Naungana na Paul Makonda "Tanzania Hakuna Upinzani, Kuna Watoa Taarifa"

Fernando Wolle

JF-Expert Member
Aug 19, 2022
387
764
Mapokezi ya Mh. comrade Paul Makonda yameibua mijadala mbalimbali hapa Bongo. Huku wengine Wakimponda na wengine kumsifia.

Binafsi naungana na Makonda hasa kwenye Kauli yake ya kwamba Tanzania hakuna Upinzani Kuna Watoa Taarifa tu.

Ukitaka kujua Upinzani Tanzania hakuna, chunguza tu mijadala yao. Kwanza hakuna agenda maalum wao wanategemea kudakia dakia tu visentensi.

Hakuna agenda ambayo iko focused, ikitokea ajali mambo yote wanasahau wanajadili ajali, ikitokea kiongozi kafumaniwa basi mjadala utajikita kwenye suala la fumanizi ni kwamba hakuna hoja, hakuna agenda, hakuna Upinzani ila taarifa tu ndio zinazotolewa.

Kwa Sasa Upinzani haujielewi hawajui wazungumze Nini zaidi sana Wana kazi ya kumponda Makonda tu. Hiyo kitu haitasaidia hata kidogo.

Ndio maana mnadharaulika. Wapinzani kwa Sasa hawana hata nguvu ya kuzungumzia Ufisadi maana walikuwa wanatetea Ufisadi kipindi Cha Magufuli kwa mwamvuli wa Haki za binadamu. Hapa ndio naamini Kuna Watoa taarifa sio Wapinzani.
 
Badala ya kuja na agenda za ki nchi kama matatizo ya umeme na maji na ajira wewe akili yako inawaza mambo ya kishabiki so vip kwako shida ya maji na umeme hakuna?huwa nasema Kwa akili za vijana wa tz walipaswa kuendelea kutawaliwa vijana wa hovyo sana mambo ya muhimu hakuna mnachoelewa ndio mana huwa nasema huhitaji akili kubwa kuongoza nchi hii kama vijana wenyewe thinking capacity ni ndogo kiasi iki
 
Badala ya kuja na agenda za ki nchi kama matatizo ya umeme na maji na ajira wewe akili yako inawaza mambo ya kishabiki so vip kwako shida ya maji na umeme hakuna?huwa nasema Kwa akili za vijana wa tz walipaswa kuendelea kutawaliwa vijana wa hovyo sana mambo ya muhimu hakuna mnachoelewa ndio mana huwa nasema huhitaji akili kubwa kuongoza nchi hii kama vijana wenyewe thinking capacity ni ndogo kiasi iki
 
Wakati wapinzani wakijadili hayo matukio, ccm huwa mnakuwaga mko kwenye mitandao ipi mkijadili? Maana wote huwa tuko humu humu. Ama huwa mnajificha mahali mnajadili mengine? Sasa hivi wanaccm karibia wote mmekuwa bendera fuata upepo, Kila mmoja wenu anashikilia wapinzani hawana ajenda wanarukia matukio, ukiambiwa uonyeshe wanaccm wanakuwaga wapi wakati wapinzani wanajadili matukio huna.

Mfano mrahisi toka juzi kuna hizo habari za muovu Makonda, huku ndani tuko wote tunajadili Kila mtu kwa angle yake, tuonyeshe ni wapi wanaccm wanajadili kukatika kwa umeme na suluhisho lake?
 
Sasa hivi agenda ya Tundu Lisu ni kulialia kutaka apewe ruhusa ya kwenda kulia kwenye kaburi la Magufuli!!
 
Wakati wapinzani wakujadili hayo matukio, ccm huwa mnakuwaga mko kwenye mitandao ipi mkijadili. Maana wote huwa tuko humu humu. Ama huwa mnajificha mahali mnajadili mengine. Sasa hivi wanaccm karibia wote mmekuwa bendera fuata upepo, Kila mmoja wenu anashikilia wapinzani hawana ajenda wanarukia matukio, ukiambiwa uonyeshe wanaccm wanakuwaga wapi wakati wapinzani wanajadili matukio huna.

