Recent content by FEBIANI BABUYA

  1. FEBIANI BABUYA

    Undumilakuliwi kuhusiana na Mtazamo juu ya Iran na Israel kuhusiana na Nyuklia

    Vita za middle East huwa zinawasaidia nini? Mbona watu wanauawa Congo, Sudan Somalia, Nigeria na hamjali?
  2. FEBIANI BABUYA

    SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    Nilipotea sana Jamii Forums mkuu. Kwema?
  3. FEBIANI BABUYA

    Simulizi ya kipelelezi: THE JOURNALIST

    HADITHI: TONE LA DAMU MWANDISHI: FEBIANI BABUYA WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ UKURASA WA TANO “Zamani wakati sisi tunakua maisha yalikuwa tofauti na sasa, zamani nilikuwa naweza kwenda kwa jirani yangu shambani kwake nikala mpaka nikashiba kisha nikaondoka...
  4. FEBIANI BABUYA

    Simulizi ya kipelelezi: THE JOURNALIST

    HADITHI: TONE LA DAMU MWANDISHI: FEBIANI BABUYA WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ UKURASA WA NNE “Ni watu wa namna gani walitumwa kuifanya kazi hiyo” “Wote wanadaiwa kuwa ni watu wenye uwezo mkubwa kwenye mapigano” “Na wamekutwa wakiwa wamekufa?” “Ndiyo” “Kwa...
  5. FEBIANI BABUYA

    Simulizi ya kipelelezi: THE JOURNALIST

    HADITHI: TONE LA DAMU MWANDISHI: FEBIANI BABUYA WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ UKURASA WA TATU GENERAL KAGIMU Generali mkuu wa jeshi la Uganda na mkuu wa majeshi wa Taifa hilo bwana jenerali Kagimu, alikuwa ni moja ya watu ambao walikuwa wanaheshimika na...
  6. FEBIANI BABUYA

    SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ EPISODE 37 ENDELEA....... “Kwenye kingo za kijiji hiki, sijajua ulitoka nao wapi ila wakati nakupata ulikuwa kwenye hali mbaya na ulikuwa umepoteza...
  7. FEBIANI BABUYA

    SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ EPISODE 36. ENDELEA....... “Naomba Mungu umpate kama atakuwa na bahati ya kuwa hai” “Una uhakika unaomba Mungu kwamba unamtaka akiwa hai?” “Sina hakika...
  8. FEBIANI BABUYA

    SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ EPISODE 35. ENDELEA....... “Hilo ndilo swali ambalo ulitakiwa kuuliza tangu mwanzo, ni kwamba anatakiwa kuwa mpenzi wako. Kazi sio kuwa mpenzi wake bali...
  9. FEBIANI BABUYA

    SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ EPISODE 34. ENDELEA....... “Lakini mbona Darian ndiye ana nguvu zaidi?” “Kuwa na nguvu za kupiga kelele sio kushinda, unajua huu ulimwengu ni mdogo sana...
  10. FEBIANI BABUYA

    SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ EPISODE 33. ENDELEA....... Biashara yangu mwanzoni niliona kama inatisha, kama unavyo jua wanaume, mimi nilikuwa mgeni hivyo nilionekana kigoli kwahiyo...
  11. FEBIANI BABUYA

    SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ EPISODE 32. ENDELEA....... ZYRA. “Maisha yangu mimi ni kama hadithi ya kutungwa ama ya kufikirika, hayana uhalisia, hayana ukweli kwa sababu nimeishi...
  12. FEBIANI BABUYA

    SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ EPISODE 31. ENDELEA....... “Mara ya kwanza kabisa ni bora ungechagua kuwa dhaifu ukaita msaada wa walinzi mzee wangu, nenda na safari yako tutakuja...
  13. FEBIANI BABUYA

    SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ EPISODE 30. ENDELEA....... Alikuwa ametegemea kumkita Jaden kwenye mbavu lakini haikuwa hivyo kwani mwanaume huyo alikuwa amerudi nyuma na alibetuka...
  14. FEBIANI BABUYA

    SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ EPISODE 29. ENDELEA....... “Zote zinaweza kuwa ni sababu za msingi, kijana umefanya jambo hilo liwe nje ya mkono wangu lakini kabla ya kukufanyia...
Back
Top Bottom