Jiulize kwa nini imekuwa Rwanda vs Belgium, na sio taifa jingine la Ulaya? Mbona mataifa mengine yameongea ikaishia chini chini? Why Belgium?
Ukweli ni kuwa Belgium imeambiwa, ukweli mchungu(Ukweli Usiosemwa).
Mwisho ni issue ya kideplomasia, watakuja kuitana mezani kuzungumza na mambo...
Baba wa familia akiwa na migororo ndani ya familia yake, vikiitishwa vikao vya ndugu kuja kusuruhisha, halafu vikao vyote huyo baba akila kona inaelewekaje?
Mwisho wa siku ndugu wote watakuachia upambane mwenyewe na majanga yako.
Btw maazimio vikao vyote Africa imekuwa Ceasefire, hata huko kwa...
Africa bado mnaamini solutions za matatizo yenu zipo kwa Wazungu? Whites toka walipoanza kuja Africa hadi leo hawajawahi kuweka maslahi ya Africa mbele.
Tshikedi juzi wenzake wapo Addis Ababa, yeye kaenda German kulia lia. Wazungu ni wanafiki mno, washaona Congo inagawanyika sasa, wanajifanya...
Kama una uwezo wa kumsomesha mtoto EM msomeshe, Hizi excuses za kutaka kupunguza gharama kwa lengo la investments hazina tija.
Kwenye mizunguko yetu ya maisha kwa siku, wiki, mwezi, mwaka tumekuwa tukipoteza pesa nyingi kwenye Anasa, Saluni hasa wanawake, Sadaka nono kwa watumishi feki...
Kama ilivyo muhimu kwa Ndugu, kwenye maisha ya mtu ndivyo ilivyo muhimu kwa Rafiki/Marafiki.
Tatizo wengi wetu tumejikita kubomoa Urafiki kuliko kuujenga linapotea tukio tusilo tarajia. Fikiri Urafiki ulijengeka kwa machozi, jasho na damu, Unakufa, sababu tu ya Event fulani.
Life has Ups...
Sio vilevi, Ni kama Adam angekuwa kwenye utulivu wa kutosha, alipoletewa habari ya Tunda Angekataa.
Angejua Eve, kakosa nidhamu ya Eden, Hivyo angechukua bakora na kumwadhibu.
Ushauri sio kwamba hautasikika kwa Watanzania bali hautatumika.
Angejikita zaidi kuitisha seminar za Viongozi wetu.
Kuwaelimisha kuhusu Lishe itakayowasadia kuongeza Uwezo wa kufikiri. Ingesaidia sana kwenye Uongozi wao ivo Kuboresha maisha ya watu.
Hali duni ya Wananchi inawapelekea...
Inajulikana CCM wote wana Walakini, Hata anayepitishwa kuwa Presidential Material kwenye File uwa kuna mahali hapapo sawa.
Hii ni kutokana na aina ya Mfumo wanaoUtumikia.
Sasa kwa nini JK alaumiwe? Haraka nachokiona,
El alimusupport JK, lakini JK binafsi hakuonyesha kufanya ivo kwa EL, Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.