Recent content by father s

  1. F

    JamiiForums Tanzania Mwenye Nyumba Feki akipambana kunipiga Laki, nami Namu-enjoy

    Yaani huyo mwenye nyumba feki, Yule mganga anaewasaisaidia watu kupata utajiri, Fremason, Tuma,kwenye namba hii wote ni matapeli kama matapeli wengine wanaojifanya watu wa mitandao
  2. F

    JamiiForums Tanzania Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    Ww ndio usimsikilize, Mm nipo nae bega kwa bega maka samaki na maji
  3. F

    JamiiForums Tanzania Nini kimelikumba Jeshi letu? Imekuwaje linatumika kwa ajili ya kampeni za CCM?

    Kumpa rais ulinzi sio lazima ndege ibebe bendela ya chama, Mbona haya hayakuganyika chaguzi zilizopita?
  4. F

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mahali hapa dar kuna uchawi kuzidi Chanika,chamazi na Mbagala ???

    Kama uvyoona takataka za mikoani zooote zipo dar, tambua wale watu waliokuja kutoka huko wamkuja na uchawi, Kuna,watu hulo kwao wamefukuzwa kwa sababu ya uchawi, wamekimbilia dar
  5. F

    JamiiForums Tanzania Dada yangu ana mtaji wa wa Milioni 30, unamshauri afanye biashara gani?

    Mambooo, Dada yako yupo mkoa gani ?? Karibu mp nikupe mchongo,zaid na zaid
  6. F

    JamiiForums Tanzania Tushauriane hapa: Kipi bora kutafuta maisha ndio uyaishi au kuyaishi maisha ndio uyatafute

    Punguza tamaa Ninafikili umeona rafiki yako anaishi maisha hayo ukatamani uishi vivyo, Mm ninakushauli usiende huko kuna,muda,ramani zinakataa kodi imekwisha inakuwa ngumu kumuazima mwana pesa ukalioe kodi
  7. F

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ni wazi CHADEMA wanamkumbuka Freeman Mbowe kama shujaa wa mikakati ya kujikwamua kwenye mikwamo ya kisiasa na kujutia uongozi mpya kwa kukosa maono

    Unajua deni la taifa sh ngapi mpaka sasa? Tuna bandali Maziwa , Migodi Gesi Mbuga za wanyama, Nk
  8. F

    JamiiForums Tanzania Nafikiri kitu bora cha kijasiri utakacho wahi kufanya kama mwanaume ni pale utakapostopisha mihemuko endapo utajua huyo ni mke wa mtu

    Yaaani ktk vitu ambavyo sisumbuki navyo ni kuhuau mke wangu kutoka nje ya ndoa mm siwezi kugomba na mwanamme Nikigundua umetoka nje ya ndoa ndoa inakuwa imeishia hapo no comen
  9. F

    JamiiForums Tanzania Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

    Kasome historia Hata hospitali ya muhimbili mwanzilishi wake ni muislam
  10. F

    JamiiForums Tanzania Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

    Uislam ndio ulianza kudai uhuru tanzania, Nyerere ktk hotuba,zake anakwambia yeye ndio mkristu wa kwanza kukaribishwa tanu, kwa maana kabla ya nyelele waislam walikuwa ktk harakati za,kudai uhuru, Baadae wakamkaribisha nyerere , Wakamuamini na kumpa nguvu na kupambana nae, Ukienda kuangalia...
  11. F

    JamiiForums Tanzania Mke wangu baada ya kupata kazi na mshahara mnono ameanza kunidharau

    Mdharau, fanya maisha yako, , ishi nae kwa,akili usimjibu wala kumkalipia, hata akianza kukunyima unyumba tatuta plan b, Ukimaliza mkopo , Chukua mwingine kwa mambo yako binafsi, Ikibidi mrudishe kwao ajirekebishe kitabia
  12. F

    JamiiForums Tanzania Mwanangu analia sana wakati wa maombi

    Mtoto wako anaona vitu vya ajabu hapo kanisani, Usiende nae huyo mchngani anatumia nguvu mbadala kufanya maombi, Chunhuza hili kwa makinj
  13. F

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nimebubujikwa na machozi ya shangwe kupata ujumbe wa simu wa Mwenyekiti wa CCM kujikumbusha kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura

    Kwnn haububujikwi na machozi tigo ,voda au airtel wakikutakia heri ya mwaka mpya? Acha kuwa zuzu
Back
Top Bottom