Hayo ni mambo ya kuongea nae huyo mwenzio kwa uwazi,na ukitaka akuelewe vizuri uwe unamwambia wakati mkuyenge umemuingia
Pili tuache kuwadhalilisha hawa masingo maza kwa kuwapakaza sifa za kuwa watu wabaya ambao hawaeldwi kitu,kwamba ni wabinafsi
Huyu mafwele ana shemeji yake wa zamani ambae alikuwa ni mke wa mdogo wake,anayeishi marekani.Namfahamu sana kipindi akiishi mwanza kama rco.Nina stori moja kali sana kuhusu mkewe
Ni kwe
Ni kweli kuna mtu anaunga mkono ccm,huo ni mtazamo wake hakuna haja ya kumtukana na kumwita chawa,kuna mtu anaunga mkono chadema pia huo ni mtazamo wake hakuna haja ya kumchukia.Hivyo ndivyo dunia ilivyo
Kwenye nchi zinazofuata siasa za vyama vingi,kila mmoja ana haki na uhuru wa kujiunga na chama akipendacho na uamuzi wake sio ujinga,ila mjinga ni yule anayewaona wenzie waliojiunga na chama asichokipenda yeye,wajinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.