Recent content by Fildmashal

  1. F

    Mwalimu akatwa mkono kisa wivu wa kimapenzi

    Madam pole sana ni pigo zito ukizingatia kazi yako ya ualimu bila kiganja.
  2. F

    Nimeangusha pesa ya rambirambi 300,000/= cash mchana huu

    Walitoa kwa ajilia yamsiba sasa wanakudahi ya nini .Wezakuta aliye okotao Kaenda kuokoa uhai wa mwingine.
  3. F

    Fomula za Masikini na Tajiri

    Mkuu umeandika kibabe
  4. F

    Saba mbaroni kwa kutorosha Tanzanite ya thamani ya billion 7.2

    Mkuu lile trekta linatoaga udongo kutoka wapi? Miundo mbinu ipo waya nasikia hadi manta na hakuna kutambaa.
  5. F

    Kwa hatua niliofikia hivi sasa naona bora nife kwa maana nimefeli hatua zote katika maisha

    Weka elimu yako wazi .Umesomea nini pia jaribu kusomea udreva acha kukumbatia cheti . Kufa kizembe ni zambi kama zambi zingine.
  6. F

    Mdogo wa mke wangu kamleta mwanaye kuishi kwangu ila sipo tayari kubeba lawama baadaye. Nifanye nini kuepuka hili?

    1)Je, baba yake anauwezo wakumlea 2 ) Je, Mama yake ana uwezo wa kumlea Usije kuta unatafuta laana bure. Msaidie Leo uwezijua uzeeni akakutunza,Hapo unatengeneza jeshi la baadae.
  7. F

    Ni kweli wenye umri wa miaka 25 mpaka 35 wana stress sana?

    Ni kipindi cha kukaza kamba na kujituma zaid.
  8. F

    Guinness my bia..

    Ntakupa maelekezo ya kuipata
  9. F

    Guinness my bia..

    I will buy it for you
  10. F

    Je, ulishawahi kuletewa pigo sizo na wageni wako? Weka mkasa wako, yangu hii hapa

    Inaitajika uvumilivu na busara kukaa na mgeni, Hata wewe kuna siku utakuwa mgeni.
Back
Top Bottom