Recent content by Felixtz

  1. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Elimu ya siri / Hidden knowledge

    hii elimu imefichwa kwa sababu tofauti tofauti..., ila mtoa mada unatakiwa uwe makini katika kutoa elimu hii kiholela. kwa mtu ambae amekua na personal experience kuhusiana na haya mambo hawezi kuyazungumza hadharani, sio kwa sababu ni mbaya ila ni kwa sababu ni hatari kwa mtu ambaye hayupo...
  2. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Dunia haieleweki, maisha hayaeleweki

    hakuna illusionary (udanganyifu), kila kitu ni halisi katika mtazamo wa kitu chenyewe. hakuna anaetuchezesha ila ni ufahamu wenyewe unaojichezesha. kwa macho ya kawaida inaonekana kua sisi tupo, ila kiuhalisia hatupo na hata ulimwengu wenyewe haupo ila ni ufahamu unaojionyesha katika miili...
  3. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Nguo za dukani (readymade)

    Habali zenu wanajf, ni matumaini yangu mpo salama kwa kudra zake Mwenyez Mungu, nami ni mzima wa afya Alhamdullilahi. Poleni na majukumu ya kila siku katika kutafuta riziki. Mimi nipo Mwanza karibu na stendi ya Buzuruga, nina mtaji wa milioni 2.5, sasa wazo langu la biashara ilikua ni kuuza...
  4. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Casting tv programme to a Computer

    Kwa upande wa nyuma wa nyaya hzo tatu zimeandikwa tu neno out
  5. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Casting tv programme to a Computer

    Hizo nyaya Z Nyaya hizo za hizo langi zipo mara mbili kwa nyuma pamoja na upande wa TV, sasa niziunganishe vipi mkuu
  6. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Casting tv programme to a Computer

    Ni Digital TV ina support HDMI, USB, AV, DTB
  7. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Casting tv programme to a Computer

    Habari wanajamvi, nina TV pamoja na desktop computer, nikiunganisha vifaa hivi kwa kutumia HDMI Cable, nina uwezo wa kutumia TV kama monitor, ila sasa mtihani ni kuwa nahitaji pia vile vile kuona kile kinachoendelea kwenye TV ionenekane pia katika computer. Je ni njia gani naweza kuitumia...
  8. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Yea, mita ninayo kwangu Yea, mita ni ya kwangu mwenyewe ipo ndani
  9. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Nimepanga mkuu
  10. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Hiyo ndio specs za tv husika, so tv guard ninayo, ila vp mkuu naeza tumia tv guard bila kuweka circuit breaker?, Na vp nikiviweka vyote itakuaj?
  11. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Habar zenu wakuu wa humu ndani, Kuna TV nahitaji kununua (maelezo yake yapo katika picha), nakuiunganisha na circuit breaker kwa ajili ya usalama. Je, nichague circuit breaker yenye rating gani(single pole) kwa ajili ya usalama wa TV yangu?
  12. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Elimu juu ya Udhu

    Habali wana JF, Natumai mu wazima wa afya. Ningependa kufahamu katika swala zima la kusimamisha swallah, je ina umuhimu kufanya udhu kila unaposwali? Kwa mfano ukafanya idhu na kusimamisha swala ya fajr, je utahitajika tena kufanya udhu kwa swala zijazo, na vp kama sehemu iliyopo sio rafiki...
  13. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Electric shock kwenye vifaa vya umeme

    Kwenye socket hiyo hiyo nikiplug kifaa kingine inafanya tu vizuli
  14. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Electric shock kwenye vifaa vya umeme

    Vina covers ndio vya Chuma na hata ukiweka testa haiwaki which means haipigi shoti
  15. Felixtz

    JamiiForums Tanzania Electric shock kwenye vifaa vya umeme

    Bro sijawai angalia ilivounganishwa. Ila Sasa swali langu ni kivipi hiyo earth wire inaeza wekwa coz Kuna socket nyingine nikiweka labda woofer au kifaa kingine haipigi shoti. Sasa hapo sielewi inakuaje
Back
Top Bottom