Recent content by Felixtz

  1. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Je, binadamu ni chakula cha anayeitwa Mungu?

    ni kweli kabisa, ndio maana mungu anahitaji sana kuabudiwa. ukielewa vizuri neno "kuabudu" na ukaelewa ishu nzima inayohusu maswala ya nishati (energy) utakuja kuelewa kuwa sio wanadamu tu ila kiumbe chochote ni chakula cha mungu. mtu anapoabudu, nishati inatoka kwake na inaelekea kwa...
  2. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Nini Chanzo cha mawazo?

    mawazo ni kama mawingu, na anga ni kama akili, sasa mtu hawezi ku "tune" au kuchagua mawazo ila mawazo yanapita kwenye uwanja wa akili yake, kinachofanya tuning ni akili ambayo ni kama radio reciever
  3. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Nini Chanzo cha mawazo?

    kwa sababu mwanadamu ni mtazamaji(observer) na sio anaeona
  4. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Nini Chanzo cha mawazo?

    hili swali huwezi kulijibu kama huelewi saikolojia, kwanza mwanadamu hana uwezo wa kuwaza, mwanadamu anapokea mawazo kwa mfumo wa masafa(frequency) hayo masafa yanatakiwa yafanyiwe kitu kinachoitwa "encoding" yaani kuyabadilisha yawe na maana kwa sababu bila kufanya hivo ni ngumu sana kuona umbo...
  5. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Elimu ya siri / Hidden knowledge

    hii elimu imefichwa kwa sababu tofauti tofauti..., ila mtoa mada unatakiwa uwe makini katika kutoa elimu hii kiholela. kwa mtu ambae amekua na personal experience kuhusiana na haya mambo hawezi kuyazungumza hadharani, sio kwa sababu ni mbaya ila ni kwa sababu ni hatari kwa mtu ambaye hayupo...
  6. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Dunia haieleweki, maisha hayaeleweki

    hakuna illusionary (udanganyifu), kila kitu ni halisi katika mtazamo wa kitu chenyewe. hakuna anaetuchezesha ila ni ufahamu wenyewe unaojichezesha. kwa macho ya kawaida inaonekana kua sisi tupo, ila kiuhalisia hatupo na hata ulimwengu wenyewe haupo ila ni ufahamu unaojionyesha katika miili...
  7. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Nguo za dukani (readymade)

    Habali zenu wanajf, ni matumaini yangu mpo salama kwa kudra zake Mwenyez Mungu, nami ni mzima wa afya Alhamdullilahi. Poleni na majukumu ya kila siku katika kutafuta riziki. Mimi nipo Mwanza karibu na stendi ya Buzuruga, nina mtaji wa milioni 2.5, sasa wazo langu la biashara ilikua ni kuuza...
  8. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Casting tv programme to a Computer

    Kwa upande wa nyuma wa nyaya hzo tatu zimeandikwa tu neno out
  9. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Casting tv programme to a Computer

    Hizo nyaya Z Nyaya hizo za hizo langi zipo mara mbili kwa nyuma pamoja na upande wa TV, sasa niziunganishe vipi mkuu
  10. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Casting tv programme to a Computer

    Ni Digital TV ina support HDMI, USB, AV, DTB
  11. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Casting tv programme to a Computer

    Habari wanajamvi, nina TV pamoja na desktop computer, nikiunganisha vifaa hivi kwa kutumia HDMI Cable, nina uwezo wa kutumia TV kama monitor, ila sasa mtihani ni kuwa nahitaji pia vile vile kuona kile kinachoendelea kwenye TV ionenekane pia katika computer. Je ni njia gani naweza kuitumia...
  12. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Yea, mita ninayo kwangu Yea, mita ni ya kwangu mwenyewe ipo ndani
  13. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Nimepanga mkuu
  14. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Hiyo ndio specs za tv husika, so tv guard ninayo, ila vp mkuu naeza tumia tv guard bila kuweka circuit breaker?, Na vp nikiviweka vyote itakuaj?
  15. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Habar zenu wakuu wa humu ndani, Kuna TV nahitaji kununua (maelezo yake yapo katika picha), nakuiunganisha na circuit breaker kwa ajili ya usalama. Je, nichague circuit breaker yenye rating gani(single pole) kwa ajili ya usalama wa TV yangu?
Back
Top Bottom