Recent content by Fast Forward

  1. Fast Forward

    Je, mimi ni mrembo sana au wa size ya kati?

    Na FB tupe jina la akaunti uliyotolea hii picha ili nifanye tatmini ya kina... Yote kwa yote wewe ni type yangu kabisa ikiwa kweli ni wewe🥰🥰
  2. Fast Forward

    Nahitaji kiwanja Dar es Salaam/pembezoni mwa mji kwa ofa ya Tsh 5m

    Hivi mpaka sasa bado maeneo haya viwanja vinapatikana kuanzia bei gani?
  3. Fast Forward

    SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Dona Summer _ unconditional love Tina Turner_ The Best
  4. Fast Forward

    DRC: Aliyekuwa Mshauri wa Rais Mobutu Sese Seko kugeuka omba omba mitaani Kinshasa ni karma inamtafuna au ndio hujafa hujaumbika?

    Duuh Mu7 hapo watu 528 kwa hesabu ya harakaharaka niliyoipiga. Hii ni hatari sio mchezo magari 400 .
  5. Fast Forward

    Mnakumbuka ujambazi ulivyokithiri Kagera na maeneo ya jirani

    Sawa sawa mkuu kulikuwa na patrol moja matata sana ya defender ikiwa na silaha nadhani ni RPG au LMG hapa si mtaalam sana wa silaha warekebishe wanaofahama, ipo juu ya defender inazunguka halafu ndio mnaenda nao tena kuwavusha hapo nyakanazi,rusahunga mpaka nyakahula.
  6. Fast Forward

    Wanaume mna mioyo mingapi?

    Oyaaa mshamba_hachekwi 🤣🤣
  7. Fast Forward

    Mbaroni kwa kumpiga risasi ya paja mtu aliyetaka kumshambulia kwa shoka

    Hivi umejiuliza kuwa anapaswa kuilinda hiyo silaha zaidi ya uvamizi wowote unaoweza kujitokeza ukasababisha aporwe hiyo silaha? Vipi kama James angeporwa hiyo silaha na kupkupigwa hilo shaka kichwani ungesema namna hii?. James kasimamia vizuri mafunzo yake kayatendea haki haujasikia kama wale...
  8. Fast Forward

    Jifunzeni Siasa za Freeman Mbowe; Anachofanya Maria Sarungi ni ukosefu wa heshima kwa Mamlaka halali

    Sijawai kumuamini huyo Maria na mwenzake Fatuma, hawa wamekulia kwenye malezi ya faida za wazazi wao kuwa viongozi nchi hii sidhani kama huwa wapo serious saana na hizo harakati zao zaidi ya kuweka kiini macho tuu kwa walala hoi.
  9. Fast Forward

    Kwa hili la Inyala, Mbeya ninampinga Makamu wa Rais Dr. Mpango kwa agizo lake "quick fix" na kumsihi awe serious na maisha ya Watanzania

    Mku wala wasikuumize sana kuwaelewesha hawa ndio sehemu ya tatizo lililopo na hawataki kusikia ushauri unaotolewa humu na wanajiamini wao ndio wenye akili na ujuzi pekee. Mie bado nakupa mifano ya maeneo mengine ambayo ni hatari zaidi ya hapo inyala na angalia viwango vya ajali vikoje, mfano...
  10. Fast Forward

    Kwa hili la Inyala, Mbeya ninampinga Makamu wa Rais Dr. Mpango kwa agizo lake "quick fix" na kumsihi awe serious na maisha ya Watanzania

    Siku tukiamua kuanza kutumia wataalamu wa gani husika kwenye matatizo mengi ya nchi hii ili kupata ufumbuzi, hakika mambo mengi sana yatabadilika.
  11. Fast Forward

    Kwa hili la Inyala, Mbeya ninampinga Makamu wa Rais Dr. Mpango kwa agizo lake "quick fix" na kumsihi awe serious na maisha ya Watanzania

    Mnaosema gari ikaguliwe kabla ya kushuka mlima mnauhakika kuwa kabla ya gari hiyo kuanza kushuka haikuwa na brake?, je mnajua chanzo kikuu cha magari kufeli brake hapo inyala?. Kwa nini mlima nyoka hakuna sana ajali zaidi ya hapo inyala/pipe line?. Gari ishuke mlima nyoka vizuri halafu inyala...
  12. Fast Forward

    INAUZWA Tangazo kwa wanaohitaji visimbuzi vya Canal+ Sports

    Safi kabisa huku ndio Mwigulu Nchemba alisema tuhamie Burundi naona majirani wa huko mmeshajiongeza...safi saaana.
  13. Fast Forward

    DOKEZO Maji ya kuoshea maiti yanayo lalamikiwa kutumika kuhifadhia samaki yanauzwa kwenye maduka ya dawa za asili, Serikali imulike huko

    Hili la dawa za kuhifadhia maiti huenda kwa kiasi lipo niliwahi kulisikia na DRC pia samaki kutoka south Africa/ Namibia wakiitwa thomsoo na tilapia, lakini hili la kanda ya ziwa limafikirisha saana kuhusiana na mambo ya migodi l. Huko north mara utafiti ule uliishia wapi?.
  14. Fast Forward

    Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

    Na mke mmoja tuu inachangia sana haya maumivu hasa kwa mtu muanifi na mtiifu kwa mkewe. Fuatilieni haya matukio utakuta ni watu wasio na wenza wengine au asiye na kimchepuko pembeni. NB: ni mawazo yangu tuu haya.
Back
Top Bottom