Jamani!!! Haihitaji uprofesa waruhusiwe wafanye mitihani kisha wataangaliwa kwa kila mmoja uwezo wake wa kulipia hiyo ada. isiwe kwa pamoja wazazi tunatofautiana mno na wengine ni watoto wenyewe wanajilipia. wakimaliza watafanya vibarua watakomboa vyeti vyao
La!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ndugai si ndiye aliyesema Hapatatosha mle ndani na kwamba watagawana mbao za mle ndani akajibiwa na muungwa mmoja kuwa mbao zile si zao wenyewe ni Watanzania walipa kodi ambao wapo nje haya hayakumuingia tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nina matumaini kidogo naye ingawe ndiye bora kuliko wote na hakuna mubadala tatizo ni kuwa hatujui na sijui mahafidhina watamuahidi nini yaelekea kila mtu alipo kwanza ni kwa maslahi yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.