Usihangaike na hawa watukanaji,ni watu waliofeli kwenye maisha na wana chuki kwa kufeli kwao,na njia ya kujifariji ni kutukana matusi yasiyo na maana yoyote.Hawa maisha yao yote ni kutukana,na hata mtu mwingine akishinda uraisi tofauti na ccm watamtukana tu
Matangazo yenu yana ubora mdogo sana, ukilinganisha na uwekezaji mkubwa sana mlioufanya.
Matatizo makubwa ni haya:
1.Sauti ni tatizo kubwa sana. Kila taarifa ya habari ni lazima ina shida ya sauti
2.Kuandika maandishi yanayoambana na habari hapo ndio kituko cha ajabu
3.Mpangilio wa...
ok kama hiyo ndio ilikuwa mantiki yako uko right,nami na withdraw hoja yangu ya kukupinga,isipokuwa mie sio chura ni binadamu mwenye hadhi na heshima yangu
Sasa sual ni la dr rioba ya kigwangwalah yanakuja
ok afadhali umeniuliza vizuri na kwa heshima na mimi ntakujibu vizuri kabisa,dr rioba alitoa fursa kwa habari za vyama vya upunzani na zilitangazwa sana tu,fanya utafiti,kama unaweza nenda kwa viongozi wa vyama vya upinzani vyote watakwambia...
Wewe hayo uliyoandika ni maneno ya chooni ambayo hayana mantiki yoyote ile.Dk Ayubu mimi namfahamu miaka mingi na niliwahi kumpa kazi nikiwa nje ya nchi hii na aliifanya vizuri sana.Wewe usione tunaandika hapa akadhani tuko level moja shubamiti,huna unachoweza kumfikia dk ayubu hata kuwa mfahia...
Ni vigumu kukubadili mawazo yako kwakuwa ushaamua,lakini ukweli unaujua kuwa hakuna mtumishinwa kevel ya ayubu ataandika mafanikio yake facebook.Kumbuka ayubu ni mwalimu kwa taaluma na amemrithi kazi hiyo baba yake,hivyo anavyopewa ifa hizo maana yake hivyo vyuo vinatambua umahiri wake.Acha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.