Mfano mrahisi toka juzi kuna hizo habari za muovu Makonda, huku ndani tuko wote tunajadili Kila mtu kwa angle yake, tuonyeshe ni wapi wanaccm wanajadili kukatika kwa umeme na suluhisho lake?
Chadema sio chama cha upinzani, hawa ni watoa taarifa. Wao ni kusema CCM mafisadi, Bandari imeuzwa mara tunataka katiba mpya mara tume huru ya uchaguzi nk.Hiki sio chama cha Kuhakikisha yale wanayoyaongea yanafanyiwa kazi.Ukisema CCM ni mafisadi au tunataka katiba mpya basi lazima vitendo vya kuonesha unataka katiba mpya tuvione. Chama gani cha upinzani kimeshindwa kuorganize maandamano ya kudai katiba mpya?Kupiga kelele kuhakikisha wanahusika na mgao wa umeme wanaachia ngazi au mkataba tata wa bandari unapigwa chini. Bila kumung'unya maneno, hiki sio chama cha SIASA bali genge la wahuni tu.
 
Chadema sio chama cha upinzani, hawa ni watoa taarifa. Wao ni kusema CCM mafisadi, Bandari imeuzwa mara tunataka katiba mpya mara tume huru ya uchaguzi nk.Hiki sio chama cha Kuhakikisha yale wanayoyaongea yanafanyiwa kazi.Ukisema CCM ni mafisadi au tunataka katiba mpya basi lazima vitendo vya kuonesha unataka katiba mpya tuvione. Chama gani cha upinzani kimeshindwa kuorganize maandamano ya kudai katiba mpya?Kupiga kelele kuhakikisha wanahusika na mgao wa umeme wanaachia ngazi au mkataba tata wa bandari unapigwa chini. Bila kumung'unya maneno, hiki sio chama cha SIASA bali genge la wahuni tu.
Mkuu anzisha chama Cha upinzani ili uzibe hilo ombwe.
 
Badala ya kuja na agenda za ki nchi kama matatizo ya umeme na maji na ajira wewe akili yako inawaza mambo ya kishabiki so vip kwako shida ya maji na umeme hakuna?huwa nasema Kwa akili za vijana wa tz walipaswa kuendelea kutawaliwa vijana wa hovyo sana mambo ya muhimu hakuna mnachoelewa ndio mana huwa nasema huhitaji akili kubwa kuongoza nchi hii kama vijana wenyewe thinking capacity ni ndogo kiasi iki
Kwahiyo Kuna
1. Vijana wa Hovyo
2. Halafu wanaoongoza nchi pasina kuhitaji nguvu nyingi kutokana na akili ndogo za sisi Watanzania
3. Na Kuna The greatest Thinkers, With the highest capacity of thinking (Ndio umo kwenye hili kundi la tatu) Nikuulize Swali ndugu Great Thinker. Wewe umefanya Nini baada ya kuona sisi hatuna tunachokijua yaani wa kundi la kwanza na la pili?
 
Mapokezi ya Mh. comrade Paul Makonda yameibua mijadala mbalimbali hapa Bongo. Huku wengine Wakimponda na wengine kumsifia.

Binafsi naungana na Makonda hasa kwenye Kauli yake ya kwamba Tanzania hakuna Upinzani Kuna Watoa Taarifa tu.

Ukitaka kujua Upinzani Tanzania hakuna, chunguza tu mijadala yao. Kwanza hakuna agenda maalum wao wanayetemea kudakia dakia tu visentensi.

Hakuna agenda ambayo iko focused, ikitokea ajali mambo yote wanasahau wanajadili ajali, ikitokea kiongozi kafumaniwa basi mjadala utajikita kwenye suala la fumanizi ni kwamba hakuna hoja, hakuna agenda, hakuna Upinzani ila taarifa tu ndio zinazotolewa.

Kwa Sasa Upinzani haujielewi hawajui wazungumze Nini zaidi sana Wana kazi ya kumponda Makonda tu. Hiyo kitu haitasaidia hata kidogo.

Ndio maana mnadharaulika. Wapinzani kwa Sasa hawana hata nguvu ya kuzungumzia Ufisadi maana walikuwa wanatetea Ufisadi kipindi Cha Magufuli kwa mwamvuli wa Haki za binadamu. Hapa ndio naamini Kuna Watoa taarifa sio Wapinzani.
Kweli kabisa. Miaka mingi huwa nawauliza, hamna sera?

Chama gani cha upinzani hakina sera? Mimi naamini chadomo ni tawi la UWT.

Mpaka nikawa nawaita chadomo.
 
