Leo alfajiri baba mzazi wa Rostam Aziz, mzee Abdurasul Aziz amefariki dunia baada ya kuumwa kipindi kirefu. Alitibiwa Muhimbili na baadae kwenda Ufaransa ambako baada ya kuzidiwa alitaka arudishwe nyumbani Tanzania ili afariki akiwa huku.Baada ya kurudi alfajiri ya Leo alifariki masaa mawili baadae.
nimepata kuseama mara nyingi kuwa Chadema suo sehamu muafaka ya watu wenye akili kama Zitto na Kitila kukaa ndani yake na ukweli umeanza kuthibitishwa rasmi
Waungwana nimewasiliana na kijana wangu alieko mstali wa mbele kabisa Drc kanihakikishia kuwa huyo sio askali wao na pia pasport yake inaonekana kutolewa mwezi wa sita wakati mwezi huo askali wote wanaoenda kongo walikuwa wameshaandaliwa na passport zao tayari wameondoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.