Recent content by fimboyaukwaju

  1. fimboyaukwaju

    Zanzibar: CCM na ACT Wazalendo wafikia Maridhiano ya Kisiasa

    Tusubiri tuyaone hayo maridhiano yakoje,tukianza kutoa lawama muda huu sio sawa
  2. fimboyaukwaju

    Kama Ayatolla Mojtaba hakujitokeza Msibani mlitegemea watu wajitokeze wakutane na Machine?

    Mojtaba hayupo hai,hayo yote ni maigizo tu
  3. fimboyaukwaju

    Huyu sio mwanao usimfokee, kama umechoka sepa! – Maneno ya singo mama

    wewe ulijuaje kuwa demu analiwa matobo yote 2?
  4. fimboyaukwaju

    Zanzibar: CCM na ACT Wazalendo wafikia Maridhiano ya Kisiasa

    Hii ni taarifa nzuri sana
  5. fimboyaukwaju

    Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

    Ile sekenke ya zamani,ulikuwa mlima hatari sana
  6. fimboyaukwaju

    Tetesi: EU na Ubalozi wa Marekani watahadharisha Raia wake kubaki Majumbani kuanzia tarehe 5 July 2026

    Ni jambo la kawaida marekani kutahadharisha raia wake,hakuna cha ajabu.Na wala hakuna maandamano yoyote yatakayofanyika
  7. fimboyaukwaju

    Nini Chanzo cha mawazo?

    Chanzo cha mawazo ni mawazo
  8. fimboyaukwaju

    JamiiForums Usiku wa manane

    Leo nipo dodoma na nina mdada mmoja ni supa haswa,blackish na hajichubui,ni singo maza mwenye mtoto mmoja,ana cheo na pesa anazo.Umbo ni mnene wastani na amejaza tako la nguvu.Game itakuwa kali sana
  9. fimboyaukwaju

    Kocha wa Uholanzi Koeman ajiuzulu baada ya kutupwa nje Kombe la Dunia

    N i kawaida kwa kocha anayefungwa
  10. fimboyaukwaju

    Uwezekano wa Museveni na Kikwete kutomaliza mwaka huu ni mkubwa sana

    Museveni pia ana prostate kansa,ama ana vyotembea hiyo ni athari ya vita alipigwa risasi.Hayo mengine ayajuaye ni Mungu,unaweza kufa wewe ukawaacha hao wote
  11. fimboyaukwaju

    Oh Pacome,pole sana

    Pacome kaumizwa,zile picha zinaashiria kitu kibaya,yule mchezaji mwenyewe aliyemuumiza alificha uso wake kwa huzuni na aibu
  12. fimboyaukwaju

    Nini kinazuia CHADEMA na CCM wasikae mezani kuondoa huu mzozo?

    kwa taarifa za siri nilizonazo ccm ba chadema wanaongea kwa siri
  13. fimboyaukwaju

    Rais Samia Suluhu amefeli mazima kuendesha hii nchi

    Hebu tupe mazuri ya samia pia tulinganishe
Back
Top Bottom