SIMBA SC VS STELLA ABIDJAN MWAKA 1993

SIMBA SC VS STELLA ABIDJAN MWAKA 1993

Hii mechi umenikumbusha mechi ya simba na yanga iliyofuatia baada ya simba kufungwa na Stella Abidjan wakaja kupigwa mbili na watoto wa Jangwani kwa magoli ya marehemu James Tungaraza na ukawa mwanzo wa Tungaraza kuitwa Boli Zozo ambae ndie alikuwa mfungaji wa magoli ya Stella Abidjan.

Ile game Simba walidundwa kiuhalali wala wasitake kuzuga kwamba kuna mtu alihongwa,wanawaonea tu kina Masatu,kumuona mtu anakula bata siyo justification kwamba amehongwa,labda point ya msingi iwe kwamba hawakutakiwa kula bata katika crucial moment kama hiyo kitu ambacho kingewapotezea concentration ya mchezo wa kesho yake na badala yake walitakiwa wawepo camp.

Kitendo cha kiminyio na wenzake kuwashambulia kina Masatu(kama hii ni kweli)kilikuwa cha kukurupuka (kiminyio atanisamehe kama mtani) kwani kwa vyovyote vile aliwaathiri wenzake kisaikolojia jambo ambalo ni hatari kwa mchezaji anayekabiliwa na mchezo mgumu mbele yake-you never know labda ilikuwa ni propaganda iliyosukwa na Stella kwa kushirikiana na wasioitakia mema simba ili simba wavurugane kuelekea mchezo huo ili wao wapete.UKISIKIA MPIRA UNACHEZWA NDANI NA NJE YA UWANJA NDO KAMA HIVYO.
Soma vizuri,ilikuwa in usiku baada ya mechi ndiyo jamaa wakaenda bills
 
Mkuu akina Mwameja, walionekana wakila bata usiku wa siku iliyo chezwa mechi. Yaani saa kumi na mbili mechi imeisha, umepigwa goli mbili bila, halafu saa tano usiku unaonekana ukila bata kwenye klabu ya usiku. So bata walikula baada ya mechi na si kabla ya mechi mkuu...
Baghdad,chukwu,ngoma,kamusoko,aboutrika,yousuph hajj,nk
 
James tungaraza alifunga gol 1, gol lingine lilifungwa na mohamed hussein (mmachinga)
Hii mechi umenikumbusha mechi ya simba na yanga iliyofuatia baada ya simba kufungwa na Stella Abidjan wakaja kupigwa mbili na watoto wa Jangwani kwa magoli ya marehemu James Tungaraza na ukawa mwanzo wa Tungaraza kuitwa Boli Zozo ambae ndie alikuwa mfungaji wa magoli ya Stella Abidjan.

Ile game Simba walidundwa kiuhalali wala wasitake kuzuga kwamba kuna mtu alihongwa,wanawaonea tu kina Masatu,kumuona mtu anakula bata siyo justification kwamba amehongwa,labda point ya msingi iwe kwamba hawakutakiwa kula bata katika crucial moment kama hiyo kitu ambacho kingewapotezea concentration ya mchezo wa kesho yake na badala yake walitakiwa wawepo camp.

Kitendo cha kiminyio na wenzake kuwashambulia kina Masatu(kama hii ni kweli)kilikuwa cha kukurupuka (kiminyio atanisamehe kama mtani) kwani kwa vyovyote vile aliwaathiri wenzake kisaikolojia jambo ambalo ni hatari kwa mchezaji anayekabiliwa na mchezo mgumu mbele yake-you never know labda ilikuwa ni propaganda iliyosukwa na Stella kwa kushirikiana na wasioitakia mema simba ili simba wavurugane kuelekea mchezo huo ili wao wapete.UKISIKIA MPIRA UNACHEZWA NDANI NA NJE YA UWANJA NDO KAMA HIVYO.
 
Boli zozo aliingia kipindi cha pili na kufunga goli la mbali la pili kama alivyofanya James tungaraza naye alifunga la pili
 
Naskia hata leo wameuza mechi, bwana mkubwa kabanwa kwenye biashara huko na Jiwe
 
Do wamatopeni
IMG-20190826-WA0001.jpeg
 
Boli zozo akifunga goli zote 2, na mechi ya Yanga na Simba James tungaraza aliyesajiliwa tokea sigara FC ya far, akifunga goli zote 2.
 
Back
Top Bottom