TANZIA Brigedier General Martin Mwankanye wa JWTZ afariki dunia

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
Brig Gen Martin Mwankanye.jpg


Brigadier General(Rtd) Martin Mwankanye amefariki muda mfupi uliopita pale Lugalo General Military Hospital.

Si watu wengi wanamfahamu marehemu, lakini wale tupo karibu na Jeshi tunajua kuwa alikuwa Specials ops na aliwahi kuwa Mwambata wa kijeshi kule Rwanda na hata Marekani.

RIP Brig. Gen. Martin Mwankanye.

KUAGWA RASMI
==============
Brig Gen Martin Mwankanye ameagwa rasmi, katika viwanja vya Lugalo GMH asubuhi ya leo1/2/2021.
Asante JWTZ kwa kuwaenzi wana wenu kwa heshima yote.
Gwaride lilikuwa lile la majonzi na lilivuta hisia ya wote waliokuwepo.
 
Thats why I really hate the government...

I have strong disdain with the serikali

I dont like them at all....the way they present themselves,the way they rule over other human beings,the way they oppress using coercive power,the way they break the law at will,etc

I hate these motherfvckers from my gut!

Ugonjwa haupo. Huu ulikwisha. Hapana upo kidogo sana.

Apumzike kwa amani major general.
 
Back
Top Bottom