Recent content by fimboyaukwaju

  1. fimboyaukwaju

    Ninasikitishwa na kuumizwa sana ninapoona Sativa akitukana na kudhalilisha Viongozi wetu

    Usihangaike na hawa watukanaji,ni watu waliofeli kwenye maisha na wana chuki kwa kufeli kwao,na njia ya kujifariji ni kutukana matusi yasiyo na maana yoyote.Hawa maisha yao yote ni kutukana,na hata mtu mwingine akishinda uraisi tofauti na ccm watamtukana tu
  2. fimboyaukwaju

    Mfano mimi ndio baba mkwe wako sasa, hebu nishitakie tabia za mwanangu

    Baba,mwanao anajamba sana wakati wa sex mpaka hamu inaniisha
  3. fimboyaukwaju

    Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

    Nyuchi hazitambui umri,ukizigusanisha zinakulana tu.Mimi naelekea 65 lakini nakula hata wa 25
  4. fimboyaukwaju

    Azam Media ajirini, CEO kutoka nje ya nchi

    Matangazo yenu yana ubora mdogo sana, ukilinganisha na uwekezaji mkubwa sana mlioufanya. Matatizo makubwa ni haya: 1.Sauti ni tatizo kubwa sana. Kila taarifa ya habari ni lazima ina shida ya sauti 2.Kuandika maandishi yanayoambana na habari hapo ndio kituko cha ajabu 3.Mpangilio wa...
  5. fimboyaukwaju

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Inaendelea vizuri kwa zile ambazo tayari zilishaanza,na mpya zinapokuja hazitangazwi kama ambavyo bashe alikuwa anafanya
  6. fimboyaukwaju

    Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    ok kama hiyo ndio ilikuwa mantiki yako uko right,nami na withdraw hoja yangu ya kukupinga,isipokuwa mie sio chura ni binadamu mwenye hadhi na heshima yangu
  7. fimboyaukwaju

    Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Sasa sual ni la dr rioba ya kigwangwalah yanakuja ok afadhali umeniuliza vizuri na kwa heshima na mimi ntakujibu vizuri kabisa,dr rioba alitoa fursa kwa habari za vyama vya upunzani na zilitangazwa sana tu,fanya utafiti,kama unaweza nenda kwa viongozi wa vyama vya upinzani vyote watakwambia...
  8. fimboyaukwaju

    Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Sasa sual ni la dr rioba ya kigwangwalah yanakujaje
  9. fimboyaukwaju

    Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Wewe hayo uliyoandika ni maneno ya chooni ambayo hayana mantiki yoyote ile.Dk Ayubu mimi namfahamu miaka mingi na niliwahi kumpa kazi nikiwa nje ya nchi hii na aliifanya vizuri sana.Wewe usione tunaandika hapa akadhani tuko level moja shubamiti,huna unachoweza kumfikia dk ayubu hata kuwa mfahia...
  10. fimboyaukwaju

    Hivi wenzetu mnaotumia Facebook mna akili timamu kweli?

    Hata humu hali ni ileile tu kama facabook
  11. fimboyaukwaju

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Kula kimyakimya,chapa lapa.
  12. fimboyaukwaju

    Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Ni vigumu kukubadili mawazo yako kwakuwa ushaamua,lakini ukweli unaujua kuwa hakuna mtumishinwa kevel ya ayubu ataandika mafanikio yake facebook.Kumbuka ayubu ni mwalimu kwa taaluma na amemrithi kazi hiyo baba yake,hivyo anavyopewa ifa hizo maana yake hivyo vyuo vinatambua umahiri wake.Acha...
Back
Top Bottom