Huu uzuzu umbumbu na usiasa wa vyama ndio unatualiza Watanzania,ujinga wetu nafuu kwao,hakika hakuna jiji lenye shida ya maji kama dsm,hapa tu maeeo yote ya Mbezi maji hakuna siku ya nane sasa,hakuna cha tamko la Dawasco,waziri husika wala nani,wametuacha tu tunahangaika kama panya vile,ila kodi...