Nissan wana wakala wao kila mkoa.. jaribu kuwasiliana na mawakala (authorized) wanaweza kukusaidia pia, ila jiandae maana wana bei sana kufanya marekebisho
Mkuu cheki hizo picha mto haujachafuka wala kujaa mchanga katikati, wanaharibu kingo tuu..ila wameacha baada ya kelele za wananchi nasikia mkuu wa wilaya alifika eneo la tukio!
Hivi karibuni kuna malori makubwa ya mchanga na excavators zilizoingizwa mtoni kupitia kawe (karibu na kanisa la wasabato) na kuendelea kuchimba mchanga kwenye eneo mbele kidogo ya daraja la bondeni kwa kivuli cha kupanua mto lakini lengo lao kuu likiwa ni kuchukua rasilimali ya mchanga ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.