Recent content by Fekifeki

  1. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Kuna Maisha Nyuma ya Hizi 'ID' Zetu, Tusiache Kupendana ❤️

    Asante pia kwa kuyageuza MAWAZO yako ya busara kuwa maandishi mkuu,,atakaye pingana na hili, hakika atakuwa si mwenzetu,,💪🏽💪🏽
  2. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Kuna Maisha Nyuma ya Hizi 'ID' Zetu, Tusiache Kupendana ❤️

    Bonge la ujumbe mkuu 🙏🏽🙏🏽 Nimeupokea kwa mikono miwili 🤝🤝
  3. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    Changa la macho kama kawaida 🚶🏽🚶🏽🚶🏽🏃🏽🏃🏽
  4. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Tangu nizaliwe hadi sasa, sijawahi kushika wala kuona bidhaa au kifaa chochote toka ISRAEL

    Hata bendera zao hujawahi ziona!!?
  5. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya mazungumzo na Viongozi wa Vyama vya Siasa Ikulu Dar es Salaam

    Tatizo nitajuaje hii ni AI au ni ya akili ya binadamu wa kawaida!? 🤔🤔
  6. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mussa: Msimchafue Nilesh, hawezi kuchangia chama cha vurugu

    🙌🙌🙌🙉
  7. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania FIFA yafikiria uwezekano wa Kombe la Dunia kushirikisha timu 64 ifikapo 2030

    Kipato sasa mkuu,,
  8. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania FIFA yafikiria uwezekano wa Kombe la Dunia kushirikisha timu 64 ifikapo 2030

    Wamesha nogewa na mshilko mkubwa walioupata msimu huu,, Lets go,,,,😜😜😋
  9. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi John Heche kumuacha Dereva wake kwenda kulala Chumba cha Sh. 3,000/=?

    Hiyo siyo sababu ya kifo cha huyo dereva,,,🚶🏾🚶🏾🚶🏾
  10. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Wamekata tamaa au wanahofu?

    🙉🙉🙉 Umeshawahi kuona kuku,,wanyama wengine, n.k Wakiandamana!!? Nilikuwa nawaza kwa sauti tu mkuu 🙌
  11. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Tumekamata mtu ameahidiwa dola milioni 1 endapo watu wengi watakufa - Kinachotafutwa ni rasilimali

    Kuna jambo linataka kuchepushwa hapo!! Kama ni kweli kwa nini wasiwekwe hadharani tuwajue!?
  12. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Hananja: Sikatazi watu waseme lakini tuseme kwa Ustaarabu

    Amani huja automatically pale haki inapotawala,, Tofauti na hapo yatabaki kuwa maneno tupu 🫠🫠🚶🏾🚶🏾🚶🏾
  13. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Nchimbi: Rais Samia alinikabidhi mamlaka ya urais wakati anaenda nchini Urusi

    Yes, time will tell the truth 🙏🏽🙏🏽
  14. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Kama Taifa tuna hasara kubwa sana kama wanasiasa hawatajifunza baada ya kuwaharibia vijana wa Serengeti boys

    Mamusing ya nini sasa mku Matusi ya nini sasa mkuu!! Una hoja nzuri ila Matusi yamekuharibia heshima yako 🤔🤔
  15. Fekifeki

    JamiiForums Tanzania Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    Ni mojawapo ya sababu za mtu kuteseka mkuu 🙏🏽🥲
Back
Top Bottom