Bashite ambaye anamtegemea mtu ndio mnaanza kumwona wa maana. Bashite, Ole Sabaya, Musiba na wapuuzi wengine ambao wanategemea mtu ni wa kawaida sana wanapokuwa hawana madaraka
.
Angalia mashoka ya kawaida kabisa kama mdude Chadema, Mwabukusi nk wanavyo wasumbua polisi na serekali kwa aina ya lugha wanazozungumza. Kwanza ujio wa bashite sio gumzo kwa nchi ni kwa wao wenyewe ccm. Maana hana lolote ataakalo offer zaidi ya kelele kama tulivyomzoea.
 
Wakati wapinzani wakijadili hayo matukio, ccm huwa mnakuwaga mko kwenye mitandao ipi mkijadili? Maana wote huwa tuko humu humu. Ama huwa mnajificha mahali mnajadili mengine? Sasa hivi wanaccm karibia wote mmekuwa bendera fuata upepo, Kila mmoja wenu anashikilia wapinzani hawana ajenda wanarukia matukio, ukiambiwa uonyeshe wanaccm wanakuwaga wapi wakati wapinzani wanajadili matukio huna.

Mfano mrahisi toka juzi kuna hizo habari za muovu Makonda, huku ndani tuko wote tunajadili Kila mtu kwa angle yake, tuonyeshe ni wapi wanaccm wanajadili kukatika kwa umeme na suluhisho lake?
Wana ccm wanawazoom tu na kugonga cheers baada ya kufanikiwa Katika Agenda divergence. Mnaluvyagizwa halafu mnajiita upinzani hovyo! Hakuna Upinzani Tanzania msiwapotezee Watanzania time yao. Labda kije Chama kingine, sio hivi vikundi vya Watoa taarifa.
 
Kwann usiweke uchaguz uwe huru na haki mana hakuna upinzan kabisa
Mapokezi ya Mh. comrade Paul Makonda yameibua mijadala mbalimbali hapa Bongo. Huku wengine Wakimponda na wengine kumsifia.

Binafsi naungana na Makonda hasa kwenye Kauli yake ya kwamba Tanzania hakuna Upinzani Kuna Watoa Taarifa tu.

Ukitaka kujua Upinzani Tanzania hakuna, chunguza tu mijadala yao. Kwanza hakuna agenda maalum wao wanategemea kudakia dakia tu visentensi.

Hakuna agenda ambayo iko focused, ikitokea ajali mambo yote wanasahau wanajadili ajali, ikitokea kiongozi kafumaniwa basi mjadala utajikita kwenye suala la fumanizi ni kwamba hakuna hoja, hakuna agenda, hakuna Upinzani ila taarifa tu ndio zinazotolewa.

Kwa Sasa Upinzani haujielewi hawajui wazungumze Nini zaidi sana Wana kazi ya kumponda Makonda tu. Hiyo kitu haitasaidia hata kidogo.

Ndio maana mnadharaulika. Wapinzani kwa Sasa hawana hata nguvu ya kuzungumzia Ufisadi maana walikuwa wanatetea Ufisadi kipindi Cha Magufuli kwa mwamvuli wa Haki za binadamu. Hapa ndio naamini Kuna Watoa taarifa sio Wapinzani.
Kwanini usiweke uchaguz uwe huru na hali au uwape wanach katiba wanayoitaka mana hakuna upinzan kabisa
 
Wana ccm wanawazoom tu na kugonga cheers baada ya kufanikiwa Katika Agenda divergence. Mnaluvyagizwa halafu mnajiita upinzani hovyo! Hakuna Upinzani Tanzania msiwapotezee Watanzania time yao. Labda kije Chama kingine, sio hivi vikundi vya Watoa taarifa.
Kwa taarifa yako nchi hii tatizo ni chama tawala na Wala sio upinzani. Ogopa chama kina miaka 60 madarakani lakini umeme Bado ni tatizo. Na sifa kubwa ya chama hiki kukaa madarakani sio ubora wa sera zake, Bali ni ukondoo wa wananchi wake.
 
Katika kila watanzania 4, watatu wana kichaa. Mleta mada huwezi kukosa kuwa ktk kundi la hao watatu.
 
Je kakanusha kuhusu kuongoza genge la mauji na utekaji. Pamoja na kelele zake Marekani haendi, Mwenyekiti wenu kavurugwa kashakigawa chama cha mafisadi.
 
Back
Top Bottom