Salamu kwenu jamani , ,kuna kitu nimesikia kuwa maeneo ya ruvuma kuna mahindi yanauzwa kwa bei ndogo sana ,,,mwenye taarifa nzuri kuhusiana na bei ya mahindi huko ruvuma tujulishane basiii,,,,
Huo ni ukweli ni bora kuwa Na vyuo vichache vyenye elimu bora Na vikubwa ,,,vyenye uwezo was kuchukua wanafunzi wengi kwani kakosea kipi hapo ,acheni unafiki ,mnataka rais gani sasa ,,,,mnakera sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.