Recent content by Fekifeki

  1. Fekifeki

    Mwigulu Nchemba huna uzalendo wowote, haya Maigizo yako utawapata wajinga na wapumbavu

    Singida BS imeajiri watu wengi kupitia yeye,,,hivo una kila sababu ya kumpongeza kuliko kumshutumu kwa anayofanya,,,
  2. Fekifeki

    Mwigulu Nchemba huna uzalendo wowote, haya Maigizo yako utawapata wajinga na wapumbavu

    Acha chuki mkuu,,na wala hukupaswa kuleta mada kama hii hapa ,,, maana anayofanya yanaonekana na yamesaidia wengi na kutatua migogoro mingi mno 🤔🤔 Mpe pongezi mtu anapofanya vizuri bhanaa 👏🏽👏🏽🤛🏾
  3. Fekifeki

    Kitimoto inaliwa na wenye pesa tu!

    Anaonekana na sura mbaya ila nyama yake ni tamu mno 😋😋😋
  4. Fekifeki

    GE2025 Mpina kwiiiiisha, atakiwa kutorudisha fomu ya kugombea Urais

    Mimi naona Ubunge ndo ulikuwa size yake! Huko alikokwenda no!! 🙌🏽🙌🏽
  5. Fekifeki

    Mtu unapata wapi ujasiri wa kuzaa mtoto wakati unajua wewe ni fukara, maskini choka mbaya, hohe-hahe?

    Huko China ukizaa unalipwa, hivo acha watu wazaane wawe wengi kama nyota za angani, vilivyopo huku duniani ni vya wote na ikifika wakati tutaviacha vyote, Zaeni kwa wingi, Ongezeni Thamani ya Dunia 💪🏽💪🏽
  6. Fekifeki

    Yericko Nyerere: Godbless Lema ametoweka na password za akaunti ya fedha ya tonetone

    Bila shaka mkuu unamaanisha "kwa nini asinadi" Hili ndo tatizo kubwa la kumwacha/kutengana na mtu muhimu huku/bado ukiwa unampenda🙌🏽🙌🏽😝
  7. Fekifeki

    Kwanini Polepole halioni hili? Ni makusudi au bahati mbaya?

    Kama anamalizia awamu ya 5 ambayo iliachwa wazi na Hayati Mag, Inakuwaje wanasema ni awamu ya 6, au ni mtu wa 6 kuwa Rais wa TZ ndo maana halisi ya awamu!?
  8. Fekifeki

    Tetesi za Polepole kupewa uongozi wa Juu Nchini

    Naunga mkono hoja 🤝🤝
  9. Fekifeki

    Picha Bora Ya Siku Kutoka Kwa Rais Samia Iliyoteka Mitandaoni Duniani Kwote. Yawakosha Watu Na kuleta Tabasamu

    Mpeni maua yake kusema kweli Mama wa watu katokelezea 👌🏾👌🏾🤗
  10. Fekifeki

    Wasukuma ni jamii watu wanaodanganyika kirahisi mno

    Kweli kabisa mkuu, 🤔🤔🤔
  11. Fekifeki

    Kesho yetu ni fumbo kubwa

    Asante kwa ujumbe mzuri mkuu, Ila Bila Mungu hayo yote ni bure tu, maana yeye ndiye aliyetuumba Kwa kusudi maalumu hapa duniani 🙏🏽🙏🏽, Mungu pekee 🙏🏽
  12. Fekifeki

    Shida haina hodi, mwenzenu nimefika mwisho, naombeni msaada

    Usichoke kumwomba Mungu atakusimamia mkuu 🙏🏽🙏🏽
  13. Fekifeki

    Umuhimu wa kunywa maji

    Asante kwa somo zuri mkuu,, 🙏🏽🙏🏽
Back
Top Bottom