Inawezekana kabisa kama unapenda kufanya kazi shulen tena usichelewe kwenda mwenyewe nilisoma diploma hiyo hiyo na nikaajiliwa na nimebadilishiwa muondo sema mm wakati naajiliwa nilikuwa tayari nina degree kwahiyo nilipodhibitishwa tukaanza mchakato but inahitaji force kidogo coz local mambo...
Inadepend ni biashara gani piah na ajira umeajiriwa sehemu gan au kitengo gan kama waliopo tbs au tira hao labda wafanyabiashara wakubwa ndio wa kulinganisha nao
Ni kweli anatebisha hajui na afuatilii mambo anaona tuu yanatokea wilaya ya meatu madiwani walifanya ziara na kutangaza jumanne wagar yatawafuata vijijin hapa mjin wafanyabiashara wote wameambia hakuna kufungua siku ya jumanne
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.