Recent content by famicho

  1. famicho

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Yanga wawe makini, jamaa wanataka kuwafunga 7 Ili wiki nzima iwe mapumziko
  2. famicho

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Lindi maisha gharama sana

    Mashujaa wapo offline zaidi ya miezi sita sasa
  3. famicho

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Lindi maisha gharama sana

    Hospital ya Sokoine imehamishiwa Mitwero, na Ile sehem Kwa Sasa ni chuo Cha afya(COTC)
  4. famicho

    JamiiForums Tanzania IRAN wanazidi kuibomoa ISRAEL kwa makombora na Drone

    Kwa Sasa Iran wanapiga target za Siri na za kimkakati zaidi, baada ya kulemaza mifumo yote muhimu ya taarifa katika nchi za Gulf. Akimaliza kufumua hiyo mifumo ndipo ataanza kuponda maeneo mengine mana hakutokuwa na kizuizi tena
  5. famicho

    JamiiForums Tanzania Kama umesoma kwenye moja ya hizi university hapa wewe ni mwamba

    Wa Theofili Kisanji College mnatuambiaje?
  6. famicho

    JamiiForums Tanzania Samahani JF, Askofu Bagonza hapa ana maana gani? Nini kimetokea kwa Salum Mwalimu?

    Kumechangamka, ila hizi codes ni ngumu sana,any clarification puliiiz
  7. famicho

    JamiiForums Tanzania Unyama unaofanyika Syria, Nigeria KaskazinI na Sudan unatisha mno. Arab league, UN na AU zipo kimya. Sasa iguse Gaza uone

    Hii Dunia hakuna mkweli,kila nchi bize kumtafuta ngawila tu
  8. famicho

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni Mlokole upo hapa jukwaani, chukua ujumbe huu peleka kanisani kwenu

    Ongezea na Siloam, Hubiri neno tenda neno
  9. famicho

    JamiiForums Tanzania Mrejesho (Kuhusu ndoto yangu)

    Ni vizuri ungeweka hiyo ndoto na yanayokuendea sasa
  10. famicho

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu Kigoma Ujiji tunateseka kiuchumi, tulipandishwa vyeo tukakopa, baada ya muda tukashushwa vyeo

    Walimu punguzeni kulialia, lipa deni kwani wengine mbona Hawaii lii!?
  11. famicho

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza watu weupe wanapitia oppression na kuelewa inavyouma

    Trump kaamua kuwapitisha raia wake njia ngumu
  12. famicho

    JamiiForums Tanzania Kuzaa na mwanamke nje ya ndoa

    Story tu hizo, jaza Dunia kijana
  13. famicho

    JamiiForums Tanzania Kama unafanya kazi chini ya Tamisemi (Halmashauri), sema neno lolote kwenye uzi huu

    Wanafanya kazi mazingira magumu Kwa ujira kiduchu
  14. famicho

    JamiiForums Tanzania Donald Trump: Ndani ya Siku 7 Ulimwengu unakwenda kushuhudia tukio ambalo halitasahaulika

    Kama Kuna maisha magumu mbona wamejaa wanachi wa mataifa mengine tena mpaka Wana Kambi za wakimbizi wanahudumia wakimbizi Toka mataifa mengine
Back
Top Bottom