Recent content by fimboyaukwaju

  1. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania CRDB ya Nsekela, kwa watu wanaofuatilia pattern, ilibidi waipige chini muda mrefu

    Kilaza ni wewe ambae hata la saba hujafika,unaweza kudiriki kusema eti ushahidi utasaidia nini? shubamiti mbumbumbu wewe
  2. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania CRDB ya Nsekela, kwa watu wanaofuatilia pattern, ilibidi waipige chini muda mrefu

    Kushutumu bila ushahidi sio jambo zuri,kama una ushahidi wa huo ufisadi hebu uweke hadharani,vinginevyo nyamaza bro
  3. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Hivi biashara ya laundry dryer cleaning inalipa kweli kwa dar na Dodoma

    Kwanza je unaijua hiyo biashara vizuri?Pili fanya utafiti wa laundry zote zilizopo dar au dom,sasa baada ya utafiti wako huo ni kitu gani umegundua? Tumia huo utafiti kuanzisha hiyo laundry anbapo umeona gape.Ila nakutahafhatidha ni mradi unaotaka fedha nyingi maana vifaa vyote ni lazima...
  4. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Haya mambo sio ya kuleta hapa,hili ni suala la kuongea wewe na yeye kwanza,na mkishindana,wapo viongozi wa kidini na wazazi wenu
  5. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Kwenye kituo cha Mbezi Luis kuna changamoto kubwa ya Usafiri, LATRA fuatilieni

    Ungefafanua vizuri zaidi shida ni nini haswaa
  6. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Tafuta mwanasheria akusaidie usipambane peke yako
  7. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nitongoze mtoto wa mtu! Hili lililo Nikuta limenifunza kitu MJINI hapa

    Pole wengi tumepitia hali hiyo tofauti ni ukubwa wa tukio tu
  8. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huyu mwanajeshi amepata wapi hizi fedha za kuinunua Namanga Makangira?

    lengo lako ni kutaka kumfedhehesha jk kwa uongo utaishia hivyo hivyo hutafanikiea.Uongo una una mwisho wake
  9. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Nimeangukia Demu wa Mtaani: Utamu Sijawahi ona!

    Ni kweli kabisa,hiyo mimi imenikuta zaidi ya mara 10 na kuna wakati nilikuwa nawatafuta sana,wanawake wauza mbogamboga,wauza mahindi ya kuchoma,wadada wa kwa mama ntilie,ni watamu,wana heshima sana na wanajisalimusha kwa mwanaume wawapo kitandani.Yupo mdada mmoja nilimpata nyakato national...
  10. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Teuzi mpya kurindima hivi punde, kigezo kikuu ni Rambirambi za Kizimkazi

    wewe huwezi kunitoa kwenye ustaarabu wangu kwa kutumia lugha za hovyo,kwani ukiniita kapuku wakati mimi nina kila kitu,kinanikera nini?Fanya kazi utafute maendeleo.
  11. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Teuzi mpya kurindima hivi punde, kigezo kikuu ni Rambirambi za Kizimkazi

    Nipo Mwanza.Na haya ndio matatizo yako,kwa akili yako unadhani kila anayemuongelea samia vizuri ni chawa wake.Acha mambo hayo,mimi ni mtu nayejitosheleza kwa kila kitu,na sijawahi kuingia siasa hadi muda huu nasogelea 66,fatilia nyuzi zangu utajua mie sio mtu wa shida hata kidogo lakini...
  12. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Teuzi mpya kurindima hivi punde, kigezo kikuu ni Rambirambi za Kizimkazi

    Samia hateui watu bila sababu na mipango ya uhakika,hata kama humpendi kumsingizia uongo sio ustaarabu
  13. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Priscilla Kashakuwa Mswahili Wabongo Mtakoma; Aweka Historia Usiku wa Hina wa Zuchu, Akicheza Kibao Kata

    wa igbo na kukata kiuno ni utamaduni wao
  14. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Binafsi sioni faida ya kuwa humu.

    Uzuri hulazimishwi,ukishaona hapafai unaondoka tu
  15. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Je machawa yaamemtelekeza mama yao aliyefiwa?

    Ila nyie mnaopinga kila kitu,ndio mna akili?
Back
Top Bottom