Recent content by famicho

  1. famicho

    IRAN wanazidi kuibomoa ISRAEL kwa makombora na Drone

    Kwa Sasa Iran wanapiga target za Siri na za kimkakati zaidi, baada ya kulemaza mifumo yote muhimu ya taarifa katika nchi za Gulf. Akimaliza kufumua hiyo mifumo ndipo ataanza kuponda maeneo mengine mana hakutokuwa na kizuizi tena
  2. famicho

    Kama umesoma kwenye moja ya hizi university hapa wewe ni mwamba

    Wa Theofili Kisanji College mnatuambiaje?
  3. famicho

    Samahani JF, Askofu Bagonza hapa ana maana gani? Nini kimetokea kwa Salum Mwalimu?

    Kumechangamka, ila hizi codes ni ngumu sana,any clarification puliiiz
  4. famicho

    Mrejesho (Kuhusu ndoto yangu)

    Ni vizuri ungeweka hiyo ndoto na yanayokuendea sasa
  5. famicho

    KERO Walimu Kigoma Ujiji tunateseka kiuchumi, tulipandishwa vyeo tukakopa, baada ya muda tukashushwa vyeo

    Walimu punguzeni kulialia, lipa deni kwani wengine mbona Hawaii lii!?
  6. famicho

    Kwa mara ya kwanza watu weupe wanapitia oppression na kuelewa inavyouma

    Trump kaamua kuwapitisha raia wake njia ngumu
  7. famicho

    Kuzaa na mwanamke nje ya ndoa

    Story tu hizo, jaza Dunia kijana
  8. famicho

    Kama unafanya kazi chini ya Tamisemi (Halmashauri), sema neno lolote kwenye uzi huu

    Wanafanya kazi mazingira magumu Kwa ujira kiduchu
  9. famicho

    Donald Trump: Ndani ya Siku 7 Ulimwengu unakwenda kushuhudia tukio ambalo halitasahaulika

    Kama Kuna maisha magumu mbona wamejaa wanachi wa mataifa mengine tena mpaka Wana Kambi za wakimbizi wanahudumia wakimbizi Toka mataifa mengine
  10. famicho

    USA kakimbia baada ya kupewa Warning na Iran

    Zile Ballistic alizozitest Iran hv karibuni, zimerudisha nyuma mipango ya USA na kuanza tafakali mpya
Back
Top Bottom