Kumkwepa mpinzani mgumu hatumaanishi kuwa hatuiamini timu au mbaya bali ni hali ya kutaka hope na uhakika.
Unaweza aTripoli na ukatoka same unaweza kupewa Mazembe na ukapita football ina matokeo ya ajabu sana.
Me nadhani wanasimba kwasasa wawekeze kwenye kuisapoti timu na wachezaji kwanini...
Hii Movie Imeongozwa Na Jamaa Fulani Hivi Anaitwa Mandla Dube Na Imetokana Na Historia Ya Kweli Kabisa Iliyotokea Huko Silverton, Pretoria Nchini South Africa Mwaka 1980
Humu Ndani Tutawaona Vijana Watatu Ambao Ni Freedom Fighters Wa SA Na Hawa Walikuwa Wanapambania Pia Uhuru Wa Nelson Mandela...
Mama alipotea ghafla tu tena katika mazingira ya kutatanisha. Licha ya kutafutwa sana hawakufanikiwa kumpata,
Lakini baada ya muda akarudi.
Lakini karudi akiwa sio tena kama alivyokuwa mwanzo, kuna nini alichofanywa huko? Na kweli aliyerudi ni Mama au fake?
Ni Horror movie mwaka [2022]...
Maya ni mwandishi wa Habari maarufu,
Umaarufu unatikana na namna anavyo pambana kutoa taarifa za kina na ndani sana pamoja na uwazi kwenye tasnia ya habari.
Akiwa nyumbani Maya ni mama wa mtoto mmoja anaitwa Aayush pia anaishi na Mama yake kutokana na majukumu ya kazi na mtoto Maya ana mfanya...
Wana mazimaombwe wanne hatari kusanywa pamoja na mtu asiyejulikana ambaye huwapa mipango ya wizi.
Mwaka mmoja baadae, wanajiita "The Four Horsemen",wanakuja na show ya mazingaombwe inayo vunja rekodi ya kuingiza na kutazamwa na watuwengi Las Vegas, mwisho wa show yao ni wataiba benki.
Benki...
Urusi na Ukraine, ili kuelewa chanzo cha mgogoro wao vizuri ni muhimu kujua kidogo historia ya nyuma kuhusu uhusiano baina yao.
Hapo zamani nchi hizi zote zilikua zinaunda Umoja wa kisovieti (USSR), na muungano huo uliundwa rasmi mwaka 1922 na kuvunjika mwaka 1991.
Umoja huo ulipovunjika...
PART-1
"Mapambano tunayowaitia hayana mahusiano na mijadala ya Socrates wala mawazo ya plato wala diplomasia za Aristotle.
Yana mahusiano na mijadala ya mauaji, ulipuaji na uharibifu.Serikali ya Kiislam Kamwe haijawahi kutokea wala kutokea kuanzishwa kupitia ufumbuzi wa amani na mabaraza ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.