Hapa duniani Kuna vitu viwili tu ukivitegemea ni lazima utoboe. Lazima vikupe mafanikio makubwa . Ni MUMGU na SHETANI tu. Sharti moja tu usichanganye. Chagua kimoja na ukitii kwa 100%.
Kwa kiwango Cha Umaskini kilichopo TZ na ughali wa huduma za Matibabu mtu ukiumwa ugonjwa unaohitaji tiba za gharama ujue hiyo ni Death Ticket. Mungu aingilie kati kutuweka salama.
Nunua mbuzi wa elfu stini stini utapata zaidi ya mbuzi mia tatu peleka Comoro. Lakini Fanya utafiti kwanza ila ukifanikiwa kupeka mara tatu tu wewe ni tajiri.
Ongea kitu kingine Dar ni moto wa kuotea mbali kabisa. Huko mikoa mingine mkifika hatua ya kutupa manyoya tu katika maandalizi ya kuuza kitoweo kuku basi mtaipiku Dar. Dar Kila biashara safi, hata kama kazi yako kuuza vichwa vya kuku au kukaanga utumbo wa broiler unaishi na unalipa kodi fresh.
Anaeishi Kijiji Cha mkoa wa DAR, anaweza kwenda town kati ndani ya lisaa limoja na akarudi muda huo huo. Akiumwa kwenda kulazwa hospitali ya Taifa ni ndani ya nusu saa. Kwahiyo Dar bado itaendelea kuwa Dar huwezi fananisha na mikoani.
Wana ccm wanawazoom tu na kugonga cheers baada ya kufanikiwa Katika Agenda divergence. Mnaluvyagizwa halafu mnajiita upinzani [emoji851][emoji851][emoji851] hovyo! Hakuna Upinzani Tanzania msiwapotezee Watanzania time yao. Labda kije Chama kingine, sio hivi vikundi vya Watoa taarifa.
Kwahiyo Kuna
1. Vijana wa Hovyo
2. Halafu wanaoongoza nchi pasina kuhitaji nguvu nyingi kutokana na akili ndogo za sisi Watanzania
3. Na Kuna The greatest Thinkers, With the highest capacity of thinking (Ndio umo kwenye hili kundi la tatu) Nikuulize Swali ndugu Great Thinker. Wewe umefanya Nini...
Mapokezi ya Mh. comrade Paul Makonda yameibua mijadala mbalimbali hapa Bongo. Huku wengine Wakimponda na wengine kumsifia.
Binafsi naungana na Makonda hasa kwenye Kauli yake ya kwamba Tanzania hakuna Upinzani Kuna Watoa Taarifa tu.
Ukitaka kujua Upinzani Tanzania hakuna, chunguza tu mijadala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.