Recent content by Fast Forward

  1. Fast Forward

    Profile zetu hapa JF very interesting and confusing sana!

    Naam tena sana sana tuu na kesho narudi kuchele tena kwa sasa nipo tunduru nimekuja kusabai jamaa hapa
  2. Fast Forward

    Profile zetu hapa JF very interesting and confusing sana!

    Duuh jana nilikuwa hapo hapo kwenye tamasha hilo la kihistoria
  3. Fast Forward

    HOJA Gari zilizosajiliwa “transit” ni sahihi kubeba mizigo ya local?

    Hili ndio jibu sahihi Wewe transporter wa mchongo acha mawazo potofu Vipi na nyinyi wa local mnavyofanya kazi za export watu wa transit walalamike?
  4. Fast Forward

    DOKEZO Mwalimu Mzumbe-Morogoro anafanya Elimu kuwa Biashara

    Yaani kama huyu ni muhadhiri na uandishi wake mbovu hivi, basi tutazidi kukiua kiswahili chetu kwa kasi ya 5 G.
  5. Fast Forward

    KERO Madereva wa mwendokasi terminal ya Kivukoni wanachelewa kuondoka bila sababu za msingi

    Muda wa chai huu watu lazima wakanywe kama kawaida ya binadamu lazima apate kifunguakinywa. Kama ni
  6. Fast Forward

    SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Leo nimewakumbuka wana njenje Kachiri,kana Kane, boko, tulizana
  7. Fast Forward

    AJIRA

    Kwani hiyo hesabu ya milioni 16 umeipataje we kijana? Miezi 10x80,0000/= unapata milioni nane Miezi 12 unapata milioni 9600000/= Sasa tukisema huko shuleni ulienda na hakujakusaidia itakuwa ni kosa kweli?
  8. Fast Forward

    Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Hii sasa italeta maana nyingine kwa watu Ya kwamba umechanganya maninii vilee🤣🤣
  9. Fast Forward

    Ni vema kumfahamu zaidi FORTUNATUS BUYOBE ili kujiweka salama

    Sasa kichwa cha habari badilisha hapo juu Sema kwa wale wanaomjua huyu mtu wamuelezee kinagaubaga tofauti na ulivyoandika
  10. Fast Forward

    Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Hamna simu janja ndio imefanya tuwe karibu zaidi nanyi🤣🤣
  11. Fast Forward

    Ni vema kumfahamu zaidi FORTUNATUS BUYOBE ili kujiweka salama

    Nikajua unatiririsha Uzi wa kumuelezea kumbe nawe unasubiri watu watiririke?
  12. Fast Forward

    Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Si muda wote nakuwa "naiwaza na kuiona live" kabisa kama tupo wote 😜
Back
Top Bottom