Recent content by FananiMedia

  1. FananiMedia

    Kama Wanasimba tunajiamini tuna timu imara, kwa nini tunaombea tukutane na Al Ahly Tripoli, siyo TP Mazembe au Orlando Pirates?

    Kumkwepa mpinzani mgumu hatumaanishi kuwa hatuiamini timu au mbaya bali ni hali ya kutaka hope na uhakika. Unaweza aTripoli na ukatoka same unaweza kupewa Mazembe na ukapita football ina matokeo ya ajabu sana. Me nadhani wanasimba kwasasa wawekeze kwenye kuisapoti timu na wachezaji kwanini...
  2. FananiMedia

    Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

    Mooto wanao pekekewa maji wanaenda kuita Mma soon
  3. FananiMedia

    Movie: Silvertone Siege

    Hii Movie Imeongozwa Na Jamaa Fulani Hivi Anaitwa Mandla Dube Na Imetokana Na Historia Ya Kweli Kabisa Iliyotokea Huko Silverton, Pretoria Nchini South Africa Mwaka 1980 Humu Ndani Tutawaona Vijana Watatu Ambao Ni Freedom Fighters Wa SA Na Hawa Walikuwa Wanapambania Pia Uhuru Wa Nelson Mandela...
  4. FananiMedia

    Movies: Not my mother

    Mama alipotea ghafla tu tena katika mazingira ya kutatanisha. Licha ya kutafutwa sana hawakufanikiwa kumpata, Lakini baada ya muda akarudi. Lakini karudi akiwa sio tena kama alivyokuwa mwanzo, kuna nini alichofanywa huko? Na kweli aliyerudi ni Mama au fake? Ni Horror movie mwaka [2022]...
  5. FananiMedia

    Ifahamu filamu ya JALSA

    Maya ni mwandishi wa Habari maarufu, Umaarufu unatikana na namna anavyo pambana kutoa taarifa za kina na ndani sana pamoja na uwazi kwenye tasnia ya habari. Akiwa nyumbani Maya ni mama wa mtoto mmoja anaitwa Aayush pia anaishi na Mama yake kutokana na majukumu ya kazi na mtoto Maya ana mfanya...
  6. FananiMedia

    Heist Movie: Now You See Me

    Karibu we deriver movies any place in Dar es salaam
  7. FananiMedia

    Heist Movie: Now You See Me

    Wana mazimaombwe wanne hatari kusanywa pamoja na mtu asiyejulikana ambaye huwapa mipango ya wizi. Mwaka mmoja baadae, wanajiita "The Four Horsemen",wanakuja na show ya mazingaombwe inayo vunja rekodi ya kuingiza na kutazamwa na watuwengi Las Vegas, mwisho wa show yao ni wataiba benki. Benki...
  8. FananiMedia

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Urusi na Ukraine, ili kuelewa chanzo cha mgogoro wao vizuri ni muhimu kujua kidogo historia ya nyuma kuhusu uhusiano baina yao. Hapo zamani nchi hizi zote zilikua zinaunda Umoja wa kisovieti (USSR), na muungano huo uliundwa rasmi mwaka 1922 na kuvunjika mwaka 1991. Umoja huo ulipovunjika...
  9. FananiMedia

    OPERATION BANG AND BURN: Na jinsi ilivyoacha kovu Kenya na Tanzania

    Kwa nn nisirudi ? Sifanyi vitu vya kubahatisha..Uzi lazima uishe huu mkuu
  10. FananiMedia

    OPERATION BANG AND BURN: Na jinsi ilivyoacha kovu Kenya na Tanzania

    PART-1 "Mapambano tunayowaitia hayana mahusiano na mijadala ya Socrates wala mawazo ya plato wala diplomasia za Aristotle. Yana mahusiano na mijadala ya mauaji, ulipuaji na uharibifu.Serikali ya Kiislam Kamwe haijawahi kutokea wala kutokea kuanzishwa kupitia ufumbuzi wa amani na mabaraza ya...
Back
Top Bottom