fine face
Senior Member
- Oct 13, 2016
- 102
- 77
Hivi M kwenye kiganja inamaanisha nini?? Na wale wassup na M maana yake nin?Kiganja chako kina M we utakuwa dili.
Hivi M kwenye kiganja inamaanisha nini?? Na wale wassup na M maana yake nin?Kiganja chako kina M we utakuwa dili.
Kuna watu wana matatizo niliwahi ona mdada alikuwa hatakiwi kushika maji yalikuwa yanakausha ngozi mwili mzima kwa hiyo alikuwa anaoga mtindo wa kujifuta. Alikuwa anafuliwa mpk aliooenda sec sikufuatilia tena na sijui ilikuwa mzio wa aina gani. Ningekushaurei pia jaribu hospNimeishi mikoa kama mitano hv lkn nko vile via vile,sawa ntafanyia kazi ushaul wako
Wakati mwingne kweliKama ww Me huna haja ya kuwa soft
Komaa tu hvo hvo ndo uanaume huo mkuu................
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
Wakati mwingne kweli
Umejiunga CHAPUTA?Waungwana mikono yangu imekuwa ikiota sugu na kuwa migumu yaani imekomaa siyo kawaida wakati nafanya kazi za kawaida tu ambazo haziwezi kupelekea mikono yangu kuwa hivi.
Naombeni ushauri nitumie mafuta gani ili mikono yangu iwe laini maana hata ukisalimiana na mtu ni hatari. Nimejaribu kukata lakini baada ya muda inarudia.
hali yake ya kawaida
Utakuwa una nyota ya kilimo
Yuck!Piga nyeto mkuu, unapokaribia kumwaga kinga shahawa then pakaa mikononi kaa masaa mawili hadi matatu bila kushika maji fanya hivo kutwa mara tatu utaona matokeo ndani ya wiki mbili tu.
Hahaha na kikiwa na wKiganja chako kina M we utakuwa dili.