Acha chuki mkuu,,na wala hukupaswa kuleta mada kama hii hapa ,,, maana anayofanya yanaonekana na yamesaidia wengi na kutatua migogoro mingi mno 🤔🤔
Mpe pongezi mtu anapofanya vizuri bhanaa 👏🏽👏🏽🤛🏾
Huko China ukizaa unalipwa, hivo acha watu wazaane wawe wengi kama nyota za angani, vilivyopo huku duniani ni vya wote na ikifika wakati tutaviacha vyote,
Zaeni kwa wingi, Ongezeni Thamani ya Dunia 💪🏽💪🏽
Kama anamalizia awamu ya 5 ambayo iliachwa wazi na Hayati Mag, Inakuwaje wanasema ni awamu ya 6, au ni mtu wa 6 kuwa Rais wa TZ ndo maana halisi ya awamu!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.