Recent content by Fast Forward

  1. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza kadi ya Benki, baada ya muda nikaanza kupokea SMS za miamala kwenye simu yangu. Hili jambo linawezekanaje?

    Japo uzi huu ni wa siku kadhaa zilizopita, ila kuna kadi za bank sitaitaja hapa kuna zile poss mashine za petrol station ukiweka tuu unakatwa pesa bila kuweka password Hii mimi ni shuhuda na kadi hii tokea hapo nikaacha kabisa kuweka pesa nyingi kwenye hiyo account.
  2. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Profile zetu hapa JF very interesting and confusing sana!

    Naam tena sana sana tuu na kesho narudi kuchele tena kwa sasa nipo tunduru nimekuja kusabai jamaa hapa
  3. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Profile zetu hapa JF very interesting and confusing sana!

    Duuh jana nilikuwa hapo hapo kwenye tamasha hilo la kihistoria
  4. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania HOJA Gari zilizosajiliwa “transit” ni sahihi kubeba mizigo ya local?

    Hili ndio jibu sahihi Wewe transporter wa mchongo acha mawazo potofu Vipi na nyinyi wa local mnavyofanya kazi za export watu wa transit walalamike?
  5. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mwalimu Mzumbe-Morogoro anafanya Elimu kuwa Biashara

    Yaani kama huyu ni muhadhiri na uandishi wake mbovu hivi, basi tutazidi kukiua kiswahili chetu kwa kasi ya 5 G.
  6. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania KERO Madereva wa mwendokasi terminal ya Kivukoni wanachelewa kuondoka bila sababu za msingi

    Muda wa chai huu watu lazima wakanywe kama kawaida ya binadamu lazima apate kifunguakinywa. Kama ni
  7. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Leo nimewakumbuka wana njenje Kachiri,kana Kane, boko, tulizana
  8. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Playlist kwa sasa
  9. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania AJIRA

    Kwani hiyo hesabu ya milioni 16 umeipataje we kijana? Miezi 10x80,0000/= unapata milioni nane Miezi 12 unapata milioni 9600000/= Sasa tukisema huko shuleni ulienda na hakujakusaidia itakuwa ni kosa kweli?
  10. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Hii sasa italeta maana nyingine kwa watu Ya kwamba umechanganya maninii vilee🤣🤣
  11. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Mie sio Mzee wa n***eto
  12. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Hapana mie sio Mbaga Jr
  13. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Ni vema kumfahamu zaidi FORTUNATUS BUYOBE ili kujiweka salama

    Sasa kichwa cha habari badilisha hapo juu Sema kwa wale wanaomjua huyu mtu wamuelezee kinagaubaga tofauti na ulivyoandika
  14. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Hamna simu janja ndio imefanya tuwe karibu zaidi nanyi🤣🤣
  15. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Ni vema kumfahamu zaidi FORTUNATUS BUYOBE ili kujiweka salama

    Nikajua unatiririsha Uzi wa kumuelezea kumbe nawe unasubiri watu watiririke?
Back
Top Bottom