Recent content by fimboyaukwaju

  1. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Mwanaume Kama sio Lazima husimfanyie hiki kitu Mke wako:

    HUSIMFANYIE NDIO NINI?
  2. fimboyaukwaju

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miguno, vilio, sauti za mahaba vinapotea taratibu

    Hakuna mwanamke atakaa kimya ukimpachika mwichi
  3. fimboyaukwaju

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

    Hayo ni mambo ya kuongea nae huyo mwenzio kwa uwazi,na ukitaka akuelewe vizuri uwe unamwambia wakati mkuyenge umemuingia Pili tuache kuwadhalilisha hawa masingo maza kwa kuwapakaza sifa za kuwa watu wabaya ambao hawaeldwi kitu,kwamba ni wabinafsi
  4. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Huyu mafwele ana shemeji yake wa zamani ambae alikuwa ni mke wa mdogo wake,anayeishi marekani.Namfahamu sana kipindi akiishi mwanza kama rco.Nina stori moja kali sana kuhusu mkewe
  5. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu Kuheshimu mawazo ya wengine bila chuki!

    Ni kwe Ni kweli kuna mtu anaunga mkono ccm,huo ni mtazamo wake hakuna haja ya kumtukana na kumwita chawa,kuna mtu anaunga mkono chadema pia huo ni mtazamo wake hakuna haja ya kumchukia.Hivyo ndivyo dunia ilivyo
  6. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Hivi nitumie dawa gani?

    Ndio
  7. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Hivi nitumie dawa gani?

    Hii mimi nimetumia sana
  8. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa kuona marekani inafanyia kazi mambo ya mitandaoni ambayo yamejaa uongo na upotoshaji mkubwa

    Kwa sasa serikali ya trump haiminiki na kaieleweki
  9. fimboyaukwaju

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyumba niliyohamia wanawake wanaomba omba sana

    Bro,chakula mlangoni
  10. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

    Kwenye nchi zinazofuata siasa za vyama vingi,kila mmoja ana haki na uhuru wa kujiunga na chama akipendacho na uamuzi wake sio ujinga,ila mjinga ni yule anayewaona wenzie waliojiunga na chama asichokipenda yeye,wajinga
  11. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Ngono inapunguza nguvu za kiroho?

    Huwezi kukosa mtu wa kuoa au kuoana nae
  12. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Hivi nitumie dawa gani?

    Unapofanya mapenzi na mkeo,yale mafuta yanayotoka kwenye uchi wa mkeo paka usoni kwa wiki 2 chunusi zote zitaisha
  13. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Ngono inapunguza nguvu za kiroho?

    Mradi uwe umeoa kwa kuzingatia dini yako,basi ngono ni ibada ila kama unazini hiyo ni kitu kingine
  14. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Kuamini ndoa ni Mpaka ifungwe kanisani au Msikitini ni dalili ya utumwa na uelewa mdogo kwa watu

    Wewe ndiye mgonjwa haswaaa na bora niachane na wewe tu
  15. fimboyaukwaju

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Mimi the greatest fantasy yangu hapo haipo hata moja
Back
Top Bottom