Kisa cha mtoto aliemuua mume wake wiki moja baada ya ndoa.

Kisa cha mtoto aliemuua mume wake wiki moja baada ya ndoa.

MstahikiMeya

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
1,633
Reaction score
561
attachment.php

Msichana mwenye umri wa miaka 14kutoka Kaskazini mwa Nigeria hukoKano amekiri kumuua mwanaumealimuoa kilazima kutokana nashinikizo la wazazi uamuzi ambaohakuridhishwa nao kabisa.

Wasilu Umar amemuua Mume wakeambae alikua na umri mara mbili yaumri wake kwa kumuwekea sumu yapanya katika chakula chake kitendokilichosababisha watu wenginewatatu kufariki na 10 kukimbizwahospitali baada ya kuhusika kwenyehicho chakula.

Baba wa mtoto huyo alimlazimishakuolewa na mwanamme huyomwenye umri wa miaka 35 ambapoharusi yao ilifanyika wiki iliyopitahukohuko kaskazini mwa Nigeriaambako ni maarufu kwa kuoza watotowakiwa na umri mdogo.Polisi wamekua wakijaribu kusitishandoa hizo za kulazimishwa ambapobaba wa Mtoto anaweza kushtakiwajuu ya ilo kosa ila bado hivyovitendo vinaendelea.

MillardAyo.com
 

Attachments

  • Screen-Shot-2014-04-12-at-4.42.13-AM.png
    Screen-Shot-2014-04-12-at-4.42.13-AM.png
    64.7 KB · Views: 1,969
Dah dogo janja kweli kafanya la maana uyo mwanaume mzuma kukubali kuozwa binti mdogo ivyo co akili zake na wazazi nao anapaswa kuwatia hatiani.
 
Taasisi inayosimamia ndoa hizo imepata fundisho....... au italaumu Amerika?
 
Huko wanakaa waislam wengi na wanafuata mafundisho ya mtume maana na yeye alioa mtoto wa miaka 6
 
Dogo hakupata mahali pa kueleza maudhi na maumivu ya kuingiliwa kimwili na mwanaume mwenye tamaa ya kuonja kitu bikira.Huyo mwanaume obviously hakufahamu namna ya kum-handle huyo msichana ambaye mambo ya ngono hakuyazoea. Nina shaka kama mfume dume ulioko huko utaweza kupata somo kwenye kisa hiki!
 
Huko wanakaa waislam wengi na wanafuata mafundisho ya mtume maana na yeye alioa mtoto wa miaka 6

Yaani sijawahi ona mtu mjinga humu jukwaani kama wewemolembe sijui akili zako ni za kuazima au sijui zinatumia salio mamake wakati unachangia hii mada ulikua umeishiwa salio, sema tu naogopa ban ninge..............
 
Safi sana hilo litakuwa fundisho zuri kwa wanaume wote wenye tabia hiyo huko nigeria.
 
hili ni somo zuri lililotumia watu halisi na mifano halisi, wasipoelewa na somo hili basi jamii yote wapigwe sumu.
 
Yaani sijawahi ona mtu mjinga humu jukwaani kama wewemolembe sijui akili zako ni za kuazima au sijui zinatumia salio mamake wakati unachangia hii mada ulikua umeishiwa salio, sema tu naogopa ban ninge..............

Sasa uongo kwa Muddy hakuoa mtoto wa 6 yrs.
 
Huko wanakaa waislam wengi na wanafuata mafundisho ya mtume maana na yeye alioa mtoto wa miaka 6
Wanafuata mafunzo ya mama wa Yesu,maana alimzaa Yesu ana miaka kumi na moja,fikiria alipa mimba umri gani.
 
Back
Top Bottom