Stori nzuri, ila sijaona sehemu yoyote kwenye stori ukieleza uwepo wa mtoto lakini kuna wadau wamekuuliza ukasema yupo, ana mwaka mmoja....maswali...
1. Je mtoto kipindi cha misukosuko mtoto alikuwa dar au korogwe?
2. Inaonyesha mtoto bado ananyonya (kuna sehemu umesema unajisikia vibaya...
Kama imani (dini) yako inaruhusu kuwa na wake wawili, mkeo karidhia, na una mpenda kweli, utakuwa hupendelei upande mmoja, just go ahead and marry her. Ila hiyo stori ya 1 bill sijainunua bado!
Walikuwa wanadance pamoja afu waka kiss...kwenye shavu au lips? Kuna kingine uliwaona wanafanya? Kuchepuka maana yake ni nini? Ukute ni marafiki tu wa kawaida. Kama una wasiwasi ongea na shem wako umpe warning (ila usimwambie dada, ya ngoswe mwachie ngoswe)
Unakuta mdada amemaiza chuo ana 23 yrs, akapata kazi kampuni inayolipa vizuri na bado yupo kwa wazazi (nao wapo vzr ki mapato), kiasi kikubwa cha mshahara ana_save, baada ya miaka 5 au 6 anapata kampuni nyingine nzuri zaidi, akichukua mafao yake ya nyuma jumlisha saving, gari zuri lazima apate...
Hii sio kesi ya kwanza, haya mambo yapo, nina ushahidi kutoka kwenye familia yetu, yalimkuta pia kaka yangu kama haya, huoni kwamba hata mleta mada siri anayoificha inamuumiza kichwa hadi kaja kuomba ushauri? Kosa limeshafanyika, lakini maisha yasonge mbele. Ukificha dhambi inazidi kuzaa dhambi...
Kwa hiyo aendelee kuficha siri? Huoni kwamba mtoto ana haki ya kujua ndugu zake? Hayo ni makosa ya wazazi, yasidhuru ukuaji na maendeleo ya mtoto. Mwanamke atakasirika lkn mwisho wa siku ukweli ndio huo @ Snowhite
Mwambie mkeo, ukweli utakuweka huru,ila mtoto usimpeleke nyumbani kwako, mkeo atakuwa anakumbuka usaliti kila amuonapo, mpeleke kwa dada zako kama unao na mnaelewana vyema au kwa bibi (mama yako mzazi) Akifika darasa la nne mpeleke shule ya bweni (kama upo vizuri kifedha)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.