Gharama juu sana,huduma haziko poa,hawataki kuajiri qualified personnel,wao ni mwendo wa cheap labour tu....
No retention mechanisms hata kwa wale wanaoajiriwa....
Jamani mambo yote yapo google,unaona kila mechi unayotaka....
Kwa nn kuwa watumwa wa dstv???
Kwenye laptop yenye vga au hdmi unaconnect na tv basi no problem
Ukiangalia sehemu ya binadamu kutoka kiunoni kwenda juu, sehemu za mbele nyingi zimefanana na zile za nyuma za kutoka kiunoni kwenda chini
Mfano;
Kifua(mbele)=matako(kwa nyuma)...yaani vyote vimegawanyika sawasawa.
Magoti(kwa mbele)=viwiko vya mikono;(kwa nyuma)
Nyingine umalizie wewe mdau
Nimeletewa simu aina ya BLU DASH 5+ toka USA Android dual sim card .
Nimefanya kila linalowezekana lililo ndani ya upeo wangu kui-set kwenye 3G network naona nimeshindwa.
Naomba msaada wenu jamani.
Kama nimekosea unirekebishe kama ulivyofanya....usiniponde kwa just hii minor error,of course I appreciate for your comment.....naomba kama unajua ujibu kwa ufasaha......post niliiandika usiku sana nilipokuwa nimechooooika na kazi za operation za uzazi za usiku kucha....nikabaki nikitafakari...
Kwa wakuu mnaojua miongozo. According to current understanding orders, haki au stahiki za daktari aliyeko kazini ni zipi? Na naweza kuzipata vipi katika maandishi?
Asante sana mkuu kwa kunielewesha,sasa nimeelewa kuwa HDMI cable na display port ni tofauti kabisa,na nimechunguza vzr kwenye laptop yangu nikagumdua kuwa ina displa port tofauti na yule aliyeniuzia laptop alinilisha matango pori kuwa ile ni port ya HDMI......Je, kuna uwezekano wa kuunganisha my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.