Elimu ya Uraia juu haki
Elimu juu ya haki za Raia na Wajibu Mihimili ya Dola kwa Raia itolewe katika ngazi zote. Hayo yote lazima yasemwe na KATIBA . Katiba ndiyo inayotoa dira nini kifanyike na mwelekeo ni upi.
1. Kwa Mfano nini umhimu wa uchanguzi wa viongozi wa Kisiasa
2. Wajibu wao ni...
Kauli za kukizana za Wanasayansi zimeletelezea Misimamo tofauti ya Wanasiasa, Viongozi na Jamii yote kwa ujumla wake. Mkanganyiko upo kwenye Tiba , je tahadhari pekee yake inajitosheleza au chonjo ni jawabu? Je nchi iingie kwenye lockdown au maisha yaendelee? Kunapokuwa na taharuki na...
Speaker hana uwezo tena wa kuongeza bunge. Mambo hayo alitakiwa wakae na Mbuge mhusika wayamalize. Kulisema ndani ya bunge ina tija gani? Kuna kitu hakipo sawa ndani ya kichwa cha Speaker.
Waziri huyo hajitambui. Kama Wakimbizi wameondoka Tanzania na kisha baadaye wakaomba hifadhi Uganda tatizo liko wapi? Kwani Tanzania tuu ndiyo ina huo wajibu? Wakimbizi huomba hifadhi mahala wanaona amani ipo. Wameona Uganda ni Salama
Marekani anatapatapa apate pa kutokea . Rais wa Marekani hana sifa za kuongoza kwa hekima. Leo anarukia China ,Kesho Iran, Kesho kutwa Afghanistan mradi tuu kuleta hekaheka. Sasa anakabiliwa na matazizo makubwa mawali nchini mwake ,Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi , mauaji na uonezi wa...
Pamoja fedha walizonazo Simba kama kweli , wanatakiwa kufuata taratibu za kusajili mchezaji kutoka Club nyingine bila kutumia ubabe. Kama wanamtaka Morrison, waende mlango wa mbele kwa uongozi wa Club ya Young Africans Sport Club wavunje Mkataba. Kama kweli Simba Sports Club wamefanya mazungumzo...
Kenya haiwezi kuamini majibu ya vipimo vinavyofanya Tanzania hata kama vimefanywa kwa ueledi na kwa kuzingatia matakwa yote ya WHO kwa sababu za Kihistoria. Kwamba wao wameendelea katika nyanja zote za Maisha( a more developed country compared to a much undeveloped country Tanzania. Is like to...
Range anataka Ubunge tena ? ! Afanye tathimini kwanza kabla hajajitosa kwenye ulingo. Hakawii kutoa bastola anapoona Mambo yanaenda kombo. Kwa wana Tabora mulizeni , alisahau nini Bungeni ?
With COVID19 and viral attacks in general and people's recoveries , there are no clear answers nor formuls! It all depends with one's immunity and probably body genetics of an individual. Thus advanced age is not the only fatal factor. It can be overcomed
Mheshimiwa Waziri. Umefanya utafiti wa kutosha kabla ya kufikia huo uwamzi ? Je ni kweli Vitambi vinahusiana na utendaji duni wa Kazi ya Traffic Police. Kama Traffic Police wa Gairo ni wazembe ni tu lakini siyo sababu ya vitambi. Wapo wasivyo navyo lakini ni wazembe na wapo wanavyo lakini ni...
Kunaacha maswali mengi yasiyo kuwa na majibu. Transparency kwenye chama ni Suala la ndani ambalo kama kweli hao Wabunge wanamsimamo wangehimiza kikao na Kiongozi Mkuu na kulijadili ili kupata ufunguzi. Kukimbia siyo jawabu. Inaonesha walikuwa kimaslahi binafsi na siyo kwa ajili ya Chama. CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.