Mikono yangu inaota sugu, nitumie mafuta gani ili iwe laini?

Nimeishi mikoa kama mitano hv lkn nko vile via vile,sawa ntafanyia kazi ushaul wako
Kuna watu wana matatizo niliwahi ona mdada alikuwa hatakiwi kushika maji yalikuwa yanakausha ngozi mwili mzima kwa hiyo alikuwa anaoga mtindo wa kujifuta. Alikuwa anafuliwa mpk aliooenda sec sikufuatilia tena na sijui ilikuwa mzio wa aina gani. Ningekushaurei pia jaribu hosp
 
Waungwana mikono yangu imekuwa ikiota sugu na kuwa migumu yaani imekomaa siyo kawaida wakati nafanya kazi za kawaida tu ambazo haziwezi kupelekea mikono yangu kuwa hivi.

Naombeni ushauri nitumie mafuta gani ili mikono yangu iwe laini maana hata ukisalimiana na mtu ni hatari. Nimejaribu kukata lakini baada ya muda inarudia.

4b1b5480a9edec577fdc0cc42fe5feb2.jpg
hali yake ya kawaida
Umejiunga CHAPUTA?
 
Pole, hakikisha mikono yako iko moist muda mote uwe na hand lotion au mafuta ya vaseline. Pia unaweza nunua scrub au kutengemeza mwenyewe ya mafuta ya nazi/olive na sukari unachanganya na kusugua mikono then nawa na kupaka mafuta. Pia usiku hakikisha mikonono iko moisturized itabadilika. Pole
 
Pendelea kupaka mafuta baada ya kunawa mikono,anza hata na Vaseline tu..af mda unapaka fanya kama una massage hivi...endelea hadi utakapopata matokeo mazuri,
Km una kazi za mikono nyingi vaa gloves
 
fe8a6cc4e5450500eb710ad253a0b0d3.jpg
209e7a73d35d365d09f2f96419fdac5f.jpg
ni nzuri sana mimi nilinunua Ebay inasaidia pia kwa mikono kama ni mikavu.uzuri uitumie asubuhi na usiku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom