Pole saana dada..... ila tabia ya kuombeana mabaya kisa mtu amekuacha sio nzurii. Inatakiwa tujifunze si kila mahusiano mwisho wake ni ndoa sasa mwenzio ameona upendo wake umepungua asikwambie? Aendelee kukudanganya danganya? Bora muachane nawe upate mpenzi wa moyo.... ila sio kuombeana mabaya...
Huwa nasikitika saaana kuona mwanamke mwenzangu anadanganywa kwa visababu visivyo na kichwa wala miguuu....
kwa karne hii hakuna mwanamme anayelazimwa kuoa. Huyo ndo aliyemuona anafaa na kumchagua awe the love of his life forever.
Ulishakosea kwenda na rafik yako....
Ila huna haja ya kujipendekeza kwake infact kwamba bado hamjaanza mahusiano yeye kama kaamua kususa muache asuse tuuu siku akichoka atakutafuta mwenyewe..
Mwanamme unatakiwa kuona fahari kumuhudumia mwanamke wako na sio kuanza kulalama ......sasa kama hizo huduma ndogo ndogo ulitaka amwambie nani? wakati wewe ndo mtu wake.
Jamani kakazetu kuweni na furaha pindi unapomsaidia mwanamke wako na moja ya jukumu lenu ......
Hahaha mawazo ya vivulana bhana ayaaa kudanganyana na wavulana wenzio, kwa kuwa bado hamjua mnataka nini kwenye maisha halisi....
Mwanamme kamili hawezi kuwa na fikra fupiii kama zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.