Recent content by fanson

  1. fanson

    Rwanda yavunja rasmi uhusiano wa kidiplomasia na Ubelgiji. Yatoa masaa 48 wanadiplomasia wa wa Ubelgiji kuondoka nchini humo

    Jiulize kwa nini imekuwa Rwanda vs Belgium, na sio taifa jingine la Ulaya? Mbona mataifa mengine yameongea ikaishia chini chini? Why Belgium? Ukweli ni kuwa Belgium imeambiwa, ukweli mchungu(Ukweli Usiosemwa). Mwisho ni issue ya kideplomasia, watakuja kuitana mezani kuzungumza na mambo...
  2. fanson

    Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki wa Rwanda awekewa vikwazo na Marekani. Mungu wabariki wazungu, Mungu mbariki Trump!

    Baba wa familia akiwa na migororo ndani ya familia yake, vikiitishwa vikao vya ndugu kuja kusuruhisha, halafu vikao vyote huyo baba akila kona inaelewekaje? Mwisho wa siku ndugu wote watakuachia upambane mwenyewe na majanga yako. Btw maazimio vikao vyote Africa imekuwa Ceasefire, hata huko kwa...
  3. fanson

    Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki wa Rwanda awekewa vikwazo na Marekani. Mungu wabariki wazungu, Mungu mbariki Trump!

    Africa bado mnaamini solutions za matatizo yenu zipo kwa Wazungu? Whites toka walipoanza kuja Africa hadi leo hawajawahi kuweka maslahi ya Africa mbele. Tshikedi juzi wenzake wapo Addis Ababa, yeye kaenda German kulia lia. Wazungu ni wanafiki mno, washaona Congo inagawanyika sasa, wanajifanya...
  4. fanson

    Wazazi Mnaosomesha Watoto Shule za Private jifunzeni kufanya tathmini ya Pesa mnayowekeza katika Elimu hiyo na matokeo yake (Hawatazeekea Nyumbani)?

    Kama una uwezo wa kumsomesha mtoto EM msomeshe, Hizi excuses za kutaka kupunguza gharama kwa lengo la investments hazina tija. Kwenye mizunguko yetu ya maisha kwa siku, wiki, mwezi, mwaka tumekuwa tukipoteza pesa nyingi kwenye Anasa, Saluni hasa wanawake, Sadaka nono kwa watumishi feki...
  5. fanson

    Marafiki hawadumu wanakuja na kuondoka, tuliowahi kuwa mabesti nao leo tunaishia kuchunguliana status hata "hi" hakuna

    Kama ilivyo muhimu kwa Ndugu, kwenye maisha ya mtu ndivyo ilivyo muhimu kwa Rafiki/Marafiki. Tatizo wengi wetu tumejikita kubomoa Urafiki kuliko kuujenga linapotea tukio tusilo tarajia. Fikiri Urafiki ulijengeka kwa machozi, jasho na damu, Unakufa, sababu tu ya Event fulani. Life has Ups...
  6. fanson

    Dar: Rais Samia ashiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa EAC na SADC Februari 8, 2025

    Tshisekedi amekwepa kuja, amemtuma PM wake kumuwakilisha, ambaye amekuja Dar asubuhi hii.
  7. fanson

    Mnadili vipi na mwanamke ambaye ni careless

    Kwa kuwa na Tahadhari
  8. fanson

    Majirani wamemripoti jamaa kituo cha polisi kisa kazi yake haijulikani! Sasa anadai Milioni 500 kwa kuletewa usumbufu

    Katika wale maadui 3 wa Taifa, kuna hili kubwa lao tulisahau na linatutesa sana, UCHAWI.
  9. fanson

    Mnaopiga wake zenu huwa mnakuwa mmetumia vilevi? Mke hapigwi!

    Sio vilevi, Ni kama Adam angekuwa kwenye utulivu wa kutosha, alipoletewa habari ya Tunda Angekataa. Angejua Eve, kakosa nidhamu ya Eden, Hivyo angechukua bakora na kumwadhibu.
  10. fanson

    Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

    Ushauri sio kwamba hautasikika kwa Watanzania bali hautatumika. Angejikita zaidi kuitisha seminar za Viongozi wetu. Kuwaelimisha kuhusu Lishe itakayowasadia kuongeza Uwezo wa kufikiri. Ingesaidia sana kwenye Uongozi wao ivo Kuboresha maisha ya watu. Hali duni ya Wananchi inawapelekea...
  11. fanson

    Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

    Inajulikana CCM wote wana Walakini, Hata anayepitishwa kuwa Presidential Material kwenye File uwa kuna mahali hapapo sawa. Hii ni kutokana na aina ya Mfumo wanaoUtumikia. Sasa kwa nini JK alaumiwe? Haraka nachokiona, El alimusupport JK, lakini JK binafsi hakuonyesha kufanya ivo kwa EL, Hata...
  12. fanson

    Muhudumu wa Restaurant hanichangamkii tena siku hizi!

    Usoni haufurahishi na Utani, Moyoni Unautamani Uwe zaidi ya Utani
Back
Top Bottom