masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Brigadier General(Rtd) Martin Mwankanye amefariki muda mfupi uliopita pale Lugalo General Military Hospital.
Si watu wengi wanamfahamu marehemu, lakini wale tupo karibu na Jeshi tunajua kuwa alikuwa Specials ops na aliwahi kuwa Mwambata wa kijeshi kule Rwanda na hata Marekani.
RIP Brig. Gen. Martin Mwankanye.
KUAGWA RASMI
==============
Brig Gen Martin Mwankanye ameagwa rasmi, katika viwanja vya Lugalo GMH asubuhi ya leo1/2/2021.
Asante JWTZ kwa kuwaenzi wana wenu kwa heshima yote.
Gwaride lilikuwa lile la majonzi na lilivuta hisia ya wote waliokuwepo.