Kwanza je unaijua hiyo biashara vizuri?Pili fanya utafiti wa laundry zote zilizopo dar au dom,sasa baada ya utafiti wako huo ni kitu gani umegundua? Tumia huo utafiti kuanzisha hiyo laundry anbapo umeona gape.Ila nakutahafhatidha ni mradi unaotaka fedha nyingi maana vifaa vyote ni lazima...
Ni kweli kabisa,hiyo mimi imenikuta zaidi ya mara 10 na kuna wakati nilikuwa nawatafuta sana,wanawake wauza mbogamboga,wauza mahindi ya kuchoma,wadada wa kwa mama ntilie,ni watamu,wana heshima sana na wanajisalimusha kwa mwanaume wawapo kitandani.Yupo mdada mmoja nilimpata nyakato national...
wewe huwezi kunitoa kwenye ustaarabu wangu kwa kutumia lugha za hovyo,kwani ukiniita kapuku wakati mimi nina kila kitu,kinanikera nini?Fanya kazi utafute maendeleo.
Nipo Mwanza.Na haya ndio matatizo yako,kwa akili yako unadhani kila anayemuongelea samia vizuri ni chawa wake.Acha mambo hayo,mimi ni mtu nayejitosheleza kwa kila kitu,na sijawahi kuingia siasa hadi muda huu nasogelea 66,fatilia nyuzi zangu utajua mie sio mtu wa shida hata kidogo lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.