Recent content by Felixtz

  1. Felixtz

    Msaada wa Nguo za dukani (readymade)

    Habali zenu wanajf, ni matumaini yangu mpo salama kwa kudra zake Mwenyez Mungu, nami ni mzima wa afya Alhamdullilahi. Poleni na majukumu ya kila siku katika kutafuta riziki. Mimi nipo Mwanza karibu na stendi ya Buzuruga, nina mtaji wa milioni 2.5, sasa wazo langu la biashara ilikua ni kuuza...
  2. Felixtz

    Casting tv programme to a Computer

    Kwa upande wa nyuma wa nyaya hzo tatu zimeandikwa tu neno out
  3. Felixtz

    Casting tv programme to a Computer

    Hizo nyaya Z Nyaya hizo za hizo langi zipo mara mbili kwa nyuma pamoja na upande wa TV, sasa niziunganishe vipi mkuu
  4. Felixtz

    Casting tv programme to a Computer

    Ni Digital TV ina support HDMI, USB, AV, DTB
  5. Felixtz

    Casting tv programme to a Computer

    Habari wanajamvi, nina TV pamoja na desktop computer, nikiunganisha vifaa hivi kwa kutumia HDMI Cable, nina uwezo wa kutumia TV kama monitor, ila sasa mtihani ni kuwa nahitaji pia vile vile kuona kile kinachoendelea kwenye TV ionenekane pia katika computer. Je ni njia gani naweza kuitumia...
  6. Felixtz

    Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Yea, mita ninayo kwangu Yea, mita ni ya kwangu mwenyewe ipo ndani
  7. Felixtz

    Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Nimepanga mkuu
  8. Felixtz

    Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Hiyo ndio specs za tv husika, so tv guard ninayo, ila vp mkuu naeza tumia tv guard bila kuweka circuit breaker?, Na vp nikiviweka vyote itakuaj?
  9. Felixtz

    Ulinzi wa TV kutoka na umeme

    Habar zenu wakuu wa humu ndani, Kuna TV nahitaji kununua (maelezo yake yapo katika picha), nakuiunganisha na circuit breaker kwa ajili ya usalama. Je, nichague circuit breaker yenye rating gani(single pole) kwa ajili ya usalama wa TV yangu?
  10. Felixtz

    Elimu juu ya Udhu

    Habali wana JF, Natumai mu wazima wa afya. Ningependa kufahamu katika swala zima la kusimamisha swallah, je ina umuhimu kufanya udhu kila unaposwali? Kwa mfano ukafanya idhu na kusimamisha swala ya fajr, je utahitajika tena kufanya udhu kwa swala zijazo, na vp kama sehemu iliyopo sio rafiki...
  11. Felixtz

    Electric shock kwenye vifaa vya umeme

    Kwenye socket hiyo hiyo nikiplug kifaa kingine inafanya tu vizuli
  12. Felixtz

    Electric shock kwenye vifaa vya umeme

    Vina covers ndio vya Chuma na hata ukiweka testa haiwaki which means haipigi shoti
  13. Felixtz

    Electric shock kwenye vifaa vya umeme

    Bro sijawai angalia ilivounganishwa. Ila Sasa swali langu ni kivipi hiyo earth wire inaeza wekwa coz Kuna socket nyingine nikiweka labda woofer au kifaa kingine haipigi shoti. Sasa hapo sielewi inakuaje
  14. Felixtz

    Electric shock kwenye vifaa vya umeme

    [halafu ule wa tatu ambao ni kijana unatakiwa wewe ndio unautolea kwenye nyumba halafu chini unatangulizia chuma ambacho kinatakiwa kiwe Copper/shaba ili kikinzane chini ardhini So unamaanisha kuwa earth wire itaunganishwa kutoka kwenye hole iliyowazi katika socket then inachimbiwa kwenye...
  15. Felixtz

    Electric shock kwenye vifaa vya umeme

    Nyumba niliyopo nlikuta wiring ishafanyika. Na vp mkuu hiyo earth inawekwa vipi coz kwenye socket Kuna hole ipo (apart from Ile ya live na neutral) iv Kama ni ya earth, wire ikaunganishwa hapo then inaelekezwa wap Sasa.
Back
Top Bottom