Msaada: Msongo wa mawazo umenikosesha usingizi

Msaada: Msongo wa mawazo umenikosesha usingizi

mbona kawaida kaka stunter...

moshi kule wachanga iyo elf 15 yako unauziwa busu la shavu 1 tu.
 
Dah pole xna, inatakiwa ukiliwa na ww ule atakufata tena hy one day utalipiza
 
Mimi simpi demu hata 100 ila atakula bata analotaka !

Anywhere...!

Anything...!

Ukipewa hela ujie no Bata
 
Mimi simpi demu hata 100 ila atakula bata analotaka !

Anywhere...!

Anything...!

Ukipewa hela ujie no Bata
Hata kwangu ndo ilivyokuwa mkuu, yani hiyo hela tulitumia pamoja,
 
Daaaah kweli mkuu pesa ngumu xana kwa xaxa elf 15 unaacha pesa home ya siku mbili aisee kama mchelele na mafuta yapo pamoja na unga
 
Back
Top Bottom