kuna token ingine hii ya kichina inaitwa UNIGAME hii utaanza kwa kuingiza ETH wallet address yako kwanza then watakupa code chini utaona neno telegram ingia telegram na jiunge then post code ambayo walikupa code hiyo inaanzia na /
http://unigame.com/c/4lhyf4u
hiyo ndio link
Habari ndugu zangu kama mnavyojua ktk ulimwengu wa crytpocurrency kadri siku zinavyokwenda unazidi kukua na kupanuka ktk nyanja mbalimbali na kampuni nyingi zimekuwa kila zinapotoa coin zao hutoa free token ili kuvutia watu. Coin hizi huanza na pre sales na baadae wana launch. Watu waliobobea...
Habari wanajamvi,
Siku za karibuni kulikuwa na mtikisiko wa soko la cyrptocurrency hasa katika coin yao pendwa ya Bitcoin (BTC), kutokana na mtikisiko ule waekezaji wakubwa au makampuni mengi yanayohusika yamekuwa yakitengeneza sarafu mpya za crypto na wengine kuwa wanatoa offer za kupata...
Degree Program zote hizo mbili zinahitaji ujitume... SUA sio sehem ya majaribio, inahitaji ujipange na hiyo Land Management sio degree ya kitoto. Kama umesoma HGE na EGM na huna misingi ya Physics usiende Land Management utajichimbia kaburi mwenyewe...
Mwaka juzi bro alinunua ipad min 3 akatengeneza icloud account n mwaka jana ameniachia na bahati mbaya amesahau icloud password yake na mm inanitesa sielewi ni njia gani ya kuitoa icloud email na kuweka yangu. Mwenye uelewa please msaada. Email aliyoifungua ni md@amazongroup.co.tz
Habari zenu wa kubwa, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, nimeambiwa kunaissue ya ku-update mkopo from loan na kila nikijaribu kufanya nashindwa hivyo tafadhali nilikuwa naomba msaada wenu wa procedures pamoja na link ili ni update mkopo. Thank u in advance
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.