Nadhani kila mtanzania ana lake la kuchangia... hebuzungumza lililoko moyoni mwako... USIFICHE.
PICHA:mathematically=WRONG.....Politically=RIGHT.........Digital Computing.=RIGHT... Sasa tunasemaje tatu mbili moja?
pitia link hii... kumbe ni kweli muddy alioa mke wa miaka 9 http://islamgreatreligion.wordpress.com/2011/04/11/why-prophet-muhammad-married-aisha-when-she-was-only-9/
zitazamwe faida na hasara za muungano kiundani... tusikae kung'ang'ania muungano kama pambo la kihistoria ambalo halitunufaishi kwa vyovyote wala kwa lolote... ni uupuzi... kama muungano wenyewe ndo malumbano kila siku... tuufutilie mbali kwasababu hasara zinakuwa nyingi kuliko faida. hat mke...
SURA YA SITA
MUUNDO WA JAMHURI YA MUUNGANO Ibara ya 60 Muundo wa Muungano
a. Maudhui ya Ibara
Ibara ya Rasimu ya Katiba inaainisha muundo wa Muungano wa Shirikisho la Serikali tatu, ambazo ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali ya Tanganyika na Serikali ya Mapinduzi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.