Uchaguzi Zambia, chama tawala umesusia matokeo na kusema sio ya haki

Hata uhuru kutoka kwa wakoloni ulikua hivihivi kwa Tanzania ni suala la muda tu kwa sababu vyama vingi Afrika vilivyoleta ukombozi vimeshindwa kutoa majibu ya ujinga,maradhi na umasikini licha ya rasilimali lukuki zilizopo katika nchi zetu, Mfano Tanzania 60years lakini bado tunazungumzia matatizo yaleyale ajira,maji,umeme,elimu nk . Sasa kwa mazingira hayo na ukizingatia hali zinabadilika kutoka kizazi na kizazi ukiacha UVCCM wachache wasiojitambua na wanaofaidika na mfumo ila kuna wimbi kubwa la vijana hawapendezwi na hali ilivyo kwaiyo hao ndio watakaoleta mabadiliko kwasababu ndio waadhirika wa kubwa wa hii mifumo
 
Time will tell. Hata hapa Tanzania Kuna siku Mbowe atakua waziri mkuu, Heche waziri wa ulinzi, msigwa waziri wa kilimo. Deceiver mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam.
Hakika ipo siku
Baada ya miaka 1000 ,Tanzania bado Sana mkuu kukubali kukabidhi nchi kwa magaidi .
 
Huku Tanzania haitakuja kutokea. CCM wana kikosi cha ushindi:

1.Siro
2.Mahera
3.Mabeyo
4.Diwani.
5.Wakurugenzi
6.DCs
7.Waalimu, wasimamizi kuiba kura
8.Mahakama
9.
10.
11. Wachawi wa Gamboshi.
Unadhani hii formation haikuwepo Zambia? We sema ccm wanataka mpaka watu wakatane shingo na majambia polisi wanaoishi uraiani watekwe ndio wataweka mpira mezani.
 
Huku Tanzania haitakuja kutokea. CCM wana kikosi cha ushindi:

1.Siro
2.Mahera
3.Mabeyo
4.Diwani.
5.Wakurugenzi
6.DCs
7.Waalimu, wasimamizi kuiba kura
8.Mahakama
9.
10.
11. Wachawi wa Gamboshi.
Kila marefu yana ncha..
 
Makabila sio factor huko. Kama kwetu tu. Tatizo lilikuwa mfumo wa chama dola kama ilivyo CCM. Waliufanyia kazi wakafanikiwa kupunguza madaraka ya Rais, wakaimarisha uhuru wa mihimili ya bunge na mahakama na kuweka tume huru ya uchaguzi.
Trust me nchi zenye makabila machache ni rahisi sana kupata mabadiliko. Wale wanaohisi wanaonewa hawatadeal na polisi.

Watadeal na kabila wa wale wanaowaonea. Chukulia mfano CCM ni kabila. Watu wakianza kudeal na wafuasi wa CCM watawala wataandika tu katiba bila kupenda.
 
Ila na katiba zao wamezifanyia marekebisho jaribu kuchunguza nchi za Africa kama
Kenya
Malawi
Zambia
Zimbabwe
Chaguzi zao zinaaamua mshindi halali kwenye sanduku la kura na sio vinginevyo
Kwa Kenya hapana mkuu, pitia vizuri. Kuhusu matokeo halali juu ya mshindi toa Kenya na zimbabwe afu weka Ghana na Ivory Coast.
 
Watu wakianza kudeal na nyie wafuasi wa chama cha kijani basi watawala wenu wataandika katiba bila kupenda. Au na nyie wafuasi mna mabomu?
Mkuu Waambie waanze ,mbona Hadi muda huu ghaidi Yuko nyuma ya nondo na hakuna wa kukinukisha
 
Ccm sio wapuuzi kama wahuni wa hapo ufipa.
Hata jiwe mlimpangia mumuongezee miaka mengine aongoze milele na mliposema hivyo hamkuwa wapuuzi. Kiufupi ujue na ujue zaidi ya kwamba mwisho WA ccm upo na utakuepo na Mungu hakuumba hapa duniani kwamba kilicho na mwanzo kisiwe na mwisho.
 
Trust me nchi zenye makabila machache ni rahisi sana kupata mabadiliko. Wale wanaohisi wanaonewa hawatadeal na polisi.

Watadeal na kabila wa wale wanaowaonea. Chukulia mfano CCM ni kabila. Watu wakianza kudeal na wafuasi wa CCM watawala wataandika tu katiba bila kupenda.
Mabadiliko yanatokea pale jamii husika inapokuwa inajitambua na ina dira, mapinduzi na mabadiliko yenye tija kwa taifa huletwa na wasomi wazalendo wenye maono juu ya taifa lao, yakiletwa kwa mgongo wa kabila au dini huwa hayana tija maana hufumbia macho uchafu mwingi uendeleao ktk taifa kwa kuwa lengo ilikuwa kabila kushika dola.

