ni kweli kabisa, ndio maana mungu anahitaji sana kuabudiwa. ukielewa vizuri neno "kuabudu" na ukaelewa ishu nzima inayohusu maswala ya nishati (energy) utakuja kuelewa kuwa sio wanadamu tu ila kiumbe chochote ni chakula cha mungu. mtu anapoabudu, nishati inatoka kwake na inaelekea kwa...
mawazo ni kama mawingu, na anga ni kama akili, sasa mtu hawezi ku "tune" au kuchagua mawazo ila mawazo yanapita kwenye uwanja wa akili yake, kinachofanya tuning ni akili ambayo ni kama radio reciever
hili swali huwezi kulijibu kama huelewi saikolojia, kwanza mwanadamu hana uwezo wa kuwaza, mwanadamu anapokea mawazo kwa mfumo wa masafa(frequency) hayo masafa yanatakiwa yafanyiwe kitu kinachoitwa "encoding" yaani kuyabadilisha yawe na maana kwa sababu bila kufanya hivo ni ngumu sana kuona umbo...
hii elimu imefichwa kwa sababu tofauti tofauti..., ila mtoa mada unatakiwa uwe makini katika kutoa elimu hii kiholela. kwa mtu ambae amekua na personal experience kuhusiana na haya mambo hawezi kuyazungumza hadharani, sio kwa sababu ni mbaya ila ni kwa sababu ni hatari kwa mtu ambaye hayupo...
hakuna illusionary (udanganyifu), kila kitu ni halisi katika mtazamo wa kitu chenyewe. hakuna anaetuchezesha ila ni ufahamu wenyewe unaojichezesha. kwa macho ya kawaida inaonekana kua sisi tupo, ila kiuhalisia hatupo na hata ulimwengu wenyewe haupo ila ni ufahamu unaojionyesha katika miili...
Habali zenu wanajf, ni matumaini yangu mpo salama kwa kudra zake Mwenyez Mungu, nami ni mzima wa afya Alhamdullilahi.
Poleni na majukumu ya kila siku katika kutafuta riziki. Mimi nipo Mwanza karibu na stendi ya Buzuruga, nina mtaji wa milioni 2.5, sasa wazo langu la biashara ilikua ni kuuza...
Habari wanajamvi, nina TV pamoja na desktop computer, nikiunganisha vifaa hivi kwa kutumia HDMI Cable, nina uwezo wa kutumia TV kama monitor, ila sasa mtihani ni kuwa nahitaji pia vile vile kuona kile kinachoendelea kwenye TV ionenekane pia katika computer. Je ni njia gani naweza kuitumia...
Habar zenu wakuu wa humu ndani,
Kuna TV nahitaji kununua (maelezo yake yapo katika picha), nakuiunganisha na circuit breaker kwa ajili ya usalama.
Je, nichague circuit breaker yenye rating gani(single pole) kwa ajili ya usalama wa TV yangu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.