyo ni 31/12/2020 naumaliza mwaka na kuanza mwingine nikiwa na mzigo wa dawa ila nkaona poa tu, afya kwanza.... Sindano ya siku ya kwanza hadi ya 3 niko poa ya 4 wadau hali ikalipuka kwa speed ile ile mpaka sio poa nilipiga simu kwa daktari akanielekeza dawa ingne ya kupaka na sindano yake na cetrizen wakati huo sijamaliza ile dozi ingne... Ila sikwenda kuitafuta..
Me ni mtu wa kampani na wadau katika starehe za apa na pale kwa iyo mwaka mpya tuliamua kufrahia home kwa mshikaji tukia na wadau wa kutosha kama marafiki... Siku ya tarehe 4 nilikutana na mmoja ya wadau tuolokua nao kwenye mkesha akaniuliza mbona siku hiyo skua natupia pombe nikamweleza nilikua na dozi.... Nikamweleza hali yangu kiujumla... Akanambia pia na yeye alikua na shida kama hiyo na alitumia dawa na akapona japo ye ni wa kike, baada ya apo akaenda kunichukulia creem inaitwa skderm-creem na sabuni ya kuogea inaitwa protex ile ya kijani... Toka nimeitumia siku hiyo tarahe 4 mpaka leo sijakua ni miwasho ka ilivokua apo nyuma... Japo vilepe vya kwenye uume na pumbu bado vipo je kuna dawa ya kukausha?
Note : japo kwa sasa nahisi miwasho kwa mbali sana nahisi ni kwa kua nimejaribu kuacha kuitumia leo ni siku ya 4 ili nijue je natakiwa niendelee na creem iyo ndo yawe mafuta yangu au vp... Swali kwenu pia kutumia izo dawa za kupaka kwa muda mrefu hakuna madhara?
Mwisho ni kwamba ugojwa huu unaambukiza kwa experience yangu na watu wa karibu niliongea nao kupitia nguo pia hata sex. Maswali yaendeleeee