Umeandika kwa ushabiki sana. Hili kanisa (viongozi) hawapendi wachungaji wenye maono. Unamwongelea Kimaro na Mtasai these guys have visions angalia impact kwenye sharika zao. Mnataka wachungaji wanaosinzia.
kroiler ni watagaji wazuri sana, changamoto ni soko la mayai. Ukiuza mayai ya kroiler kwa bei kama ya mayai ya layers huwezi pata faida na wateja wengi uswazi watapendelea mayai cheap ya layers. Lakini kama una wateja wako wa mayai ya chotara watako weza kununua kwa sh 12,000 hadi 15,000 kwa...
Alikuwa sahihi kusikilizia kwanza madhara ya chanjo, alichokosea ni kukebehi na kuponda hadharini wakati hakuna nchi iliyolazimishwa kuchuka chanjo. Haikutakiwa kuwaponda na kuwakebehi wakati chanjo zote za watoto zinatoka kwao. Ilitakiwa tuseme kwamba bado tunajiridhisha kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.