Kwa hyo mabadiliko yenye chembe za ukabila, udini na uchama hubadilishwa jina na kuwa fujo katika siasa ya nchi, hayaifikishi nchi katika ustawi, hasa nchi zenye kabila zaidi ya moja, na dini zaidi ya moja kwa uwiano unaokaribiana na nchi yenye zaidi ya chama kimoja pia.
 
Hata jiwe mlimpangia mumuongezee miaka mengine aongoze milele na mliposema hivyo hamkuwa wapuuzi. Kiufupi ujue na ujue zaidi ya kwamba mwisho WA ccm upo na utakuepo na Mungu hakuumba hapa duniani kwamba kilicho na mwanzo kisiwe na mwisho.
Mkuu trust me, natamani ccm iondoke madarakani hata muda huu niandikapo, ila cha kusikitisha ni kwamba ccm haitaondolewa bila kutumia akili kubwa mno, kujitoa mhanga na kuwa na misimamo isiyoyumbishwa, pia kuwa na chama madhubuti. La utakuwa wimbo wa dunia kuiombea Marekani ianguke bila kuwa na mikakati bali imani tu, haitoanguka.

Ccm ina mikakati very genuine ya kubakia madarakani, hvo ni lazima iondolewa kwa mikakati genuine pia.

Ogopa chama kinachoweza kuwachezea picha wapinzani na wananchi kwa kujifanya eti ndani yake kunaibuka makundi yanayopingana na taratibu yanatafuta sapoti kwa wananchi na wapinzani, kisha sisi tunaanza kujadiliana Juu ya hayo makundi tunaacha mipango yetu. Ccm ni chama kinachopanga mpinzani yupi ashine kwa kipindi Fulani, mfano 2015 had 2020 waliamua kumpaisha Zitto, na so tukadhani sasa kweli Zitto anpambana na serikali.

Ni Chadema tu ya kipindi Fulani ilikuwa na ugenuine huo na kiukweli ilikumbatia uungwana ungwana Fulani ila ilikuwa inachukuwa dola, hasa kwa mtazamo wangu in 2010 hadi 2014 CDM walikuwa wanasepa na nchi. Yalipokuja maruweruwe ya kupangwa biashara ikaishia hapo.
 
Zambia na Malawi ni rahisi kuwatoa mkuku watawala sababu ya uchache wa makabila.
Kabila moja likihisi linaonewa wanakinukisha.
Mfano Zambia wana majimbo na makabila makuu matano tu. Hapo ni karata ya wagombea ichezwe vizuri.
Kenya pia
 
Makabila sio factor huko. Kama kwetu tu. Tatizo lilikuwa mfumo wa chama dola kama ilivyo CCM. Waliufanyia kazi wakafanikiwa kupunguza madaraka ya Rais, wakaimarisha uhuru wa mihimili ya bunge na mahakama na kuweka tume huru ya uchaguzi.
Makabila ni factor mojawapo kubwa pia
 
Hata jiwe mlimpangia mumuongezee miaka mengine aongoze milele na mliposema hivyo hamkuwa wapuuzi. Kiufupi ujue na ujue zaidi ya kwamba mwisho WA ccm upo na utakuepo na Mungu hakuumba hapa duniani kwamba kilicho na mwanzo kisiwe na mwisho.
Umeamza kutabiliwa tokea 1985 baada ya mzee mchonga kukaa pembeni.

Hawa chadema wa twitter leo wasikutishe.
 
Ila na katiba zao wamezifanyia marekebisho jaribu kuchunguza nchi za Africa kama
Kenya
Malawi
Zambia
Zimbabwe
Chaguzi zao zinaaamua mshindi halali kwenye sanduku la kura na sio vinginevyo
Unamaanisha Kenya ambayo mkuu wa tume alipotea ktk mazingira ya kutatanisha na kukutwa mait???
 
Umeamza kutabiliwa tokea 1985 baada ya mzee mchonga kukaa pembeni.

Hawa chadema wa twitter leo wasikutishe.
Maneno yangu yashike ujue tena hata wewe hukujulikana Mungu akafanya rehema zake ukazaliwa ukajulikana ulikuwa na mwanzo na mwisho utakuwa nao. Ikiwa ni hivyo na ccm inamwisho wake. Kinachowatia kejeli siushindani ya uanachama kwa kusema mnauwezo mzuri tu kwa kukubalika kwenu au lá bali ni nguvu ya policcm, tume kutokuwa huru na nguvu nynegine zá ziada za vyombo vya dola ndio maana mpka sasa hakuna ccm anaekubali kuwepo na hivyo vyombo viwe huru.
 
Ukitaka kushindana na adui inabidi utumie mbinu zinazo fanana na adui yako.
 
Back
Top Bottom