yaani inawezekana mwalimu kwa mwaka akawa analipa kodi kubwa kuliko anayolipa DIAMOND PLATINUM... kwani diamond anakale kamachine ka electronic???,,, vipi maodita naye wanamkagua kama walivyoenda kwa gwajima,, maana hizi hela wanazotutangazia kwenye magazeti wanapata halafu kodi hawalipa hamuoni kama wanatunyonya hawa??? kuna haja ya kuhakikisha hawa jamaa nao wanalipa kodi na wale bongo movie walipe kodi na ili tumpunguzie mwalimu huu mzigo... Kila siku wanasanii watanzania wanalilia hati miliki hati miliki lakini hatuwasikii wakiandamana kuishinikiza serikali wanataka kulipa Kodi kama watanzania wengine walivyoelemewa na huu mzigo hasa wafanyakazi>>>>....
TIME FOR FACT NA SIO UJANJAUJANJA...