Recent content by FHL

  1. FHL

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mawasiliano ya mpenzi wangu na mpenzi wake wa zamani

    Asanteni sana wakuu na ushauri wako ndugu eazy900 nimeupokea!
  2. FHL

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere tafadhali sana naomba nipe zawadi yangu

    Tehe teheee, a.k.a Jason Bourne!
  3. FHL

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa haraka Kitunda Machimbo

    Kitunda Machimbo si ndo kule kuna migogoro ya mabomba ya gesi sijui Songas??? Usije ukawa unataka kutuuzia kesi.
  4. FHL

    JamiiForums Tanzania Kutana na Mwanaume mwenye uume mbili

    a.k.a Triple D
  5. FHL

    JamiiForums Tanzania Kutana na Mwanaume mwenye uume mbili

    January mwaka 2014 jamaa mmoja ambaye anajitambulisha kama Double Dick Dude (Triple D) au Diphalic Dude alijitokeza kwenye mtandao wa Reddit anonymously na kujibu maswali mbali mbali ya watu kuhusiana na maisha yake akiwa na UUME (Wingi wake sijui ni NYUUME, forget about it :D) Mbili. Post...
  6. FHL

    JamiiForums Tanzania Picha: Samuel Sitta amenihuzunisha

    Jee hivi ndivyo Tanzania tunavyostahili tunapokutana na wenzetu wa Africa Mashashiri? Fanya observation ya hii picha halafu angalia tafsiri yake, Hii ni Juzi Kenya kwenye sherehe za Jamhuri ambapo Tanzania iliwakilishwa na Mh. Samweli Sitta.
  7. FHL

    JamiiForums Tanzania Kitu kinachosadikika kuwa bomu limetelekezwa karibu na Kanisa la KKKT Kjitonyama.

    Hii ni mara ya pili kutokea tukio kama hili, mara ya mwisho Kova alisema ni kifaa cha kuangalia hali ya hewa na sio bomu, ikumbukwe ilikuwa ni siku chache baada ya Bomu kurushwa kanisani Arusha. This time KOVA mwenyewe amekiri kwamba ni kweli ni bomu, na ni hapo hapo karibu na kanisa la KKKT...
  8. FHL

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchumba wangu katolewa kizazi

    Pole sana ndugu yangu. Sijaelewa kama hicho kizazi kimeondolewa completely au partially kwa maana kizazi cha mwanamke kinajumuisha sehemu mbali mbali, na mara nyingi tuna refer UTERUS, sasa kama ovary bado zipo still kunaweza kuwa na hope kama ukiwaona ma specialist kwa maana kama anauwezo wa...
  9. FHL

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

    Thanks Don Mangi nimekusoma vizuri kaka. I admit nishafanya mistake but am sure sijachelewa kurekebisha nilipokosea.
  10. FHL

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

    Thanks bro. Noted
  11. FHL

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

    Thnks annabrenda Noted!!!
  12. FHL

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

    Thanks sana mkuu. Noted!!!
  13. FHL

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

    Hapa una point aisee. Coz huyo jamaa aliyeachana nae aliamua kuoa another girl baada walipoachana. Hili nililijua baada ya kuona txt ya m2 anayemfahamu akimwambia kuwa x wake kaoa tayari.
  14. FHL

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

    Dah. Hilo la kumkumbuka my ex upo sahihi aisee. Yaan mtu badala ya kumsahau ndio kwanza unapata sababu ya lkumbuka
  15. FHL

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

    Daahhh, mkuu hapa ndio panaponitoa machozi nikikaa mwenyewe, siku zote nimekuwa nikimwomba Mungu mwanangu/wanangu wasipitie channel niliyopitia mimi, but naona jinsi shetani anavyoleta majaribu, hili jaribu ni zito sana kwangu, she came as an angel but I think I was deceived, I know nitalisolve...
Back
Top Bottom