Weekend story: Bad wives

Weekend story: Bad wives

Dah stori nzima nasoma nimesimamisha haya ni maneno je ningekuona live ?
 
Amar umezingua, pale unamshika shika demu mi nilikuwa nakucheki nikajua utajiongeza kuacha ku force mwanangu hujiongez wala nini.... umezingua Amar
 
Sasa pale mlangoni kuna dirisha akamuona kabisaaa bibi. Akaita bibi, biii nisaidieee. Mmmmmhhh, bibi ndo sio wa kumpa msaada sio wa kumpa msaada kabisaaa. Bibi akainuka kibarazanii, akamjibu mjukuu wangu we umeingi mwenyewe kwa mwanaume huyoo, umeva kiminooo, ulikujua huyo kaka yako toka nitoke au baba yako mzazi atakuacha hivi hivi. Siajabu umetoka kwenu umeosha kipapa, umenyoa kabisaa, umingia mwenyewe humo maabara, vumilia upasuaji mjukuu wangu. Amar mie naenda ile safari ya vikindu mshaanaza kunitia janaba mchana mchana. Hapo ndo alipopata uhakika mule ndani msaada hakunaaa.

ITAENDELEA SAA 5 USIKU. IKICHELWA SAA 6 ILA LAZIMA IENDELEEE.

Nimecheka sana hii paragraph ya bibi. Kweli wazaramo ni shida.
 
Lara unazinguaaaaaaa..... Utalipa usingizi wangu ujue, haiwezekani mi sisinzii na story huweki, saa tano tayari
 
Back
Top Bottom