Recent content by fanson

  1. fanson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuhusu ubaguzi Afrika ya Kusini dhidi ya waafrika: Ndhani serikali ya Afrika ya kusini wanatoa machozi ya mamba!

    Ndio kuwaondoa wageni uwa moja ya agenda zao kuombea kura kwa wazawa
  2. fanson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sikujua kama kombe la dunia linaanza leo!

    Uzuri muda bado upo upande wako mkuu
  3. fanson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini wachambuzi wa soka wanaikimbia TBC 1?

    Maslahi Hadhira Siasa
  4. fanson

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Female artists kwenye rap game ilikuwa ngumu ku-maintain, atleast aliwapa zawadi ya album fans wake R.I.P Zainab
  5. fanson

    JamiiForums Tanzania ITV Tanzania huo u ‘super brand’ nani aliwapa? Je, ni tuzo ya kudumu?

    Bado wapo vizuri ambacho wanakikosa ni Usasa wa vyombo vya habari vya jamii yake.
  6. fanson

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Life is all about addiction, Choose your addiction wisely.
  7. fanson

    JamiiForums Tanzania Bwana Misosi akiwa bado underground aliwezaje kuwapata wasanii wakubwa walioonekana katika video yake "Nitoke vipi?"

    Wengi wali-appriciate sababu waliona misosi kawapa respect, pia idea nzima ya wimbo ilikuwa hot
  8. fanson

    JamiiForums Tanzania Kuna faida gani kuwa tajiri?

  9. fanson

    JamiiForums Tanzania Hivi Juma Nature ana umri gani? Mbona hazeeki

    Ni udongo tiu. Leo aliowa-inspire kimziki, wamezeeka kimuonekano
  10. fanson

    JamiiForums Tanzania Kuna faida gani kuwa tajiri?

    Tajiri ni nani? Utajiri ni nini?
  11. fanson

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Sio Scholarships tu, mambo mengi balozi uwa zinamaanisha, tatizo ni ngozi nyeusi zilizo nafasi za chini
  12. fanson

    JamiiForums Tanzania Didier Drogba atinga bungeni kushuhudia uwasilishwaji wa makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

    Ni bora huo mwaliko wangepewa wazee wetu, wanamichezo wa zamani waliowahi kuliwakilisha taifa vizuri
  13. fanson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina neno, jioneeni wenyewe

    Haya mambo yapo toka zamani, isipokuwa sasa teknolojia inayakuza na kusababisha uharibifu
  14. fanson

    JamiiForums Tanzania Temeke DC yafafanua Watumishi kuingiziwa fedha kisha kuambiwa wazirudishe, yaelezwa ziliingizwa kimakosa

    Fedha ikitoka serikalini kwenda kwa wananchi kimakosa, lazima irudi. Fedha ikitoka kwa mwananchi kwenda serikalini kimakosa, hairudi daah
  15. fanson

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    A negative mind will fail you. Hata hao watoto uliowataja wenye tabia mbovu, baadhi wana mchango mkubwaa kwenye familia zao na jamii kiujumla.
Back
Top Bottom