Profile zetu hapa JF very interesting and confusing sana!

Profile zetu hapa JF very interesting and confusing sana!

Tunabadilika kulingana na mazingira, zikija mada za magari wote tunasukuma LC, zikija kama za Tanesco ndio hivyo tupo migombani na milimani...
....jf yenyewe imeruhusu tutengeneze profile zetu vile tunataka.
Ukinyonga nao unafaida hasa kwenye kusaka watoto, vijana wengi hawajui hilo somo
 
Jana baada ya umeme kukata na ule uzi wa raarifa kufunguliwa kila mtu alikua anatoa ushuhuda eneo lake halina umeme, sijui kwimba, Tandahimba, tunduru, kibosho, changanyikeni, nyakasangwe, kaliua, mtimbira, mpitimbi huko, nk nk.

Ila tukirudi kwenye profile fulani from uk, fulani from Michigan, fulani from Munich, from Italy nk nk.

Mna tunachanganya lakini!!


Jumapili nzuri kwa wote.
Kusipokuwa na shida yoyote tuko Munich, Johannesburg, Paris, Washington, Miami, Florida nk.

Shida ikitokea tuko eneo la tukio, tena tunaripoti moja kwa moja.

Uskonde bwashee!
 
Mtu akiwa popote sioni tatizo, uzi wako unaonyesha ni jinsi gani wamatumbi wengi tunapata sukari tukisikia mwingine wapo nnje ya Tanzania na sisi tupo huko Karatu mashenzini tunatumikia tamisemi
Nipo hapa Bulubulu-Karatu, tumbo limenisokota baada ya kusikia uko Marekani mangi.
 
Back
Top Bottom