kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 17,639
- 21,835
sikwa misitu ya kongo ,wewe nambie mimi majini na anga au unataka alete vikosi kama sealAnaweza vizuri sana tu.
T14 Armata
sikwa misitu ya kongo ,wewe nambie mimi majini na anga au unataka alete vikosi kama sealAnaweza vizuri sana tu.
T14 Armata
ukosahihi lakini walishashindwa ndomana unajikuta inabidi zitumike droni na ujasusi wa kuwajua vigagula wa vita ndani ya M23 na kuwagonga wao kupunguza dhoruba kwamajeshi ya UNArdhini kuna TZ,burundi na angola
US ni dude kubwa sana chief ....huko misituni ni kitu kidogo sana kwake kwa teknolojia aliyonayo.sikwa misitu ya kongo ,wewe nambie mimi majini na anga au unataka alete vikosi kama seal
Banyamurenge sio wakimbizi, wako pale kabla Congo haijazaliwa, ni siasa za kipumbavu na ukabila za viongozi wengi wa Africa ndio maana millions of people wanakufa kwa kitu kinachozuilika kirahisi sanaNenda camp ya nyarugusu uone pale kuna wakimbizi wana miaka ila bado ni wakimbizi,kina kibu wamezaliwq makambini ila bado uraia wa TZ wakapewa uzeeni,mobutu aliwakosea sana wakongo kwa kuwaruhusu banyamulenge washaishi mtaani,angewawekea refugees camp kama alivyofanya nyerere
Wajiboreshe angani kwa kutumia nini, nani state actor atawauzia silaha kwa sheria za kimataifa. Sema hivi waboreshwe, sio wajiboreshe.ndio m23 wahame toka vita mwituni wajiboreshe angani viongozi wao watadonolewa mmoja baada ya mwingine rejea wakuu wa ugaidi
nakili ,waboresheweWajiboreshe angani kwa kutumia nini, nani state actor atawauzia silaha kwa sheria za kimataifa. Sema hivi waboreshwe, sio wajiboreshe.
Lilipoenda jeshi la SADC kuna gari la wanajeshi wa South Africa likapigwa na Spike ATGM ya Israel, wakati inajulikana ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati tena ikiwezekana Afrika nzima walionunua Spike ATGM ni Rwanda pekee. Kundi likipigwa linafika mpaka na Rwanda linafifia haijulikani limeenda wapi, ghafla linaibukia mpaka na Rwanda linaanza mashambulizi. Mara silaha zinapitia Uganda.
Itoe Rwanda au nenda mpaka wa Rwanda na DRC funga zuia biashara zote na kitu chochote kupita, kubali hasara ya kiuchumi uone M23 ambavyo hawakuwa peke yao.
Kuna hii chuma ilizunguka sana juzi jumanne kwa nlihisi tu so bure Kuna jambo ingawa siwezi sema moja kwa moja USA anahusikaMichezo ya US na Israel hii, michezo ya kutumia drone wanapenda Sana maana Wana satellite zinazoweza kuona Hadi Pini ndogo kabisa ardhini, kitu ambacho huwezi kukiona Kwa macho Mathalan toothpick kwenye Giza wao hukiona, wanakuwinda Tu hawachoki, wakipata nafasi moja basi wanakuwahisha kaburini...baadhi ya nchi Afrika wanazo za kisasa kabisa.
Kule middle East hizi drones ndo zilikuwa zinawasaka viongozi wa vile vikundi vya Hezbollah sjui Hamas, upo zako na gari unajikuta Tu umeshakuwa majivu, ipo moja hiyo ya pikipiki inategwa barabarani kama vile imepakiwa kumbe bike mbele pale ina silaha isiyoonekana ukitokea Tu road Kwa mbele Jamaa ofisini anabonyeza Tu bike inakuwasha chuma za kutosha peke yako unakufa, halafu inajilipua yenyewe kupoteza ushahidi, hivyo ndivyo alivyouliwa mwanasayansi mmoja tegemezi wa nyuklia wa Iran...
Nashauri kama kweli kuna vijana ambao wanapenda teknolojia waanze sasa kukomaa na AI, wajinoe kwenye sophisticated issues kama hizo watatoboa miaka ya baadae, future ipo kwenye AI sasa hivi, TZ tumelala hivyo vijana wenye nia wanaweza kupata kandarasi nzuri hapo baadae maana govt inaendeshwa kijima Sana na conservatives wa miaka ya 50's hivyo unawatoa ushamba.
Leo hii vijana wa miaka 18-25 Israel wanaweza kupewa kazi ya kupiga target ndani ya Iran na wanafanikiwa, hizi mambo ni machalii Tu ndo unakuta wanakomaa nazo, Leo kiongozi yoyote Yule wa nchi ya kusadikika akiamuliwa kumalizwa ni mara moja, collectively tumelala Sana.
Nyarugusu huko kuna wakimbizi hata kabla Tanzania haijazaliwa,banyamulenge sio wacongo hata ww unajua wale jamaa asili yao ni wapiBanyamurenge sio wakimbizi, wako pale kabla Congo haijazaliwa, ni siasa za kipumbavu na ukabila za viongozi wengi wa Africa ndio maana millions of people wanakufa kwa kitu kinachozuilika kirahisi sana
Huoni kama ni makosa kuwanyima uraia hao watu wa nyarugusu, na educate yourself about banyamulenge maana unachoandika sio kweliNyarugusu huko kuna wakimbizi hata kabla Tanzania haijazaliwa,banyamulenge sio wacongo hata ww unajua wale jamaa asili yao ni wapi
Tuwape uraia halafu yatokee kama ya congo,unawajua watutsi kweli ww!pale rwanda kwenye population ya 12 milioni tutsi ni 3 mln tu,ila unaona wanachowafanyia makabila mengine!nyerere aliiona mbali sanaHuoni kama ni makosa kuwanyima uraia hao watu wa nyarugusu, na educate yourself about banyamulenge maana unachoandika sio kweli
Inaonekana una issue na watutsi au huelewi hata kilichotokea Rwanda kabla ya genocide,akili kama zako ndio maana vita haziishi Africa, kina Kagame wangeogopa au kusikiliza watu kama wewe leo wangekuwa wanaishi makambini, M23 lazima washinde ili amani ya kweli ipatikane CongoTuwape uraia halafu yatokee kama ya congo,unawajua watutsi kweli ww!pale rwanda kwenye population ya 12 milioni tutsi ni 3 mln tu,ila unaona wanachowafanyia makabila mengine!nyerere aliiona mbali sana
Akina Mafwele na magenge yake watawachuna mapumbu, wajinga hawa hawataki changamoto kabisa.Vijana wawekeze sana kwenye hizi teknolojia za AI na drones..
Watapambana na drones kabla ya kuwakamata..Akina Mafwele na magenge yake watawachuna mapumbu, wajinga hawa hawataki changamoto kabisa.
Hizo drones zije na huku kwa Samuya, wanasubiri nini?ndio m23 wahame toka vita mwituni wajiboreshe angani viongozi wao watadonolewa mmoja baada ya mwingine rejea wakuu wa ugaidi
Huna dini 😃😃 si ndio ninyi kule Nigeria mnaua wakristu halafu mnatoka na usemi kama huo?sina dini ila mabeberu ndio wahusika wakuu wa vita hiyo.