Recent content by Faraja kwanza

  1. F

    CHADEMA wazungumze na Zitto na ACT

    zzk mpaka sasa ana wanachama wangapi hadi aone ni size ake kuingia ukawa, nafikiri atulie atajiunga mwakani.kwa uchanga wa chama asitarajie matokeo makubwa majimboni
  2. F

    Mbowe na Zitto Kabwe wapimwe kwa hoja zao

    akatae posho we unacheza na njaa nin
  3. F

    Mbowe na Zitto Kabwe wapimwe kwa hoja zao

    we mleta mada umekosa la kuleta hapa au ulitaka kupima maji kutaka kujua kama msaliti amepata mashabiki humu, ondoa upuuzi wako hapa
  4. F

    Nikipata majibu ya maswali haya narudi CHADEMA

    hapo hakuna swali jk alishakwambia akili akuambiwa ongeza na a kwako.wahusika walitubu na kuukana uccm ila nakushauri ubaki hukohuko
  5. F

    Kwanini wanaume huwa na michepuko?

    naona hakuna aliekupa jibu sahii
  6. F

    Ubinafsi ndio unaowafanya watu wanaoana

    mkuu ulichosema ni sahii, hasa wanawake maraningi upendo wao usukumwa na mfumo wa maisha.angalia hao dada walio kwenda shule na kupata kazi nzuri kama kwao ni rahisi kupata mchumba.
  7. F

    Vyama Washirika wa UKAWA vyadhihirisha kuwa ni vyakikabila, Kikanda na kidini

    sijamalizia uzi wako sababu a kusikia kichefuchefu na inawezekana dar hauijui toka lini dar watu wakapata viwanja kwa ukanda, ondoa pumba zako hapa
  8. F

    Chama cha ACT-Wazalendo chapitisha katiba ya chama

    katiba anao mwigulu act hawajapewa cop
  9. F

    TAMKO la UKAWA kuhusu Uchaguzi Mkuu, Kura ya Maoni na mwafaka wa majimbo

    safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ukawa tuko pamoja
  10. F

    UKAWA wanafanya Press conference muda huu

    ukawa safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii inatia moo
  11. F

    Kutoka Kikao cha UKAWA

    safi kamanda tuko pamoja ukawa juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
  12. F

    Mwanamama wa Shoka: Anna Mughwira - Mwenyekiti ACT Wazalendo

    hata uko ccm b kama angegombea angeshindwa
  13. F

    Zitto: Nashangazwa na Msimamo wa Mbowe Kuhusu UKAWA

    tamaa ndio imemfikisha hapo halipo zzt na hafiki popote labda mwandiga
  14. F

    ACT Taifa kwanza, tuvute subira kuitoa CCM Ikulu?

    act mnatapatapa tu, na inawezekana tusiwasikie tena baada a uchaguzi octba
  15. F

    Nguzo 5 imara za CHADEMA hizi hapa!

    safiii mleta mada,ccm mchepuko watalia tu
Back
Top Bottom