Nadhani utakuwa unazifaham siasa za tanzania kwa kiwango kidogo sana hata kama ni kada.
Lah basi una maslahi , ambayo kimsingi huondoa ufaham wa watz wengi.
Nadhani umeandika hoja MUHIMU yenye kushika hisia, na hivo kuna hatari ya kuzuia fikra yakinifu, tusipokuwa Makini wote tutashiriki kujilaani, kulaumu watu na kukosa hata mawazo suluhishi.
Katika kuelewa Jambo ili ulihukumu yapaswa akili na fikra yakinifu vishirikiane.
Mimi naungana na wasemao...
Kuna wanaopumbazwa na kunawalioamua kujipumbaza hasa wakijua kwamba kuongelea mambo ya siasa ni kujiweka hatarini, na kuongelea mambo ya michezo ni usalama.
Bila Shaka sasa Nchi inaenda vizuri katika mwendo ambao tunauhitaji na tumeridhika nao, ishara ya hili inajionesha pale wakosoaji na wapenda nchi, yaani wazalendo nguli waliojitokeza kipindi cha hayati JPM kunyamaa Kwa kimya kikubwa.
Nadhani sasa mambo yapo safiiii, kijamii, kiuchumi...
Acha kutumia jina LA Mungu kipuuzi, HV polepole kamuuzi Mungu kuliko wengi wasio na matatizo hayo. Usichukue vipimo vya mwanadamu ukafananisha na vya Mungu.
Mkuu trust me, natamani ccm iondoke madarakani hata muda huu niandikapo, ila cha kusikitisha ni kwamba ccm haitaondolewa bila kutumia akili kubwa mno, kujitoa mhanga na kuwa na misimamo isiyoyumbishwa, pia kuwa na chama madhubuti. La utakuwa wimbo wa dunia kuiombea Marekani ianguke bila kuwa na...
Mabadiliko yanatokea pale jamii husika inapokuwa inajitambua na ina dira, mapinduzi na mabadiliko yenye tija kwa taifa huletwa na wasomi wazalendo wenye maono juu ya taifa lao, yakiletwa kwa mgongo wa kabila au dini huwa hayana tija maana hufumbia macho uchafu mwingi uendeleao ktk taifa kwa kuwa...
Nilizingatia msimamo tuliokuwa nao COVID-19 ilipoingia nchini kwa mara ya kwanza, nilikuwepo wakati wa wimbi la pili la maambukizi, na nashukuru pia nipo kipindi hiki cha wimbi la tatu la maambukizi na hatua zinazochukuliwa.
Najiuliza je, tulifaulu au kushindwa awamu ya kwanza ya COVID-19, na...
Kitaratibu ilikuwa malalamiko hayo yalikuwa yapelekwe UN, lakini si Marekani ambao ni taifa na wanakosa uhalali wa kuingilia moja kwa moja mambo ya nchi fulani, zaidi sana labda kuondoa misaada.
Pia wazungu wanatuchora sana na kujua akili zetu zimeishia wapi, sina hakika kama ni wazuri katika...
Kama ni ukweli, basi imewasilishwa kwa lugha rahisi na ya kitoto. Hivyo unahaki ya kuhoji hill juu ya huyu karegeye.
Jasusi mahili hutafutwa na jasusi mahili, HVO mbinu huwa Kubwa sana, na hapo tunazungumzia aliyefanikiwa kumuua, huwenda walikuwepo waloshtukiwa.
Kumbuka jasusi Wa urusi...
hata akiingia mzma mzma anapata taabu sana hasa km hana vibaraka mle ndani anakovamia. Tatzo wametubrain na zile move za watu saba kupambana na majesh na wanashnda. Vita mojawapo waloshndwa vibaya na kupata aibu ni vya vietnam, hvyo US hawapend kukumbuka au kukumbushwa. Pia marekan kashndwa ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.