Kutokuweka akiba...
Yaani, matumizi kwanza saving badae najikuta pesa imesha.
Namshukuru Mungu, changamoto hii nimeikomesha tangu March, 23. Hii ni baada ya mtoto wa mama mdogo kunitembelea nyumbani mapema mwaka huu. Aidha, namshukuru sana huyu ndugu yangu.
Huyu jamaa ni rafiki yangu wa...
Pale ndoa inapogeuka kuwa ndoano...
Ni wanaune wachache sana wanaoweza kuhimili taflani kama hii ktk hali tulivu licha ya chukizo na hasira zilizomjaa mhusika/ wahusika...
Alafu, mtu anapopaniki automatically anaweza kufanya jambo la ajabu bila kutegemea. Mfano: kuongea kwa sauti kubwa bila...
Ndiyo inatakiwa hiyo sasa...alafu ili ikolee poa, vunja vunja vipande kisha twanga twanga kwa pa1 na punje za v.saumu hadi viwe laini... alafu chemsha mchanganyiko huo na machai chai...
Kunywa kila siku asubuhi (ukiamka kabla hujala chochote) na jioni (kabla ya kwenda kulala)....
Libido lazima...
Natamani Gadiola apate timu ya Taifa kwani hadi sasa kwenye vilabu hadaiwi chochote. Wanaobisha kuwa si kocha bora ipo siku watakubali tu hasa akiweza kuchukua world cup maana ndiyo kikombe pekee kilichobakia mwamba anadaiwa...
Kweli kabisa... mimi niligundua wakati wa covid19. Baada ya tiba mbadala nyingi nyingi kuvuma ikiwemo recip hiyo ya tangawizi+limao+vitunguu swaumu ikabidi niwe nakunywa kutwa 1x3 kila siku...
Matokeo niliyoyapata ni kama ifuatavyo:
1. hamu ya tendo la ndoa kuongezeka isivyo kawaida.
2. hali ya...
Watoto wangu watatu wajao ntawapa majina yafuatayo:
1. Leome kutoka kwa Leonel Messi.
2. Allister kutoka kwa Alexis Mac Allister.
3. Emilliano kutoka kwa E.Martinez.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.