Recent content by Fast Forward

  1. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania AJIRA

    Kwani hiyo hesabu ya milioni 16 umeipataje we kijana? Miezi 10x80,0000/= unapata milioni nane Miezi 12 unapata milioni 9600000/= Sasa tukisema huko shuleni ulienda na hakujakusaidia itakuwa ni kosa kweli?
  2. Fast Forward

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Hii sasa italeta maana nyingine kwa watu Ya kwamba umechanganya maninii vilee🤣🤣
  3. Fast Forward

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Mie sio Mzee wa n***eto
  4. Fast Forward

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Hapana mie sio Mbaga Jr
  5. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Ni vema kumfahamu zaidi FORTUNATUS BUYOBE ili kujiweka salama

    Sasa kichwa cha habari badilisha hapo juu Sema kwa wale wanaomjua huyu mtu wamuelezee kinagaubaga tofauti na ulivyoandika
  6. Fast Forward

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Hamna simu janja ndio imefanya tuwe karibu zaidi nanyi🤣🤣
  7. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Ni vema kumfahamu zaidi FORTUNATUS BUYOBE ili kujiweka salama

    Nikajua unatiririsha Uzi wa kumuelezea kumbe nawe unasubiri watu watiririke?
  8. Fast Forward

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Si muda wote nakuwa "naiwaza na kuiona live" kabisa kama tupo wote 😜
  9. Fast Forward

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    😂😂mtuvumilie tuu, sema first time hiyo sio sawa kwa kweli
  10. Fast Forward

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Sasa si tunaanza kula kwa macho 😂
  11. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Viwanja Viwili Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    Hii ipo barabara ya kwenda mwanalugali?
  12. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Udhibiti Uchumi LATRA: Madereva watakaogoma Aprili 12, kufutiwa Leseni

    Huko serikalini wamejaa watu wasio na uwezo Kuna kauli aliitoa professor Asad huwa ina ukweli asilimia mia
  13. Fast Forward

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninatafuta mwanaume mmoja aliyejaa upendo na ukarimu kutoka kwa Mungu, atakayekubali kuwa kaka yangu

    Sawa mdogo wangu Kaka yako wa hiari nipo hapa nakusubiri
  14. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Je, mimi ni mrembo sana au wa size ya kati?

    Na FB tupe jina la akaunti uliyotolea hii picha ili nifanye tatmini ya kina... Yote kwa yote wewe ni type yangu kabisa ikiwa kweli ni wewe🥰🥰
  15. Fast Forward

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kiwanja Dar es Salaam/pembezoni mwa mji kwa ofa ya Tsh 5m

    Hivi mpaka sasa bado maeneo haya viwanja vinapatikana kuanzia bei gani?
Back
Top Bottom