Recent content by Fikra Angavu

  1. Fikra Angavu

    Kiswahili kiacheni tu jamani

    Mobile phone ni rununu
  2. Fikra Angavu

    Lipi neno sahihi kati "SAINI na SAHIHI?

    Saini ndiyo neno rasmi.
  3. Fikra Angavu

    Kamusi ya Kiswahili Sanifu

    Tafsiri ya nini...!?
  4. Fikra Angavu

    Kamusi ya Kiswahili Sanifu

    Hamna Kamusi ya Kiswahili Mtandaoni wala programu tumizi , ila ipo tovuti ya oxford unayoweza kukuta maneno ya Kiswahili Oxford Dictionaries | Swahili Dictionary
  5. Fikra Angavu

    Hizi hali za umilikishi zikoje kwenye kiingereza?

    "This is James's pen" sentensi yenyewe tu haiko sahihi kwa swali unalotaka jibu lake.
  6. Fikra Angavu

    Mada maalum: Maneno/Misamiati adhimu ya Kiswahili-Kingereza

    Maana nyingine ya sharubati ni nini..!?
  7. Fikra Angavu

    Mada maalum: Maneno/Misamiati adhimu ya Kiswahili-Kingereza

    Laptop inaitwa Tarakilishi Mpakato... Sio kibwebweto mpakato
  8. Fikra Angavu

    Hawala/Ewala

    Ni Hewala... Na siyo ewala Ni hawara... Na siyo hawala
  9. Fikra Angavu

    Mada maalum: Maneno/Misamiati adhimu ya Kiswahili-Kingereza

    Fax = Nukushi au Nukulishi na sio Nakilishi
  10. Fikra Angavu

    Shairi: Hii ya leo kali

    Nina uhakika nina gundu, Haifichiki kama nundu, Wazi wazi bila ukungu, Hii ya leo ni kali, nimechoka paka basi. Nilikua daladalani, Mtoto mzuri pembeni, Anasimu kiganjani, Hii ya leo ni kali, nimechoka paka basi. Nikamuuliza, Dada habari yako, Za huko utokako, Umependeza naomba namba yako...
  11. Fikra Angavu

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Hapana hakuna busara katika hilo, mimi niseme Ni jambo la Maana sana kwa wanaisimu wetu kuita king'amuzi na na Tarakilishi... Maneno ambayo tungeweza kuyazoea kama tungeongeza matumizi yake. Kutohoa ni njia ya kuongeza misamiati katika lugha na kuna sababu zake lakini pia sio lazima kutohoa...
  12. Fikra Angavu

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Kitu unachotakiwa kufahamu ni kwamba... Kila lugha ina maneno yake, huwezi kusema eti Trachea kuitwa kongosho ni kitu cha ajabu wakati kongosho ni kitu/kiungo kipo kabla ya kingereza. Kila lugha ina maneno yake na kila lugha ina inawakilisha tamaduni ya eneo husika. Wanafunzi kushindwa...
Back
Top Bottom