Sasa pale mlangoni kuna dirisha akamuona kabisaaa bibi. Akaita bibi, biii nisaidieee. Mmmmmhhh, bibi ndo sio wa kumpa msaada sio wa kumpa msaada kabisaaa. Bibi akainuka kibarazanii, akamjibu mjukuu wangu we umeingi mwenyewe kwa mwanaume huyoo, umeva kiminooo, ulikujua huyo kaka yako toka nitoke au baba yako mzazi atakuacha hivi hivi. Siajabu umetoka kwenu umeosha kipapa, umenyoa kabisaa, umingia mwenyewe humo maabara, vumilia upasuaji mjukuu wangu. Amar mie naenda ile safari ya vikindu mshaanaza kunitia janaba mchana mchana. Hapo ndo alipopata uhakika mule ndani msaada hakunaaa.
ITAENDELEA SAA 5 USIKU. IKICHELWA SAA 6 ILA LAZIMA IENDELEEE.