Kiswahili kiacheni tu jamani

Joseverest

JF-Expert Member
Sep 25, 2013
51,988
69,380
Habari za leo. Napenda kuwapa rai ndugu zangu.
Najua sisi sote humu ndani ya hili *_kundi sogozi_* tunamiliki _*simu tamba*_. Tuweni makini kwani kutumia _*sikanu*_ zetu _*mkondoni*_ kunaweza wapa mwanya wezi wa mtandaoni kutuibia. Wezi hutuma _*maunzi laini*_ yanayoweza kuharibu _*kitumi*_ chako au kuingilia _*makavazi*_ ya _*sikanu*_ yako. Wakishatuma _*maunzi laini*_ hayo nawe pasi na kujua ukibofya _*kiungo*_ kilichobeba _*maunzi laini*_ unakuwa _*umeshapakua*_ na _*kusanidi mtaliga*_ wenye uwezo wa kubadili au _*kughushi nenomsingi*_ lako na hivyo kunyima uwezo wa kuitumia _*sikanu*_ yako kwa kuifanya _*puku*_ kushindwa kutambua amri unazoipatia _*baobonye*_ ya _*kiwambagusa*_ cha _*sikanu*_ yako.

*JE KISWAHILI KITUMIKE KAMA LUGHA YA KUFUNDISHIA KWA NGAZI ZOTE ZA ELIMU?*


*Tafsiri ya maneno hayo*

1. Kundi sogozi = chatting group
2. Sikanu = smartphone
3. Kitumi=device
4. Maunzi laini=software
5. Kiungo=link
6. Kusanidi=install
7. Mtaliga=virus
8. Neno msingi=keyword
9. Puku=mouse
10.Baobonye=keyboard
11. Kiwamba gusa=touch screen
12. Makavazi=archives
13. Simu tamba=mobile phone
14. Mkondoni=online
15. Pakua=download


C&P
 
Habari za leo. Napenda kuwapa rai ndugu zangu.
Najua sisi sote humu ndani ya hili *_kundi sogozi_* tunamiliki _*simu tamba*_. Tuweni makini kwani kutumia _*sikanu*_ zetu _*mkondoni*_ kunaweza wapa mwanya wezi wa mtandaoni kutuibia. Wezi hutuma _*maunzi laini*_ yanayoweza kuharibu _*kitumi*_ chako au kuingilia _*makavazi*_ ya _*sikanu*_ yako. Wakishatuma _*maunzi laini*_ hayo nawe pasi na kujua ukibofya _*kiungo*_ kilichobeba _*maunzi laini*_ unakuwa _*umeshapakua*_ na _*kusanidi mtaliga*_ wenye uwezo wa kubadili au _*kughushi nenomsingi*_ lako na hivyo kunyima uwezo wa kuitumia _*sikanu*_ yako kwa kuifanya _*puku*_ kushindwa kutambua amri unazoipatia _*baobonye*_ ya _*kiwambagusa*_ cha _*sikanu*_ yako.

*JE KISWAHILI KITUMIKE KAMA LUGHA YA KUFUNDISHIA KWA NGAZI ZOTE ZA ELIMU?*


*Tafsiri ya maneno hayo*

1. Kundi sogozi = chatting group
2. Sikanu = smartphone
3. Kitumi=device
4. Maunzi laini=software
5. Kiungo=link
6. Kusanidi=install
7. Mtaliga=virus
8. Neno msingi=keyword
9. Puku=mouse
10.Baobonye=keyboard
11. Kiwamba gusa=touch screen
12. Makavazi=archives
13. Simu tamba=mobile phone
14. Mkondoni=online
15. Pakua=download


C&P
ETYMOLOGY?
 
Habari za leo. Napenda kuwapa rai ndugu zangu.
Najua sisi sote humu ndani ya hili *_kundi sogozi_* tunamiliki _*simu tamba*_. Tuweni makini kwani kutumia _*sikanu*_ zetu _*mkondoni*_ kunaweza wapa mwanya wezi wa mtandaoni kutuibia. Wezi hutuma _*maunzi laini*_ yanayoweza kuharibu _*kitumi*_ chako au kuingilia _*makavazi*_ ya _*sikanu*_ yako. Wakishatuma _*maunzi laini*_ hayo nawe pasi na kujua ukibofya _*kiungo*_ kilichobeba _*maunzi laini*_ unakuwa _*umeshapakua*_ na _*kusanidi mtaliga*_ wenye uwezo wa kubadili au _*kughushi nenomsingi*_ lako na hivyo kunyima uwezo wa kuitumia _*sikanu*_ yako kwa kuifanya _*puku*_ kushindwa kutambua amri unazoipatia _*baobonye*_ ya _*kiwambagusa*_ cha _*sikanu*_ yako.

*JE KISWAHILI KITUMIKE KAMA LUGHA YA KUFUNDISHIA KWA NGAZI ZOTE ZA ELIMU?*


*Tafsiri ya maneno hayo*

1. Kundi sogozi = chatting group
2. Sikanu = smartphone
3. Kitumi=device
4. Maunzi laini=software
5. Kiungo=link
6. Kusanidi=install
7. Mtaliga=virus
8. Neno msingi=keyword
9. Puku=mouse
10.Baobonye=keyboard
11. Kiwamba gusa=touch screen
12. Makavazi=archives
13. Simu tamba=mobile phone
14. Mkondoni=online
15. Pakua=download


C&P

Mi nahisi tubaki hivhiv tulivyo maana hayo maneno mengine ukiyakosea kwa kuyatamka unaweza ukatoka nje ya mada husika
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mi nahisi tubaki hivhiv tulivyo maana hayo maneno mengine ukiyakosea kwa kuyatamka unaweza ukatoka nje ya mada husika
mbona kiswahili kinawezekana tu? maneno haya yanaonekana kuwa mageni kwa sabababu tu hayatumiwi mara kwa mara, hata hiyo lugha unayoitumia ulijifunza polepole mpaka ukawa mahiri. tujibidishe tu tudumishe utamaduni wetu, tuachane na ukoloni mambo leo. LUMBA KISWAHILI, JISKIE HURU, KISWAHILI UTAMBULISHO WANGU, AJIRA YANGU.
 
Mim nilikuwa najua puku,kiungo na baobonye nilishayaona hayo maneno kwenye tovuti ya wikipedia lakin hayo mengine hapana kuna neno tarakilishi mpakato, nilisikia kwenye st swahili ikiwa na maana ya laptop
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom