Recent content by fatcat

  1. fatcat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najuta kutembea na binti wa kirangi

    Kwanini broo?
  2. fatcat

    JamiiForums Tanzania Msaada: Biashara unayoweza kufanya kwa mtaji wa Tsh. Milioni 20

    Million 2 inaweza kujenga msingi wa vyumba vi 3 na kozi 3??
  3. fatcat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Malipo kwa wanawake ni ndoto!

    Wanawake wa sayari ipi mkuu?
  4. fatcat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Goli la kwanza ndiyo huwa tamu kuliko magoli yote kwenye sex hayo mengine huwa ni mbwembwe tu

    Tatizo la mwanaume wako sio tatizo la wanaume wote!
  5. fatcat

    JamiiForums Tanzania Kwa video hii, mwendokasi uwe na sehemu tofauti ya wanawake na wanaume

    Nishawai kushuhufia pia kitendo kama hiki mwaka 2020 katika mwendo kasi maeneo ya Shekilango, alikua ni mwanaume mtu mzima kabisa na dada moja hivi... Sasa walifika mbali kwani yule mwanaume alitoa hadi dudu kabisa.
  6. fatcat

    JamiiForums Tanzania Umepitia/Unapitia changamoto gani tangu umalize chuo mpaka sasa?

    Mkuu !Pole sana kwa unayopitia kwa sasa. Kwanza, naomba nikwambie jambo moja USIKATE TAMAA, maisha hayana kuchelewa wala kuwahi, nakwambia siku yako ikifika basi na mambo yako yatanyooka vizuri tu. SIKILIZA KISA CHANGU Mwaka 2018 nilikua na miaka 27 kama wewe, na nilikua nimejitolea katika...
  7. fatcat

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0434
  8. fatcat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Unafahamu namna ya kutongoza na process nzima ya utongozaji? *Kama unafahamu huwezi shangaa miezi 8.
  9. fatcat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mkuuu! Kwanza pole sana Kama ni kweli huyo manzi ameshikiria msimamo mbali na yote uliyofanya, na uko na uhakika 99% kuwa ni mwanamke na hana mpenzi mwingine, basi mkuu tatizo sio ww...tatizo ni yeye. Kuna manzi mwaka 2021, nilikua namfukuzia Arusha...nilitumia mbinu zote...
  10. fatcat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kamwe Usimuamini Mwanamke

    Katoa 1.5 M tu alafu katoroka?? Mbona kama pesa ndogo sana ya kusababisha mtu atoroke??
  11. fatcat

    JamiiForums Tanzania Mbowe anapigiwa saluti kama nani? Kwani akipigiwa saluti ndio CHADEMA mnapaishwa kisiasa?

    Samahani bro....hayo mafunzo ya awali ya kijeshi Upanga Air wings ilikua mwaka gani?
  12. fatcat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Amekuja tena kuomba pesa. Wajuba naomba ushauri wenu

    Pia wakionana uso kwa uso, anaweza rekodiwa vile vile[emoji2]
  13. fatcat

    JamiiForums Tanzania Kwanini neno Ambulance kwenye gari la wagonjwa huwa linageuzwa?

    Yanageuzwa ili dereva wa gari ya mbele aweze kusoma kwa usahihi kutoka kwenye side mirror ya gari lake.
  14. fatcat

    JamiiForums Tanzania Msaada usafiri kutoka Morogoro kwenda Butiama

    Yes, panda gari ya Moro ... Musoma, zinafika usiku sana na hali ya ugeni itakuwia ugumu kufika chuoni. Ushauri Nenda hadi Musoma mjini, pakikucha ulizia magari yanayoenda Buhemba(haya yanapita kwenye geti kabisa la Mwl Nyerere Un), au panda magari yanayoenda Butiama then shukia Butuguri then...
  15. fatcat

    JamiiForums Tanzania Msaada usafiri kutoka Morogoro kwenda Butiama

    Panda bus la Moro - Musoma au Moro - Tarime, shuka sehemu kituo kinaitwa Sabasaba......mwambie boda akupeleke Mwl Nyerere Agriculture University au iliyokua Oswald Mang'ombe High School
Back
Top Bottom