Recent content by falcon Q

  1. falcon Q

    Ndege zinazostaafishwa huwa zinapelekwa wapi?

    Hupelekwa graveyard
  2. falcon Q

    Tumia Hizi Siri 7 Kukagua Simu Ili Usitapeliwe na Kuuziwa Feki / Grade Namba 2

    🤣🤣Bora umejijibu mwenyewe Kuna kitu nakihitaji kwenye hizo simu mkuu
  3. falcon Q

    Tetesi: Mojtaba Ali Khamenei kumrithi Ayatollah Ali Khamenei baada ya kuuawa baba

    Yupo mwana mfalme anaungwa mkono na marekani
  4. falcon Q

    TANZIA Msemaji wa M23, Willy Ngoma auawa kwa shambulio la Droni

    Kuna hii chuma ilizunguka sana juzi jumanne kwa nlihisi tu so bure Kuna jambo ingawa siwezi sema moja kwa moja USA anahusika
  5. falcon Q

    Gari unazoweza kukuta ni namba E alafu mmiliki wake anatafuta mteja hata kwa bei chee na bado watu wanaikimbia

    Kuna chuma hii Ford escape sijui watu wanaiogopeaga nini ni gari haswa haswa
  6. falcon Q

    Hood bus Service -hatimaye legend wa biashara ya usafiri wa mabasi ameanguka

    Wakongwe wa mabus wawili kwa wakati moja naskia mzee wa NBS Tabora naye hatuko naye. Mungu awarehemu
  7. falcon Q

    Tanzania yapanga kuuza sehemu ya Hazina yake ya Dhahabu kusaidia kufadhili miradi ya miundombinu

    NIMEIKUTA MAHALI SOMA " Hapo ndipo inakua hatari zaidi — na nitasema wazi kabisa: hiyo hoja haishawishi, hata kidogo. Kuuza hifadhi ya dhahabu ya taifa ili kuziba pengo la bajeti ni sawa na: kuuza paa la nyumba kwa sababu mvua imenyesha. Kwa nini sababu hiyo haisimami kiuchumi Bajeti ni tatizo...
  8. falcon Q

    Hizi Dogma ni hatari kwa mtoto wa kiafrika

    🤣🤣🤣🤣Ewaaaa ni vile jamaa alikatiza njiani
  9. falcon Q

    Hizi Dogma ni hatari kwa mtoto wa kiafrika

    Beliave in two things principal 😆yupo mchekeshaji moja anaitwa basketmouth amezungumzia kwa njia ya uchekeshaji principal of two things involvement ingawa hajaimalizia but Ina make logic kubwa kwenye mzunguko wa maisha ya mwanadamu
  10. falcon Q

    Madereva wa Bolt waandamana kwenye ofisi za kampuni hiyo kupinga ongezeko la ofa wanazopata wateja

    Kubwa how kama anakuja nauli ya 10k unalipa mia tano hakunaga offer ya namna hiyo let's say kapakia abiria watatu wenye offer anapata nini
  11. falcon Q

    2026 masingle Maza wa JF tunachekelea

    Njaanuary watu walikua washavurugwa ikipinduka tu tabu Iko palepale
  12. falcon Q

    Marekani yaonya yaweza kupeleka ndege za kivita angani mwa Canada ikiwa Ottawa itapunguza ununuzi wa F-35

    Canada na marekani ni mashoga hao operation baadhi za siri wanazifanya pamoja maana mcanada ana one of the best special forces (JTF2) inalingana au imeipita kidogo Delta force ya USA
Back
Top Bottom