nijothemaster
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 324
- 56
- Thread starter
- #21
Solution sio chama fulani kuwa madarakani au laa! Hapo tatizo kubwa ni watu(viongozi) wa hivyo vyama kuchanganya uongozi/siasa na biashara! Hapo ndio tunasema conflicts of interest! Hapo haijalishi ni chama gani kinaendesha serikali ila watu wachache kwenye serikali wanaangalia maslahi yao binafsi.
Hiyo mitandao mingine hawewezi kuiombea TTCL ife, bila TTCL hakuna hiyo mitandao mingine, mfano Airtel na Voda wanatumia minara ya TTCL kwenye transmission zao, Tigo pia huko remonte area wanatembelea signal za hao jamaa!
Kwenye data(internet)ndio kabisaa mitandao yote wanategemea server za TTCL manake ndio wana artitecture na infrastructure nzuri za ku supply hizo data so wanategemeana!
Tatizo ni ufisadi wa watu wachache waliokuwa wanakula hizo pesa na kushindwa kuiendeleza TTCL ndipo MH.Zitto kuwalipua ndio fasta wakaja na huo mpango wakupunguza packages zao! Na data ndio ili-affectika zaid manake hiyo mitandao bado haina mifumo mizuri ya ku supply huduma ya bundles so walipewa data kwa real price tofauti na wizi wa bundle wa awali ndio maana wakazipunguza.
Ndio maana ukifuatilia utaona kwenye packages sms na dakika za muda wa maongezi kuna badiliko ndogo sana, ila MB's ndio kwenye utata!
Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
kama ni hivo basi namuona TTCL anajiandaa kuwa muuza MB itakua poa tu