Ni kweli kabisa mkuu,ilikua wrong kufikiria na kuamini kua maprofesa wanapopewa uwaziri watakua msaada na ufumbuzi wa matatizo yetu lukuki,hawa watu ni mizigo katika wizara zao husika,walitakiwa wafanye vitu vingine zaidi ya siasa!Tanzania ni moja ya nchi chache kabisa duniani zinatokumatia...
Jamani mwenye mawasiliano ya mawaziri husika,katibu au hata Dawasco tunaomba atuwekee hapa,jambo linazidi kuwa worse,ni bora kukosa umeme kuliko maji,week ya pili sasa inakwenda huku Mbezi watu hatuna maji kabisa na hatujuhi lini yatapatikana!
Huu uzuzu umbumbu na usiasa wa vyama ndio unatualiza Watanzania,ujinga wetu nafuu kwao,hakika hakuna jiji lenye shida ya maji kama dsm,hapa tu maeeo yote ya Mbezi maji hakuna siku ya nane sasa,hakuna cha tamko la Dawasco,waziri husika wala nani,wametuacha tu tunahangaika kama panya vile,ila kodi...
Kwa kweli hawa watu wanatudharau sana mkuu,mwenye dhamana apige kelele za nini wakati yeye,family yake na wenye dhamana wenzake hawapati athari yoyote?sana sana atarudi tena kua mnyenyekevu kipindi cha kuomba kura!matatizo yetu hayatakwisha na tutaendelea kua walalamikaji kama tutaendelea...
Ili ni kweli kabisa mkuu,kanisa limepoteza maadili na hata sisi waumini wake tunaanza kuishiwa imani,kesi kama hii ya Komba ilimtokea Baba yangu mkubwa mwaka 2008 katika kanisa katoliki Sinza,kanisa liligoma katakata kumzika mzee yule,lakini kwa Komba kumekua hakuna kipingamizi chochote...
Haina mantiki kama punguzo ili alimgusi na kumpa unafuu wa moja kwa moja mwananchi wa kawaida,kama nauli itabaki pale pale na gharama nyingine za maisha kama umeme etc zitabaki pale pale basi ni rubbish tu
Wapi ahadi ya viongozi wakuu wa serikali kua kufikia mwaka 2015 gharama za mawasiliano zikiwamo internet zitapungua maradufu,matokeo yake ndio zimeongezeka kwa 150%. Au ni agizo toka serikalini kujaribu kuminya uhuru wa watu kupeana habari??kama ni hivyo haitasaidia,imeshakua too late,sana sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.