Recent content by fimboyaukwaju

  1. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Kwa hili namsaidiaje binti yangu?

    Mpe muda awe anaenda kukaa kwa mama yake mara kwa mara
  2. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Bakari Shime,inatosha jiuzilu.

    Unajua yeye pia ni kocha wa timu ya taifa ya vijana,serengeti boys,abaki huko
  3. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Bakari Shime,inatosha jiuzilu.

    sio zengwe ni ukweli shime ndio kocha wa timu za wanawake na kocha wa timu za vijana,hawezi kufundisha timu zote
  4. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Bakari Shime,inatosha jiuzilu.

    Pale tff kuna katibu mkuu mwl oscar mirambo ni kocha mwenye leseni ya uero pro anajua wapi atapata kocha anayefaa
  5. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Bakari Shime,inatosha jiuzilu.

    Umeongea kweli
  6. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Bakari Shime,inatosha jiuzilu.

    Mie sio kocha.
  7. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Bakari Shime,inatosha jiuzilu.

    Umekuwa kocha wa timu za miguu za wanawake kwa miaka mingi sana.Umefanya mengi mazuri,lakini uwezo wako na ujuzi wako umefika upeo,inatosha.Jiuzulu aje mwingine ajaribu na yeye,huna jipya,angalia tulivyotolewa wafcon,timu ilikuwa inajichezea tu bila plan yoyote
  8. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Leo mimi na wake zangu wote 2 tunasherehe na baadhi ya majirani na ndugu,hatujalala tunakula na kunywa,kwa kumuaga mke wangu wa 2 ambae anarejea Marekani ambako ndio anaishi kwa sasa.Ni furaha kubwa mno,Mungu azidi kutupa furaha na amani
  9. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Kwanini mawakala wa kufanya mihamala ya simu wanachelewa kufungua ofisi?

    Ni miamala sio mihamala
  10. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Safari hii Iran lazima anyooshe maelezo kwa Trump!!

    Trump hana maarifa ya kuipiga iran
  11. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Kwani hujui kuwa ngono huchukua asilimia 90 za akili za wanaadamu
  12. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Twiga Stars imegongwaMe

    Mechi imeisha bourkina fasso 2- Twiga Stars 1
  13. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Azam fc kubaki na Fei Toto ni hasara kwao kuliko faida

    Tayari kauzwa yanga,wanasubiri kumtangaza tu
  14. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hapendi kujifunika shuka moja na mimi, nifanyaje?

    Punguza kujamba mnapokuwa mmejifunika
Back
Top Bottom