Recent content by famicho

  1. famicho

    JamiiForums Tanzania Ni jina gani la mwana JF ungepenyeza kwa nafasi ilio wazi ya makamu?

    Majaliwa
  2. famicho

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa kudumu ndani ya chama ni mambo ya CCM, ndio athari za kina JK. CHADEMA tujisahihishe, tubadili katiba yetu, tumnyopoe Mbowe Kamati Kuu.

    Kwani akina Heche na wengine walikatazwa kwenda kujionea matumizi ya kodi zetu!?
  3. famicho

    JamiiForums Tanzania COSTA inauzwa

    Weka bei kwanza
  4. famicho

    JamiiForums Tanzania Zelenskyy amekataa wito wa kumaliza vita

    Ngoja misaada ikate ataomba mwenyewe
  5. famicho

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Yanga wawe makini, jamaa wanataka kuwafunga 7 Ili wiki nzima iwe mapumziko
  6. famicho

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Lindi maisha gharama sana

    Mashujaa wapo offline zaidi ya miezi sita sasa
  7. famicho

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Lindi maisha gharama sana

    Hospital ya Sokoine imehamishiwa Mitwero, na Ile sehem Kwa Sasa ni chuo Cha afya(COTC)
  8. famicho

    JamiiForums Tanzania IRAN wanazidi kuibomoa ISRAEL kwa makombora na Drone

    Kwa Sasa Iran wanapiga target za Siri na za kimkakati zaidi, baada ya kulemaza mifumo yote muhimu ya taarifa katika nchi za Gulf. Akimaliza kufumua hiyo mifumo ndipo ataanza kuponda maeneo mengine mana hakutokuwa na kizuizi tena
  9. famicho

    JamiiForums Tanzania Kama umesoma kwenye moja ya hizi university hapa wewe ni mwamba

    Wa Theofili Kisanji College mnatuambiaje?
  10. famicho

    JamiiForums Tanzania Samahani JF, Askofu Bagonza hapa ana maana gani? Nini kimetokea kwa Salum Mwalimu?

    Kumechangamka, ila hizi codes ni ngumu sana,any clarification puliiiz
  11. famicho

    JamiiForums Tanzania Unyama unaofanyika Syria, Nigeria KaskazinI na Sudan unatisha mno. Arab league, UN na AU zipo kimya. Sasa iguse Gaza uone

    Hii Dunia hakuna mkweli,kila nchi bize kumtafuta ngawila tu
  12. famicho

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni Mlokole upo hapa jukwaani, chukua ujumbe huu peleka kanisani kwenu

    Ongezea na Siloam, Hubiri neno tenda neno
Back
Top Bottom