Sawa sawa mkuu kulikuwa na patrol moja matata sana ya defender ikiwa na silaha nadhani ni RPG au LMG hapa si mtaalam sana wa silaha warekebishe wanaofahama, ipo juu ya defender inazunguka halafu ndio mnaenda nao tena kuwavusha hapo nyakanazi,rusahunga mpaka nyakahula.
Hivi umejiuliza kuwa anapaswa kuilinda hiyo silaha zaidi ya uvamizi wowote unaoweza kujitokeza ukasababisha aporwe hiyo silaha?
Vipi kama James angeporwa hiyo silaha na kupkupigwa hilo shaka kichwani ungesema namna hii?.
James kasimamia vizuri mafunzo yake kayatendea haki haujasikia kama wale...
Sijawai kumuamini huyo Maria na mwenzake Fatuma, hawa wamekulia kwenye malezi ya faida za wazazi wao kuwa viongozi nchi hii sidhani kama huwa wapo serious saana na hizo harakati zao zaidi ya kuweka kiini macho tuu kwa walala hoi.
Mku wala wasikuumize sana kuwaelewesha hawa ndio sehemu ya tatizo lililopo na hawataki kusikia ushauri unaotolewa humu na wanajiamini wao ndio wenye akili na ujuzi pekee.
Mie bado nakupa mifano ya maeneo mengine ambayo ni hatari zaidi ya hapo inyala na angalia viwango vya ajali vikoje, mfano...
Mnaosema gari ikaguliwe kabla ya kushuka mlima mnauhakika kuwa kabla ya gari hiyo kuanza kushuka haikuwa na brake?, je mnajua chanzo kikuu cha magari kufeli brake hapo inyala?.
Kwa nini mlima nyoka hakuna sana ajali zaidi ya hapo inyala/pipe line?.
Gari ishuke mlima nyoka vizuri halafu inyala...
Hili la dawa za kuhifadhia maiti huenda kwa kiasi lipo niliwahi kulisikia na DRC pia samaki kutoka south Africa/ Namibia wakiitwa thomsoo na tilapia, lakini hili la kanda ya ziwa limafikirisha saana kuhusiana na mambo ya migodi l.
Huko north mara utafiti ule uliishia wapi?.
Na mke mmoja tuu inachangia sana haya maumivu hasa kwa mtu muanifi na mtiifu kwa mkewe.
Fuatilieni haya matukio utakuta ni watu wasio na wenza wengine au asiye na kimchepuko pembeni.
NB: ni mawazo yangu tuu haya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.